Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi idhibiti mtandao wa vibaka Dar

Jana katika safu ya ‘Ndani ya Habari’ tulichapisha ripoti ya uchunguzi uliofanywa na timu ya waandishi wa gazeti hili kuhusu kuwapo kwa mtandao mpana wa vibaka wanaofanya vitendo vya uhalifu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam. Uchunguzi huo uliochukua siku saba umeibua mambo mengi ya kutisha kuhusu uhalifu unaofanywa na mtandao huo wa vibaka na kuonyesha pasipo kuacha shaka kuwa, mtandao huo usipodhibitiwa Dar es Salaam hapatakuwa tena mahali salama pa kuishi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Mtandao wa vibaka na uhalifu wajiimarisha maeneo mengi

Pamoja na kuendelea kuvutia misururu ya watu wanaoingia katika Jiji la Dar es Salaam kila kukicha, maeneo yake mengi yamebainika kuwa si salama.

 

5 years ago

Michuzi

RC MAKONDA AWAELEKEZA POLISI KUWASHUGHULIKIA KIKAMILIFU VIBAKA NA WANAOPORA MALI ZA WATU.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amemuelekeza Kamanda wa polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam kuhakikisha wanawashughulikia ipasavyo baadhi ya vijana walioanza tabia ya kupora na kuiba Mali za Watu jambo linalorudisha nyuma maendeleo ya Watu.

RC Makonda amesema operesheni maalumu ya kushughulikia Vibaka hao imeanza rasmi jana ambapo amemtaka kila mzazi kuhakikisha anamchunga mwanae kwakuwa hakuna kibaka atakaesalimika katika msako huo.

Mhe. Makonda ametoa agizo hilo wakati wa...

 

11 years ago

GPL

VIBAKA WANUSURIKA KIFO KIJITONYAMA JIJINI DAR

Vijana wawili waliotaka kupora mkoba wa dada mmoja wakiwa hoi kwa kichapo kutoka kwa wananchi. Mmoja wa vibaka hao akiwa mtaroni baada ya kipondo.…

 

11 years ago

GPL

WAKAZI WA DAR WACHOCHWA NA TABIA YA VIBAKA (MBWA MWITU)

Umati wa watu wakishuhudia. Polisi wakibeba mwili wa marehemu. Mwili ukipakiwa…

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limefanikiwa kukamata silaha moja aina ya SMG yenye namba BA172288  na risasi kumi na tatu wakati wa  mapambano makali ya ana kwa ana kati ya majambazi na Jeshi la Polisi.  Aidha katika tukio hilo majambazi wawili waliuawa  kwa risasi wak ati wakijaribu kuwadhuru askari.  
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Serikali idhibiti solar feki’

SERIKALI imeombwa kuziongezea nguvu mamlaka zake zinazodhibiti uingizwaji wa bidhaa nchini ili kuepuka kuwapo kwa bidhaa hafifu za umeme wa mionzi ya jua (solar). Wito huo ulitolewa jijini Dar es...

 

10 years ago

Habarileo

Polisi yanasa mtandao wa `kigaidi’

Kamanda wa Polisi mkoa wa Ruvuma, Mihayo MsikhelaJESHI la Polisi mkoani Ruvuma kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, limefanikiwa kukitambua kikundi cha mtandao wa kigaidi.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali idhibiti kilimo cha tumbaku-TTCF

Serikali imetakiwa kutunga sheria zitakazodhibiti kilimo na matumizi ya tumbaku nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani