Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mabinti wauzwa ukahaba China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWATOTO wa kike wenye umri wa hadi miaka 14 wanadaiwa kufanyishwa biashara ya ukahaba China kutokana na kusafirishwa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Mabinti wa ukahaba warudishwa India

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

WASICHANA 22 walioingizwa nchini na mmiliki wa Continental Night Club na Hunters Club, Omprakash Singh kwa ajili ya kufanya biashara ya ukahaba wanarudishwa leo Nepal na India walikotoka.

Akizungumza jana na Mtanzania kwa njia ya simu, Kamishna wa Uhamiaji Udhibiti na Usimamizi wa Mipaka,
Abdallah Abdullah, alisema wasichana hao wanatarajia kuondoka leo baada ya kumaliza matibabu waliyokuwa wakipata.

“Wasichana waliokuwa wanaugua TB na UTI wote wamepona, tiketi...

 

11 years ago

BBCSwahili

Walaghaiwa kushiriki ukahaba China

Serikali ya Tanzania imebaini usafirishwaji wa wasichana kutoka Tanzania kwenda China kushirikishwa katika biashara ya ukahaba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabinti Watanzania wanavyotumikishwa madanguroni China (Pt. 2)

>Jana katika tovuti hii, kulikuwa na habari ambayo inamuhusu binti wa Kitanzania Munira Mathias (siyo jina lake halisi) ambaye alipelekwa China kwa ahadi ya kupewa kazi hotelini, lakini alipofika hadithi iligeuka na alianza kutumikishwa katika biashara ya ukahaba.

 

11 years ago

Mwananchi

Mabinti Watanzania wanavyotumikishwa madanguroni China-2

>Jana katika tovuti hii, kulikuwa na habari ambayo inamuhusu binti wa Kitanzania Munira Mathias (siyo jina lake halisi) ambaye alipelekwa China kwa ahadi ya kupewa kazi hotelini, lakini alipofika hadithi iligeuka na alianza kutumikishwa katika biashara ya ukahaba.

 

11 years ago

GPL

WATANZANIA WANNE MBARONI KWA KUWATUMIKISHA MABINTI KINGONO NCHINI CHINA

Baadhi ya mabinti wanaotumikishwa katika biashara hiyo ya ngono. WATANZANIA wanne wametiwa nguvuni jijini Macau nchini China kwa kuwatumikisha mabinti katika biashara haramu ya ngono.
Chanzo:…

 

9 years ago

Mwananchi

Wawili Simba ‘wauzwa’ Senegal

Washambuliaji wawili raia wa Senegal walioshindwa majaribio kwenye klabu ya Simba, Papa Niang na Pape N’daw wamewataja Awadh Juma na Simon Sserunkuma kuwa ni wachezaji tishio.

 

11 years ago

GPL

WIMBI LA UKAHABA

Stori: Waandishi Wetu, Dar na Morogoro
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa! Mwanadada mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Fadhila Omary, mkazi wa Mbezi jijini Dar ametikisa midume na kuzua gumzo nchini baada ya kukamatwa mkoani Morogogo kwenye msako wa makahaba. KWA NINI?
Unaweza ukajiuliza kwa nini amegeuka gumzo lakini jibu ni kwamba ishu hiyo imemkuta hivi karibuni ikiwa ni miezi michache baada ya Mahakama ya Jiji la Dar...

 

11 years ago

Habarileo

'Hakuna ukahaba UDOM'

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Profesa Idris Kikula, ameeleza namna alivyofuatilia na kubaini wasichana wanaofanya vitendo vya kujiuza mjini hapa, wakijifanya ni wanafunzi wa chuo hicho.

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana 6 kortini kwa ukahaba

WASICHANA sita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive kujibu mashitaka ya kufanya biashara haramu ya ukahaba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani