Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabinti wa ukahaba warudishwa India

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

WASICHANA 22 walioingizwa nchini na mmiliki wa Continental Night Club na Hunters Club, Omprakash Singh kwa ajili ya kufanya biashara ya ukahaba wanarudishwa leo Nepal na India walikotoka.

Akizungumza jana na Mtanzania kwa njia ya simu, Kamishna wa Uhamiaji Udhibiti na Usimamizi wa Mipaka,
Abdallah Abdullah, alisema wasichana hao wanatarajia kuondoka leo baada ya kumaliza matibabu waliyokuwa wakipata.

“Wasichana waliokuwa wanaugua TB na UTI wote wamepona, tiketi...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mabinti wauzwa ukahaba China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWATOTO wa kike wenye umri wa hadi miaka 14 wanadaiwa kufanyishwa biashara ya ukahaba China kutokana na kusafirishwa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu.

 

10 years ago

Vijimambo

‘WATOTO’ WA DIAMOND WARUDISHWA SHULENI

‘Watoto wa Diamond’ Hilary na Hamis.
Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha GPL
BAADA ya vuta nikuvute ya wazazi wa wanafunzi, Hilary na Hamis ‘watoto wa Diamond’ walioshinda katika shindano la kucheza Ngololo mwaka jana na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuahidi kuwasomesha katika shule ya East Africa International iliyopo Mikocheni, Dar huku akishindwa kuwalipia ada na watoto hao kurudishwa nyumbani, hatimaye wamerejeshwa tena shuleni.

Baada ya gazeti hili kuripoti habari...

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania waliokuwa Afrika Kusini warudishwa

Dar es Salaam. Serikali imewarejesha nyumbani Watanzania 26 walioathiriwa na mashambulizi yanayofanywa na wazawa dhidi ya wageni katika Jiji la Durban nchini Afrika Kusini.

 

11 years ago

GPL

Wabongo waliopelekwa Brazil watelekezwa, warudishwa

Joseph Ngilisho na Basili Elias, Arusha
JUMLA ya vijana nane kutoka wilayani Arumeru waliopelekwa nchini Brazil na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyirembe Munasa, kwa lengo la kushuhudia Fainali za Kombe la Dunia, wameonja machungu kwa siku 10 nchini humo baada ya kutelekezwa katika viwanja mbalimbali vya ndege bila mahali pa kufikia. Inadaiwa kuwa, mara baada ya vijana hao kufika uwanja wa ndege nchini humo, walisogea hadi katika...

 

11 years ago

GPL

DIVA, B 12, MCHOMVU WARUDISHWA KAZINI CLOUDS

Loveness Malinzi ‘Diva’. WATANGAZAJI maarufu Bongo wa Redio Clouds Fm ya jijini Dar es Salaam, Hamis Mandi ‘B 12’, Adam Mchomvu na Loveness Malinzi ‘Diva’, wamerudishwa kazini baada ya kuomba msamaha. Hamis Mandi ‘B 12’.…

 

10 years ago

Mwananchi

Muswada wa Takwimu wadunda tena bungeni, warudishwa

Dodoma. Muswada wa Sheria ya Takwimu uliokuwa uwasilishwe bungeni katika mkutano wa 18, hautawasilishwa tena hadi hapo taratibu za kikatiba zitakapokamilika.

 

10 years ago

GPL

‘WATOTO’ WA DIAMOND WARUDISHWA SHULENI

 ‘Watoto wa Diamond’ Hilary na Hamis. Gladness Mallya na Gabriel Ng’osha
BAADA ya vuta nikuvute ya wazazi wa wanafunzi, Hilary na Hamis ‘watoto wa Diamond’ walioshinda katika shindano la kucheza Ngololo mwaka jana na staa wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuahidi kuwasomesha katika  shule ya East Africa International iliyopo Mikocheni, Dar huku akishindwa...

 

5 years ago

Michuzi

WANAFUNZI WALIOCHUKULIWA NA KUWA WAFANYAKAZI WA NDANI WARUDISHWA ITISO


AFISA Tarafa wa Itiso  Remidius Emmanuel  ameendelea na  oparesheni  ya kuwafikia wazazi na walezi  wote kwa kupita nyumba kwa nyumba na kuwabaini wale wote ambao hadi sasa wameshindwa kuwapeleka watoto wao kuripoti na kuanza masomo ya kidato cha kwanza tangu kufunguliwa kwa shule hizo tarehe 06.01.2020.
Kiongozi huyo amesema  juhudi hizo ni sehemu ya maelekezo ya Mkuu wa Wilaya ya Chamwino, Vumilia  Nyamoga katika kuhakikisha wanafunzi wote waliofaulu na kuchaguliwa kujiunga na kidato cha...

 

11 years ago

GPL

WIMBI LA UKAHABA

Stori: Waandishi Wetu, Dar na Morogoro
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa! Mwanadada mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Fadhila Omary, mkazi wa Mbezi jijini Dar ametikisa midume na kuzua gumzo nchini baada ya kukamatwa mkoani Morogogo kwenye msako wa makahaba. KWA NINI?
Unaweza ukajiuliza kwa nini amegeuka gumzo lakini jibu ni kwamba ishu hiyo imemkuta hivi karibuni ikiwa ni miezi michache baada ya Mahakama ya Jiji la Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani