Walaghaiwa kushiriki ukahaba China
Serikali ya Tanzania imebaini usafirishwaji wa wasichana kutoka Tanzania kwenda China kushirikishwa katika biashara ya ukahaba.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mabinti wauzwa ukahaba China
WATOTO wa kike wenye umri wa hadi miaka 14 wanadaiwa kufanyishwa biashara ya ukahaba China kutokana na kusafirishwa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZduqhxN-3X2oODBSCjIPSchfy0AZ28DVLNSSF9oXLQQ66ZV-V3YKNeXCPJhTNshf9-ug8C-JI2w-Ia6RCknO-Bg/KAHABA.jpg?width=650)
WIMBI LA UKAHABA
11 years ago
Habarileo04 Feb
'Hakuna ukahaba UDOM'
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Profesa Idris Kikula, ameeleza namna alivyofuatilia na kubaini wasichana wanaofanya vitendo vya kujiuza mjini hapa, wakijifanya ni wanafunzi wa chuo hicho.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MlukZF2i55LAf-jbEVj6QaSvR5H*i-6bDErb80ymjzfC9WoKcuyFVwTK5coHJTrs39e1XkHBgKA3foUsOwHLkLc1ILk8dfK6/MJAMZITO.jpg?width=650)
MJAMZITO ANASWA KWA UKAHABA
11 years ago
Habarileo02 Feb
Kasi ya ukahaba Iringa yamtisha RC
BIASHARA ya ngono imeelezwa kushika kasi mjini Iringa huku vijana wa kiume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja nao wakiongezeka. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk Christine Ishengoma ameiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kutumia vyombo vya dola kuwasaka watu hao na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria.
10 years ago
Mtanzania09 Feb
Mabinti wa ukahaba warudishwa India
Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
WASICHANA 22 walioingizwa nchini na mmiliki wa Continental Night Club na Hunters Club, Omprakash Singh kwa ajili ya kufanya biashara ya ukahaba wanarudishwa leo Nepal na India walikotoka.
Akizungumza jana na Mtanzania kwa njia ya simu, Kamishna wa Uhamiaji Udhibiti na Usimamizi wa Mipaka,
Abdallah Abdullah, alisema wasichana hao wanatarajia kuondoka leo baada ya kumaliza matibabu waliyokuwa wakipata.
“Wasichana waliokuwa wanaugua TB na UTI wote wamepona, tiketi...
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
‘Ukahaba UDOM ulininyima usingizi’
KASHFA ya ukahaba iliyokuwa inakikabili Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) pamoja na maandamano na migomo, vimekuwa vikimnyima usingizi Makamu Mkuu wa chuo hicho, Profesa Idris Kikula. Profesa Kikula alibainisha hayo...
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Straus Kahn ahusishwa na ukahaba
11 years ago
BBCSwahili18 Dec
Makahaba Kenya:Ukahaba uidhinishwe