Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mtandao wa kamari wahusisha Polisi, halmashauri

>Ni pembeni ya kituo cha basi cha Mbagala Rangi Tatu, vijana kadhaa wakiwa na wanawake wa makamo na wasichana wanachezesha mchezo wa karata tatu, maarufu kama kamari, hadharani na watu wa usalama wakipita na kuona kitu hicho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Wahusisha kesi ya ugaidi na Muungano

KIONGOZI wa Jumuiya ya Uamsho Zanzibar, Shehe Farid Hadi Ahmed (45) na wenzake 19 wanaokabiliwa na mashitaka ya kujihusisha na vitendo vya ugaidi, wamedai wamekamatwa na kushitakiwa kwa kuwa wanapinga Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yanasa mtandao wa `kigaidi’

Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, Mihayo MsikhelaJESHI la Polisi mkoani Ruvuma kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, limefanikiwa kukitambua kikundi cha mtandao wa kigaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Polisi idhibiti mtandao wa vibaka Dar

Jana katika safu ya ‘Ndani ya Habari’ tulichapisha ripoti ya uchunguzi uliofanywa na timu ya waandishi wa gazeti hili kuhusu kuwapo kwa mtandao mpana wa vibaka wanaofanya vitendo vya uhalifu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam. Uchunguzi huo uliochukua siku saba umeibua mambo mengi ya kutisha kuhusu uhalifu unaofanywa na mtandao huo wa vibaka na kuonyesha pasipo kuacha shaka kuwa, mtandao huo usipodhibitiwa Dar es Salaam hapatakuwa tena mahali salama pa kuishi.

 

11 years ago

Michuzi

POLISI WAUNGANISHA NGUVU KUKABILIANA NA UHALIFU MTANDAO

Polisi wa visiwa vya kifalme vya Solomon vilivyopo pasifiki ya kusini wameunganisha nguvu katika mapambano dhidi ya uhalifu mtandao na kuelezwa ya kwamba nguvu kubwa itasogezwa mashuleni ili kukuza uelewa wa maswala ya uhalifu mtandao (Awareness) na kusisitizwa hiyo ndio itakua shabaha yao ya awali. Haya yamebainishwa na Bradford Theonomi katika taarifa yake ya kingereza inayosomeka   "HAPA" .
Kupitia program ya mpango uliopewa jina la “Cyber safety pasifika” uliopangwa kuwasaidia watoto,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamari yamtisha Malinzi

KASI ya kamari katika soka nchini maarufu kama ‘betting’, imeanza kumtisha Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akihofia kuuvuruga mchezo huo kama hatua hazitachukuliwa. Malinzi aliyeukwaa urais...

 

9 years ago

Mwananchi

Mtandao wa TACCEO walaani polisi kuvamia kituo chao

Mtandao wa Asasi za Kiraia za Uangalizi wa Chaguzi (TACCEO), umelaani kitendo cha Polisi kuvamia kituo chao na kuwakamata waangalizi na vifaa walivyokuwa wakitumia kupokea taarifa zilizokuwa zikihusiana na mchakato wa uchaguzi uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wacheza kamari ya Kombe, wachezwa

Wacheza kamari kutoka sehemu tofautii za dunia kwa simu na kwenye internet kuhusu Kombe la Kandana la Dunia, waliwa pesa zao Macau

 

11 years ago

Ykileo

POLISI WA UNGANISHA NGUVU KWENYE MAPAMBANO DHIDI YA UHALIFU MTANDAO

Polisi wa visiwa vya kifalme vya Solomon vilivyopo pasifiki ya kusini wameunganisha nguvu katika mapambano dhidi ya uhalifu mtandao na kuelezwa ya kwamba nguvu kubwa itasogezwa mashuleni ili kukuza uelewa wa maswala ya uhalifu mtandao (Awareness) na kusisitizwa hiyo ndio itakua shabaha yao ya awali. Haya yamebainishwa na Bradford Theonomi katika taarifa yake ya kingereza inayosomeka   "HAPA" .


Kupitia program ya mpango uliopewa jina la “Cyber safety pasifika” uliopangwa kuwasaidia watoto,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani