Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kamari yamtisha Malinzi

KASI ya kamari katika soka nchini maarufu kama ‘betting’, imeanza kumtisha Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akihofia kuuvuruga mchezo huo kama hatua hazitachukuliwa. Malinzi aliyeukwaa urais...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Makundi ya urais yamtisha Sitta

USHINDI wa Samuel Sitta kuwa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, umeanza kuwatia hofu wabaya wake kisiasa ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na sasa ameundiwa zengwe la kumchafua. Tanzania...

 

11 years ago

Habarileo

Kasi ya ukahaba Iringa yamtisha RC

BIASHARA ya ngono imeelezwa kushika kasi mjini Iringa huku vijana wa kiume wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja nao wakiongezeka. Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dk Christine Ishengoma ameiagiza Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kutumia vyombo vya dola kuwasaka watu hao na kuwafikisha kwenye mikono ya sheria.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sura ya mke yamtisha mumewe harusini

Mume amkataa bi harusi kwakuwa ana sura mbaya na hafai kuolewa katika siku yake ya kwanza ya kuonana naye.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wacheza kamari ya Kombe, wachezwa

Wacheza kamari kutoka sehemu tofautii za dunia kwa simu na kwenye internet kuhusu Kombe la Kandana la Dunia, waliwa pesa zao Macau

 

11 years ago

Mwananchi

Mtandao wa kamari wahusisha Polisi, halmashauri

>Ni pembeni ya kituo cha basi cha Mbagala Rangi Tatu, vijana kadhaa wakiwa na wanawake wa makamo na wasichana wanachezesha mchezo wa karata tatu, maarufu kama kamari, hadharani na watu wa usalama wakipita na kuona kitu hicho.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana na ndoto ya utajiri kupitia kamari

TAKRIBAN Waaustralia 290,000 wana tatizo la kucheza kamari, jambo linalowasababishia hasara ya zaidi ya dola bilioni tatu za Marekani kila mwaka. Kwa hapa nchini Peter ni miongoni mwa vijana wengi...

 

10 years ago

Mwananchi

Kamari za soka gumzo kila kona Dar

>Ni dhahiri sasa michezo ya kubahatisha hapa nchini imeshika kasi kutokana na ongezeko la vituo vya kamari ya soka maarufu kama ‘kubeti’.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Nchi imejaa vijana wacheza kamari, tuwanusuru

>Natambua kuwa kwa sababu mbalimbali,  walengwa husika wa  makala haya hawatosoma mawazo yangu, lakini wewe utakayebahatika kunisoma kwa pamoja, mimi na wewe tuna dhima ya kuwanusuru vijana  wa Taifa hili.

 

10 years ago

Raia Mwema

Kamari waliyoicheza kina Mbowe na Lowassa isipolipa watalipa?

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeweka hatima yake, hadhi yake, na sifa zake zote m

Lula wa Ndali Mwananzela

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani