Wabongo waliopelekwa Brazil watelekezwa, warudishwa
![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbho7Eysa4Hb3nJ9MsFqIA*2s-v9ppu55456*ysTU33XEwjePRP8JyYmZ61QJib7SFKPwXlm0VvBXOKTRmBkmjk/wabongo.gif?width=650)
Joseph Ngilisho na Basili Elias, Arusha JUMLA ya vijana nane kutoka wilayani Arumeru waliopelekwa nchini Brazil na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyirembe Munasa, kwa lengo la kushuhudia Fainali za Kombe la Dunia, wameonja machungu kwa siku 10 nchini humo baada ya kutelekezwa katika viwanja mbalimbali vya ndege bila mahali pa kufikia. Inadaiwa kuwa, mara baada ya vijana hao kufika uwanja wa ndege nchini humo, walisogea hadi katika...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-o8QCeM-M8Eg/UwXUijy93AI/AAAAAAAFOSQ/3lvYVdtcmkk/s72-c/unnamed+(57).jpg)
WATOTO MAPACHA WALIOPELEKWA KUTENGANISHWA NCHINI INDIA WAREJEA JIJINI DAR.
![](http://1.bp.blogspot.com/-o8QCeM-M8Eg/UwXUijy93AI/AAAAAAAFOSQ/3lvYVdtcmkk/s1600/unnamed+(57).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-4T5o7Peb5aE/UwXUi2M92cI/AAAAAAAFOSc/EzKP8vA87ro/s1600/unnamed+(58).jpg)
10 years ago
Habarileo04 Mar
Maiti wenye majeraha watelekezwa Mjohoroni
WATU watatu wanaume wasiofahamika, wamekutwa wamekufa na kutelekezwa maeneo ya Mjohoroni wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, huku miili yao ikionesha majeraha maeneo tofauti pamoja na kuvuja damu nyingi puani.
10 years ago
Habarileo11 Nov
Wanachuo watelekezwa, wazirai kwa njaa
WANAFUNZI 46 wa chuo kipya cha kilimo na mifugo cha Nice Dream kilichopo Mtaa wa Mapelele, Kata ya Ilemi jijini Mbeya wamejikuta wakiwa katika wakati mgumu, baada ya kutelekezwa na uongozi wa chuo hicho, kiasi cha kushindwa kupata chakula kwa siku tano mfululizo, hali iliyosababisha baadhi yao kuzirai.
11 years ago
GPLWATOTO NJITI MAPACHA WATELEKEZWA NA BABA YAO
9 years ago
Global Publishers21 Dec
Mkuu wa Upelelezi TANAPA achinjwa shingo, mwili watelekezwa!
![liberatusi-sa](http://cdn2.yatosha.com/wp-content/uploads/2015/12/liberatusi-sa.jpg)
10 years ago
Vijimambo08 Jul
‘WATOTO’ WA DIAMOND WARUDISHWA SHULENI
![](http://api.ning.com/files/o1QX7UF1Vt4T*4ofbENGAVfgFQ0J*XxSfoazlh*iN*2kfqdzzA8F4qxfWVYc3oI5-5v4GIB6lKy*Am4Zve4Wqel1vf5-c-z9/dshule9.jpeg?width=650)
Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha GPL
BAADA ya vuta nikuvute ya wazazi wa wanafunzi, Hilary na Hamis ‘watoto wa Diamond’ walioshinda katika shindano la kucheza Ngololo mwaka jana na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuahidi kuwasomesha katika shule ya East Africa International iliyopo Mikocheni, Dar huku akishindwa kuwalipia ada na watoto hao kurudishwa nyumbani, hatimaye wamerejeshwa tena shuleni.
Baada ya gazeti hili kuripoti habari...
10 years ago
Mtanzania09 Feb
Mabinti wa ukahaba warudishwa India
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WASICHANA 22 walioingizwa nchini na mmiliki wa Continental Night Club na Hunters Club, Omprakash Singh kwa ajili ya kufanya biashara ya ukahaba wanarudishwa leo Nepal na India walikotoka.
Akizungumza jana na Mtanzania kwa njia ya simu, Kamishna wa Uhamiaji Udhibiti na Usimamizi wa Mipaka,
Abdallah Abdullah, alisema wasichana hao wanatarajia kuondoka leo baada ya kumaliza matibabu waliyokuwa wakipata.
“Wasichana waliokuwa wanaugua TB na UTI wote wamepona, tiketi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/oncLOIv1tO66M60WKbqJqohWx5vSxjx3dji4P6bJwMc3aKejIZ2qOPyH7B03xcCExGVGYnrNBj3oZMa9kuFUawKJMYFeTyoi/DivaLovenessLoveMARCH5B15D.jpg?width=650)
DIVA, B 12, MCHOMVU WARUDISHWA KAZINI CLOUDS
10 years ago
Mwananchi26 Apr
Watanzania waliokuwa Afrika Kusini warudishwa
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10