Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wachezaji wa kimataifa wawasili Azam

Wachezaji watatu wa Azam FC kukiimarisha kikosi chake, kwa ligi kuu Tanzania Bara na Kombe la Shirikisho barani Afrika.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa tenisi wawasili Tanzania

Tanzania mwenyeji wa michuano ya tenisi ya wazi kwa nchi za ukanda wa Afrika ya Mashariki.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wachezaji wa kimataifa wa Yanga waanza mazoezi

Wachezaji wa Yanga wa kimataifa wamewasili, kujiandaa na michuano ya kitaifa na kimataifa.

 

11 years ago

GPL

Azam FC bingwa 95%, wachezaji wapagawa

Wachezaji wa Azam FC. Na Sweetbert Lukonge
AZAM imebakiza ushindi kwenye mechi moja kati ya mbili zilizosalia kabla ya kutangazwa mabingwa wa Ligi Kuu Bara msimu wa 2013/14, baada ya jana kuiteketeza Ruvu Shooting kwa mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Mabatini uliopo Mlandizi, Pwani. Ushindi huo umewawezesha Azam kufikisha pointi 56, zikiwa ni nne mbele ya wapinzani wao, Yanga na kama Azam wakishinda mchezo ujao, watafikisha pointi...

 

11 years ago

Mwananchi

Kocha wa Azam FC awashukia wachezaji wake

Kocha Mkuu wa Azam FC, Joseph Omog, ametamka kwamba baadhi ya wachezaji wake hawakufuata maelekezo katika zoezi la upigaji wa penalti ambazo ziliwaondoa mashindanoni, huku mshambuliaji wake Kipre Tchetche akikataa kupiga penalti hizo.

 

10 years ago

GPL

USAJILI: AZAM YAWARUHUSU WACHEZAJI WAKE WALIOMALIZA MIKATABA

Amri Kiemba. Gaudence Mwaikimba (kushoto) ambaye ni mmoja wa wachezaji walioruhusiwa kutafuta timu. Azam FC imewaruhusu wachezaji wake watatu waliomaliza mikataba yao kutafuta timu nyingine. Wachezaji hao ni Gaudence Mwaikimba, Amri Kiemba (mkopo toka Simba) na Wandwi Jackson Pia klabu imerefusha mikataba ya wachezaji waliokuwa wakikaribia kumaliza mikataba yao. Wachezaji hao ni Said Morad, Erasto Nyoni, Dedier Kavumbagu,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Azam yajifua kimataifa na kitaifa

Azam FC wamesema watatumia michuano ijayo ya Kagame Cup kujiweka sawa kwa ligi kuu Tanzania Bara na Michuano ya kimataifa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Azam, Yanga zianze mikakati ya kimataifa

MSIMU wa Ligi Kuu ya Tanzania bara 2013/14, umefikia tamati Jumamosi iliyopita kwa timu ya Azam kubeba ubingwa kwa mara ya kwanza tangu walipoanzisha Juni 24, 2007. Mbali ya ubingwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Caf yabariki Uwanja wa Azam Complex kimataifa

Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF), limeupa hadhi ya kuchezea michuano mbalimbali ya kitaifa uwanja wa Azam Complex, Chamazi unaomilikiwa na klabu ya Azam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kila la heri Yanga, Azam, KMKM, Chuoni kimataifa

MWISHONI mwa wiki hii, kampeni za michuano ya kimataifa barani Afrika – kwa maana ya Ligi ya Mabingwa na Kombe la Shirikisho, zitaanza kwa hatua ya awali. Kwa upande wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani