Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walaghaiwa kushiriki ukahaba China

Serikali ya Tanzania imebaini usafirishwaji wa wasichana kutoka Tanzania kwenda China kushirikishwa katika biashara ya ukahaba.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mabinti wauzwa ukahaba China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWATOTO wa kike wenye umri wa hadi miaka 14 wanadaiwa kufanyishwa biashara ya ukahaba China kutokana na kusafirishwa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu.

 

11 years ago

GPL

WIMBI LA UKAHABA

Stori: Waandishi Wetu, Dar na Morogoro
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa! Mwanadada mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Fadhila Omary, mkazi wa Mbezi jijini Dar ametikisa midume na kuzua gumzo nchini baada ya kukamatwa mkoani Morogogo kwenye msako wa makahaba. KWA NINI?
Unaweza ukajiuliza kwa nini amegeuka gumzo lakini jibu ni kwamba ishu hiyo imemkuta hivi karibuni ikiwa ni miezi michache baada ya Mahakama ya Jiji la Dar...

 

11 years ago

Habarileo

'Hakuna ukahaba UDOM'

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Profesa Idris Kikula, ameeleza namna alivyofuatilia na kubaini wasichana wanaofanya vitendo vya kujiuza mjini hapa, wakijifanya ni wanafunzi wa chuo hicho.

 

11 years ago

GPL

MJAMZITO ANASWA KWA UKAHABA

Stori: ISSA MNALLY NA DUSTAN SHEKIDELE
OPARESHENI ya Polisi wa Mkoa wa Morogoro na kikosi maalum cha kufichua Maovu cha Magazeti ya Global Publishers (OFM), imemnasa mwanamke mjamzito katika kamatakamata ya machangudoa. Katika oparesheni hiyo ya aina yake iliyofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika eneo la Msamvu (Kambi ya Itigi), wanawake 30 waliodaiwa kujihusisha na biashara hiyo walikamatwa. Waandishi wetu wakiwa na...

 

11 years ago

Habarileo

Kasi ya ukahaba Iringa yamtisha RC

BIASHARA ya ngono imeelezwa kushika kasi mjini Iringa huku vijana wa kiume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja nao wakiongezeka. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk Christine Ishengoma ameiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kutumia vyombo vya dola kuwasaka watu hao na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria.

 

10 years ago

Mtanzania

Mabinti wa ukahaba warudishwa India

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

WASICHANA 22 walioingizwa nchini na mmiliki wa Continental Night Club na Hunters Club, Omprakash Singh kwa ajili ya kufanya biashara ya ukahaba wanarudishwa leo Nepal na India walikotoka.

Akizungumza jana na Mtanzania kwa njia ya simu, Kamishna wa Uhamiaji Udhibiti na Usimamizi wa Mipaka,
Abdallah Abdullah, alisema wasichana hao wanatarajia kuondoka leo baada ya kumaliza matibabu waliyokuwa wakipata.

“Wasichana waliokuwa wanaugua TB na UTI wote wamepona, tiketi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Ukahaba UDOM ulininyima usingizi’

KASHFA ya ukahaba iliyokuwa inakikabili Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) pamoja na maandamano na migomo, vimekuwa vikimnyima usingizi Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Idris Kikula. Profesa Kikula alibainisha hayo...

 

10 years ago

BBCSwahili

Straus Kahn ahusishwa na ukahaba

Aliyekuwa mkuu wa shirika la fedha duniani IMF,Dominique Strauss Kahn ameshtakiwa kwa kuhusika na mtandao wa ukahaba

 

11 years ago

BBCSwahili

Makahaba Kenya:Ukahaba uidhinishwe

Makahaba mjini Nairobi, Kenya waliungana na wenzao duniani kuadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga unyanyasaji dhidi yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani