Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Majeraha yamuandama Sharapova

Nyota wa tenesi Maria Sharapova ameendelea kuandamwa na majeraha kwenye michuano ya wazi ya Wuhan huko China

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

‘Bunge la Katiba majeraha tupu’

Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo amesema Bunge la Katiba litawaachia Watanzania majeraha ya mgawanyiko ambayo itachukua muda mrefu kuyatibu.

 

10 years ago

Habarileo

Maiti wenye majeraha watelekezwa Mjohoroni

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey KamwelaWATU watatu wanaume wasiofahamika, wamekutwa wamekufa na kutelekezwa maeneo ya Mjohoroni wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, huku miili yao ikionesha majeraha maeneo tofauti pamoja na kuvuja damu nyingi puani.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sergio Aguero na Silva wapata majeraha

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Sergio Aguerro anatarajiwa kukaa nje kwa mwezi mmoja baada ya kupata jeraha nyuma ya goti lake wakati alipokuwa akiichezea Argentina.

 

9 years ago

Bongo5

Marcus Rojo apata majeraha aumia bega mazoezini

2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935

Beki wa kushoto wa Klabu ya Manchester united Marcus Rojo atakua nje ya uwanja kwa muda wiki kadhaa baada ya kuumia bega wakati wa mazoezi.

2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935

Rojo alipata ajali hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi ya Alhamis kwa bega lilelile lilofyatuka msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City.

Rojo hakufanyiwa upasuaji kwa jeraha hilo ila alikaa nje ya dimba kwa muda wa wiki nne.

Klabu yake bado haijazungumzia swala la beki huyu ila ikitarajiwa kuwa leo ijumaa kocha mkuu wa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Shambulio la simba la muacha mlinzi wa hifadhi na majeraha mabaya

Mwanamke huyo alishambuliwa na kujeruhiwa vibaya na simba hao katika hifadhi hiyo iliopo New South Wales, polisi wanasema.

 

10 years ago

Bongo5

Manchester City itawakosa Sergio Aguero na Silva wapata majeraha

Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Argentina na klabu ya Manchester City, Sergio Aguero anatarajiwa kuwa nje kwa mwezi mmoja baada ya kupata jeraha nyuma ya goti lake wakati alipokuwa akiichezea Argentina. Aguero alicheza kwa dakika 22 pekee wakati timu Argentina iliposhindwa na Ecuador. “Nadhani nitakuwa nje kwa kipindi cha mwezi mmoja,” Aguero aliiambia TYC […]

 

10 years ago

Mwananchi

KESI YA MSUYA: Shahidi asema mwili ulikuwa na majeraha 26 ya risasi

Mwili wa mfanyabiashara tajiri wa Mererani aliyeuawa kwa kupigwa risasi, Erasto Msuya, ulikuwa na majeraha 26 ya risasi yaliyosababisha mfumo wa damu na upumuaji kusimama.

 

10 years ago

Vijimambo

RUBANI APATA MAJERAHA BAADA YA NDEGEVITA YA JWTZ KUANGUKA MWANZA


 Ndege hiyo kabla ya kuruka.Moto mkubwa ukiwaka baada ya Ndege Vita ya Jeshi la wananchi Tanzania (JWTZ) kuanguka katika uwanja wa jeshi Mwanza baada ya kupata hitilafu.
Rubani wa ndgevita hiyo Meja Peter Lyamunda  alipoona ndege yake inawaka moto alifanikiwa kujirusha nje ya ndege hiyo kwa kutumia vifaa maalum na kufanikiwa kuokoa maisha yake ingawa amepata majeraha katika mguu wakati wa kujiokoa. Picha Juu ni Mabaki ya ndege hiyo baada ya moto kuzimwa. Rubani wa Ndege hiyo   Baadhi ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Maria Sharapova kuikosa US Open

Nyota namba tatu wa mchezo wa Tenesi duniani kwa upande wa wanawake Maria Sharapova amejitoa kushirikia michuano Us Open

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani