China kuwanyima viza wanaoingiza bidhaa feki
Ubalozi wa China nchini umesema una mpango wa kuwanyima viza Watanzania wenye rekodi chafu ya kuingiza bidhaa bandia kutoka nchini humo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima22 Nov
TFDA sasa shughulikieni wanaoingiza bidhaa feki
WATANZANIA kwa ujumla wamechoka kusikia kuteketezwa kwa chakula, vipodozi na dawa feki badala ya kukomesha na kuzuia njia za panya zinazotumika kuingiza bidhaa hizo, kwa kutoa adhabu kali kwa wahusika...
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Tanzania, China kudhibiti bidhaa feki
11 years ago
Mwananchi08 Aug
MAONI: Wanaoingiza vilainishi feki ni wahujumu uchumi
11 years ago
Mwananchi17 Sep
Bidhaa feki kudhibitiwa
11 years ago
Mwananchi27 Mar
Bidhaa feki zamiminika Zanzibar
10 years ago
Mwananchi24 Sep
TFDA kudhibiti bidhaa feki nchini
10 years ago
Habarileo29 Mar
Mbunge ahimiza udhibiti bidhaa feki
WAZIRI kivuli wa Viwanda na Biashara, David Kafulila (NCCR-Mageuzi), amesema kuongezeka kwa bidhaa feki nchini, kutokana na kutokuwepo mamlaka za udhibiti bandarini, huku Mamlaka ya Mapato (TRA) ikitumia mfumo wa Tancs kwa ajili ya ukaguzi wake.
11 years ago
Mwananchi10 Jul
Sheria ya faini bidhaa feki kurekebishwa
10 years ago
Dewji Blog09 Sep
Maonesho ya bidhaa toka China (Brands of China) kurindima Sept 10 hadi 13 ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar
Mkurugenzi wa Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA), Daniel Machemba akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa maonesho ya bidhaa toka China (Brands of China) yanayotarajiwa kuanza Sept 10 hadi 13 mwaka huu katika ukumbi Diamond Jubilee.
Mkurugenzi wa huduma za wanachama wa TPSF, Louis Accaro (kulia) akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa Tanzania Chamber of Commerce, Industry and Agriculture (TCCIA), Daniel Machemba wakati wa uzinduzi...