MAONI: Wanaoingiza vilainishi feki ni wahujumu uchumi
>Moja ya matatizo makubwa yanayochangia kudorora kwa uchumi wa nchi yetu ni ukosefu wa uwajibikaji serikalini na katika mashirika ya umma. Miradi mingi imekwama kwa kukosa usimamizi wa karibu kwa upande wa watendaji waliopewa dhima ya kuisimamia, ingawa wanapewa nyenzo za kutosha, mishahara minono na posho ambazo hazina hesabu.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi19 Aug
China kuwanyima viza wanaoingiza bidhaa feki
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
TFDA sasa shughulikieni wanaoingiza bidhaa feki
WATANZANIA kwa ujumla wamechoka kusikia kuteketezwa kwa chakula, vipodozi na dawa feki badala ya kukomesha na kuzuia njia za panya zinazotumika kuingiza bidhaa hizo, kwa kutoa adhabu kali kwa wahusika...
10 years ago
Tanzania Daima11 Sep
Wataka wahujumu uchumi wanyongwe
ILI kudhibiti vitendo vya rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi kwa viongozi wa umma wasio waadilifu, baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wamependekeza Katiba mpya, itamke adhabu ya kifo...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WEogkUje_0g/Vour8iKnQpI/AAAAAAAIQik/BYA3xkw3Ws8/s72-c/IMG_0107.jpg)
MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI INAFANYIWA KAZI- DK.MWAKYEMBE
Dk.Mwakyembe ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP),amesema kuwa suala mahakama linafanyiwa kazi kwa karibu na ofisi yake kutokana na ahadi ya Rais Dk.John Pombe Magufuli wakati wa kampeni.
Mwakyembe amesema kuwa watu...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WEogkUje_0g/Vour8iKnQpI/AAAAAAAIQik/BYA3xkw3Ws8/s72-c/IMG_0107.jpg)
SUALA LA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI LINAFANYIWA KAZI - DKT. MWAKYEMBE
9 years ago
Mwananchi01 Jan
MAONI YA MHARIRI: Mwaka 2016 uwe wa kujenga uchumi
10 years ago
Vijimambo30 Sep
JK aziponda sera za uchumi za Nyerere, adai zimechangia umasikini wa Tanzania (na maoni yangu)
![](https://images-blogger-opensocial.googleusercontent.com/gadgets/proxy?url=http%3A%2F%2Fwww.thecitizen.co.tz%2Fimage%2Fview%2F-%2F2460580%2FhighRes%2F834518%2F-%2Fmaxw%2F600%2F-%2Fq63f98z%2F-%2FJK%2BPX.jpg&container=blogger&gadget=a&rewriteMime=image%2F*)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-T-9pnqHRpNM/U3VNbv72PQI/AAAAAAAA6O4/T1QUzVdsjE8/s72-c/IMG_6742.jpg)
KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA VILAINISHI VYA CASTROL NA KITUO CHA MAFUTA CHA OYSTERBAY, DAR
![](http://4.bp.blogspot.com/-T-9pnqHRpNM/U3VNbv72PQI/AAAAAAAA6O4/T1QUzVdsjE8/s1600/IMG_6742.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-vriPLAp2mZA/U3VNeKtMjrI/AAAAAAAA6PA/vmrPQA2LlIU/s1600/IMG_6754.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-NHtbrqyQcd0/U3VNiINMlkI/AAAAAAAA6PI/2qBtlGChdgo/s1600/IMG_6758.jpg)
11 years ago
Uhuru Newspaper27 Jun
CCM yalia na watumishi wahujumu
Na Ahmed Makongo, Bunda CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara, kimesema baadhi ya watumishi wa serikali mkoani humo, wanaihujumu serikali pamoja na ilani ya uchaguzi ya Chama. Katika madai yake hayo, CCM imesema watumishi hao wanafanya hivyo kwa kutokuwajibika ipasavyo katika kutekeleza majukumu yao ikiwa pamoja na kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya, alitoa shutuma hizo kwa nyakati na maeneo tofauti, wakati...