Kasi ya ukahaba Iringa yamtisha RC
BIASHARA ya ngono imeelezwa kushika kasi mjini Iringa huku vijana wa kiume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja nao wakiongezeka. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk Christine Ishengoma ameiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kutumia vyombo vya dola kuwasaka watu hao na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog24 May
SAGCOT yashika kasi kongani mwa Ihemi — Iringa na Njombe
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mh. Dk. Rehema Nchimbi akifungua kikao kazi cha biashara ya kilimo kwa kongani ya Ihemi iliyoandaliwa na SAGCOT (Southern Agricultural Growth Corridor of Tanzania) kwa ushirikiano na UONGOZI Institute (Taasisi ya Uongozi Afrika kwa Maendeleo Endelevu) Iringa mjini. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Maendeleo ya Kilimo wa TCCIA Bi. Magadalena Mkocha, Mwenyikiti wa Bodi ya Agricultural Council of Tanzania Dk. Sinare Y. Sinare, DC wa Iringa Mh. Angeline Mabula, DC wa...
11 years ago
Tanzania Daima19 Jul
Kamari yamtisha Malinzi
KASI ya kamari katika soka nchini maarufu kama ‘betting’, imeanza kumtisha Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akihofia kuuvuruga mchezo huo kama hatua hazitachukuliwa. Malinzi aliyeukwaa urais...
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Makundi ya urais yamtisha Sitta
USHINDI wa Samuel Sitta kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, umeanza kuwatia hofu wabaya wake kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na sasa ameundiwa zengwe la kumchafua. Tanzania...
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Sura ya mke yamtisha mumewe harusini
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/YBFp7QfmCZduqhxN-3X2oODBSCjIPSchfy0AZ28DVLNSSF9oXLQQ66ZV-V3YKNeXCPJhTNshf9-ug8C-JI2w-Ia6RCknO-Bg/KAHABA.jpg?width=650)
WIMBI LA UKAHABA
11 years ago
Habarileo04 Feb
'Hakuna ukahaba UDOM'
MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Profesa Idris Kikula, ameeleza namna alivyofuatilia na kubaini wasichana wanaofanya vitendo vya kujiuza mjini hapa, wakijifanya ni wanafunzi wa chuo hicho.
11 years ago
Habarileo27 Mar
Mabinti wauzwa ukahaba China
WATOTO wa kike wenye umri wa hadi miaka 14 wanadaiwa kufanyishwa biashara ya ukahaba China kutokana na kusafirishwa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu.
10 years ago
BBCSwahili02 Feb
Straus Kahn ahusishwa na ukahaba
11 years ago
BBCSwahili27 Mar
Walaghaiwa kushiriki ukahaba China