Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maiti wenye majeraha watelekezwa Mjohoroni

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey KamwelaWATU watatu wanaume wasiofahamika, wamekutwa wamekufa na kutelekezwa maeneo ya Mjohoroni wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, huku miili yao ikionesha majeraha maeneo tofauti pamoja na kuvuja damu nyingi puani.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wanachuo watelekezwa, wazirai kwa njaa

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk Norman Sigalla.WANAFUNZI 46 wa chuo kipya cha kilimo na mifugo cha Nice Dream kilichopo Mtaa wa Mapelele, Kata ya Ilemi jijini Mbeya wamejikuta wakiwa katika wakati mgumu, baada ya kutelekezwa na uongozi wa chuo hicho, kiasi cha kushindwa kupata chakula kwa siku tano mfululizo, hali iliyosababisha baadhi yao kuzirai.

 

11 years ago

GPL

Wabongo waliopelekwa Brazil watelekezwa, warudishwa

Joseph Ngilisho na Basili Elias, Arusha
JUMLA ya vijana nane kutoka wilayani Arumeru waliopelekwa nchini Brazil na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyirembe Munasa, kwa lengo la kushuhudia Fainali za Kombe la Dunia, wameonja machungu kwa siku 10 nchini humo baada ya kutelekezwa katika viwanja mbalimbali vya ndege bila mahali pa kufikia. Inadaiwa kuwa, mara baada ya vijana hao kufika uwanja wa ndege nchini humo, walisogea hadi katika...

 

11 years ago

GPL

WATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO

Fatuma Hussein akiwa na watoto wake mapacha. Watoto mapacha wakiwa wamelala. Rahma akiwa kalala.…

 

9 years ago

Global Publishers

Mkuu wa Upelelezi TANAPA achinjwa shingo, mwili watelekezwa!

liberatusi-saKamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas. POLISI mkoani Arusha imewatia mbaroni watu wawili wanaohusishwa na tukio la kuuawa kinyama kwa kuchinjwa shingo kwa Mkuu wa Idara ya Upelelezi ya Ulinzi wa Shirika la Hifadhi za Taifa (TANAPA), Stephen Kisamo. Kifo cha Kisamo kinahusishwa na mambo mengi yakiwemo vita ya kupambana na ujangili, ikielezwa mkuu huyo alikuwa na siri nzito juu ya watu wanaojihusisha na ujangili wakiwemo wafanyabiashara wakubwa wa ndani na nje ya Arusha,...

 

9 years ago

BBCSwahili

Majeraha yamuandama Sharapova

Nyota wa tenesi Maria Sharapova ameendelea kuandamwa na majeraha kwenye michuano ya wazi ya Wuhan huko China

 

10 years ago

Mwananchi

‘Bunge la Katiba majeraha tupu’

Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo amesema Bunge la Katiba litawaachia Watanzania majeraha ya mgawanyiko ambayo itachukua muda mrefu kuyatibu.

 

9 years ago

BBCSwahili

Sergio Aguero na Silva wapata majeraha

Mshambuliaji wa klabu ya Manchester City Sergio Aguerro anatarajiwa kukaa nje kwa mwezi mmoja baada ya kupata jeraha nyuma ya goti lake wakati alipokuwa akiichezea Argentina.

 

5 years ago

BBCSwahili

Shambulio la simba la muacha mlinzi wa hifadhi na majeraha mabaya

Mwanamke huyo alishambuliwa na kujeruhiwa vibaya na simba hao katika hifadhi hiyo iliopo New South Wales, polisi wanasema.

 

9 years ago

Bongo5

Marcus Rojo apata majeraha aumia bega mazoezini

2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935

Beki wa kushoto wa Klabu ya Manchester united Marcus Rojo atakua nje ya uwanja kwa muda wiki kadhaa baada ya kuumia bega wakati wa mazoezi.

2ECEEEDA00000578-0-image-m-5_1449173168935

Rojo alipata ajali hiyo ya kufanyatuka bega ilitokea wakati wa mazoezi ya Alhamis kwa bega lilelile lilofyatuka msimu uliopita katika mchezo dhidi ya Manichester City.

Rojo hakufanyiwa upasuaji kwa jeraha hilo ila alikaa nje ya dimba kwa muda wa wiki nne.

Klabu yake bado haijazungumzia swala la beki huyu ila ikitarajiwa kuwa leo ijumaa kocha mkuu wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani