Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MAONI: Wanaoingiza vilainishi feki ni wahujumu uchumi

>Moja ya matatizo makubwa yanayochangia kudorora kwa uchumi wa nchi yetu ni ukosefu wa uwajibikaji serikalini na katika mashirika ya umma. Miradi mingi imekwama kwa kukosa usimamizi wa karibu kwa upande wa watendaji waliopewa dhima ya kuisimamia, ingawa wanapewa nyenzo za kutosha, mishahara minono na posho ambazo hazina hesabu.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

China kuwanyima viza wanaoingiza bidhaa feki

Ubalozi wa China nchini umesema una mpango wa kuwanyima viza Watanzania wenye rekodi chafu ya kuingiza bidhaa bandia kutoka nchini humo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

TFDA sasa shughulikieni wanaoingiza bidhaa feki

WATANZANIA kwa ujumla wamechoka kusikia kuteketezwa kwa chakula, vipodozi na dawa feki badala ya kukomesha na kuzuia njia za panya zinazotumika kuingiza bidhaa hizo, kwa kutoa adhabu kali kwa wahusika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wataka wahujumu uchumi wanyongwe

ILI kudhibiti vitendo vya rushwa, ufisadi na uhujumu uchumi kwa viongozi wa umma wasio waadilifu, baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wamependekeza Katiba mpya, itamke adhabu ya kifo...

 

9 years ago

Michuzi

MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI INAFANYIWA KAZI- DK.MWAKYEMBE

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dk.Harrison Mwakyembe amesema kuwa suala la kuanzisha mahakama ya mafisadi na wahujumu uchumi wanafanyia kazi na muda sio mrefu watatoa taarifa juu ya hatua walizofikia. 
Dk.Mwakyembe ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP),amesema kuwa suala mahakama linafanyiwa kazi kwa karibu na ofisi yake kutokana na ahadi ya Rais Dk.John Pombe Magufuli wakati wa kampeni. 
Mwakyembe amesema kuwa watu...

 

9 years ago

Michuzi

SUALA LA MAHAKAMA YA MAFISADI NA WAHUJUMU UCHUMI LINAFANYIWA KAZI - DKT. MWAKYEMBE

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dkt.Harrison Mwakyembe amesema kuwa suala la kuanzisha mahakama ya mafisadi na wahujumu uchumi linafanyiwa kazi na kwamba muda sio mrefu ujao taarifa juu ya hatua zilizofikiwa itatangazwa. Dkt.Mwakyembe ameyasema hayo leo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashitaka nchini (DPP), na kutanabahishwa kwamba suala la mahakama hiyo linafanyiwa kazi kwa karibu na ofisi yake kutokana na ahadi ya Rais Dk.John Pombe Magufuli wakati...

 

9 years ago

Mwananchi

MAONI YA MHARIRI: Mwaka 2016 uwe wa kujenga uchumi

Mwaka 2015 ulikuwa wa uchaguzi mkuu. Serikali ilitimiza wajibu wake, na wananchi; vijana kwa wazee, wake kwa waume walitekeleza wajibu wao uchaguzi ukafanyika tena kwa amani na utulivu.

 

10 years ago

Vijimambo

JK aziponda sera za uchumi za Nyerere, adai zimechangia umasikini wa Tanzania (na maoni yangu)

Rais Jakaya Kikwete amezilaumu sera za uchumi za Tanzania baada ya nchi yetu kupata uhuru akidai zimepelekea hali duni ya kiuchumi.Alieleza kuwa sera hizo ni moja ya sababu zinazoifanya Tanzania kuwa katika kundi la Nchi Masikini Zaidi Duniani (The Least Developed Countries - LCD) tangu utaratibu huo wa kuzigawanya nchi kutokana na viwango vyake vya kiuchumi na maendeleo uanze miaka ya 70.Akihutubia Alhamisi iliyopita jijini Washington DC, nchini Marekani katika Kongamano la Shirika la...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA YAZINDUA VILAINISHI VYA CASTROL NA KITUO CHA MAFUTA CHA OYSTERBAY, DAR

Meneja wa Usalama wakati wa Kazi wa Kampuni ya PUMA Energy Tanzania, Jonathan Mmari akizungumza machache. Walioko mbele kutoka kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya kampuni ya PUMA Energy Tanzania, Dkt. Ben Moshi na  Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya PUMA Energy Tanzania, Bw. Phillipe Corsaletti wakiwa na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa Vilainishi vya Castrol vilivyoendana na uzinduzi wa kituo kipya cha Mafuta kilichopo Oysterbay jijini Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

CCM yalia na watumishi wahujumu



Na Ahmed Makongo, Bunda CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mara, kimesema baadhi ya watumishi wa serikali mkoani humo, wanaihujumu serikali pamoja na ilani ya uchaguzi ya Chama. Katika madai yake hayo, CCM imesema watumishi hao wanafanya hivyo kwa kutokuwajibika ipasavyo katika kutekeleza majukumu yao ikiwa pamoja na kusimamia kikamilifu utekelezaji wa miradi ya maendeleo. Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mara, Christopher Sanya, alitoa shutuma hizo kwa nyakati na maeneo tofauti, wakati...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani