Polisi idhibiti mtandao wa vibaka Dar
Jana katika safu ya ‘Ndani ya Habari’ tulichapisha ripoti ya uchunguzi uliofanywa na timu ya waandishi wa gazeti hili kuhusu kuwapo kwa mtandao mpana wa vibaka wanaofanya vitendo vya uhalifu katika maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam. Uchunguzi huo uliochukua siku saba umeibua mambo mengi ya kutisha kuhusu uhalifu unaofanywa na mtandao huo wa vibaka na kuonyesha pasipo kuacha shaka kuwa, mtandao huo usipodhibitiwa Dar es Salaam hapatakuwa tena mahali salama pa kuishi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi14 Apr
Mtandao wa vibaka na uhalifu wajiimarisha maeneo mengi
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-mBd-pzXgtqU/XtqaJDMVXlI/AAAAAAALsxw/erjKr9-qLpYmE8DdCcwv1ZIdhfdjVqCmQCLcBGAsYHQ/s72-c/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
RC MAKONDA AWAELEKEZA POLISI KUWASHUGHULIKIA KIKAMILIFU VIBAKA NA WANAOPORA MALI ZA WATU.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mBd-pzXgtqU/XtqaJDMVXlI/AAAAAAALsxw/erjKr9-qLpYmE8DdCcwv1ZIdhfdjVqCmQCLcBGAsYHQ/s640/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
RC Makonda amesema operesheni maalumu ya kushughulikia Vibaka hao imeanza rasmi jana ambapo amemtaka kila mzazi kuhakikisha anamchunga mwanae kwakuwa hakuna kibaka atakaesalimika katika msako huo.
Mhe. Makonda ametoa agizo hilo wakati wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/q34XLvoT5YhePr6oCv2HdtQyJtRdxhn2i5XafZlqkxBRErlhPwvrbS4c4RYBXQhE9aoIaDaByE9-9z95aFQFke3V-Im*Du7*/09vibaka2.jpg?width=650)
VIBAKA WANUSURIKA KIFO KIJITONYAMA JIJINI DAR
11 years ago
GPLWAKAZI WA DAR WACHOCHWA NA TABIA YA VIBAKA (MBWA MWITU)
11 years ago
Michuzi14 May
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s72-c/kova18_232_300.jpg)
TAARIFA YA POLISI JIJINI DAR: MAJAMBAZI WAWILI WAUAWA DAR WAKATI WA MAPAMBANO KATI YAO NA ASKARI WA JESHI LA POLISI
![](http://4.bp.blogspot.com/-YFKpWo8xoJQ/VMOMrmLWPyI/AAAAAAAG_Uw/l-2FcASe20k/s1600/kova18_232_300.jpg)
Tukio hilo lilitokea eneo la Kariakoo mtaa wa Mkunguni na Livingstone saa 3.00hrs usiku. Wakati wa tukio hilo umeme ulikuwa hakuna na mlalamikaji alikuwa anatumia taa za...
11 years ago
Tanzania Daima30 Jan
‘Serikali idhibiti solar feki’
SERIKALI imeombwa kuziongezea nguvu mamlaka zake zinazodhibiti uingizwaji wa bidhaa nchini ili kuepuka kuwapo kwa bidhaa hafifu za umeme wa mionzi ya jua (solar). Wito huo ulitolewa jijini Dar es...
10 years ago
Habarileo05 Jan
Polisi yanasa mtandao wa `kigaidi’
JESHI la Polisi mkoani Ruvuma kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama, limefanikiwa kukitambua kikundi cha mtandao wa kigaidi.
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Serikali idhibiti kilimo cha tumbaku-TTCF