RC MAKONDA AWAELEKEZA POLISI KUWASHUGHULIKIA KIKAMILIFU VIBAKA NA WANAOPORA MALI ZA WATU.
![](https://1.bp.blogspot.com/-mBd-pzXgtqU/XtqaJDMVXlI/AAAAAAALsxw/erjKr9-qLpYmE8DdCcwv1ZIdhfdjVqCmQCLcBGAsYHQ/s72-c/Paul-Makonda-Facebook.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe. Paul Makonda amemuelekeza Kamanda wa polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam kuhakikisha wanawashughulikia ipasavyo baadhi ya vijana walioanza tabia ya kupora na kuiba Mali za Watu jambo linalorudisha nyuma maendeleo ya Watu.
RC Makonda amesema operesheni maalumu ya kushughulikia Vibaka hao imeanza rasmi jana ambapo amemtaka kila mzazi kuhakikisha anamchunga mwanae kwakuwa hakuna kibaka atakaesalimika katika msako huo.
Mhe. Makonda ametoa agizo hilo wakati wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Jeshi la Polisi Igunga lashikiliwa Ng’ombe 320 waliovamia mashamba ya wakulima na watu saba watuhumiwa kuharibu mali na kujeruhi
Ng’ombe wa wafugaji wa kabila la Kitaturu waishio kijiji cha Isakamaliwa, Wilayani Igunga wakiwa katika kituo cha Polisi Igunga wakiwa chini ya ulinzi baada ya kuvamia mashamba ya wakulima wa kijiji hicho.
Baadhi ya wakulima wa kijiji cha Isakamaliwa ambao mashamba yao yalivamiwa na mifugo hiyo wakiwa kituo cha Polisi wakisubiri maelekezo ya askari mara baada ya kuwafikisha Ng’ombe waliovamia mashamba yao na kuwasababishia hasara.
Na Jumbe Ismailly,Igunga
JESHI la polisi wilayani...
10 years ago
Mwananchi15 Apr
Polisi idhibiti mtandao wa vibaka Dar
5 years ago
MichuziJESHI LA POLISI MKOA WA MWANZA LAMSHIKILIA DEREVA WA LORI MALI YA TEXAS HARDWARE KWA KUSABABISHA AJALI ILIYOPELEKEA VIFO VYA WATU 8 NA MAJERUHI 5 WILAYA YA MAGU
TAREHE 10.06.2020 MAJIRA YA 19:45HRS KATIKA BARABARA YA MWANZA – MUSOMA, ENEO LA IHAYABUYAGA, KATA YA BUKANDWE, TARAFA YA SANJO, WILAYA YA MAGU – MWANZA, DEREVA AITWAE BONIPHACE CLIPHORD @TUJU MIAKA 37, MJITA, MKAZI WA MWANZA-NERA AKIENDESHA GARI NA T.322 DCB TRAILER T.1351 DCA AINA YA SCANIA LIKITOKEA WILAYA YA BUSEGA KWENDA MWANZA MALI YA KAMPUNI YA TEXAS HARDWARE, ILIGONGA TELA YA TRAKTA KWA NYUMA AMBAYO ILIKUWA HAINA TAA ZA NYUMA YENYE NAMBA ZA USAJILI T.952 DGW, BAADA YA KULIGONGA...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-jBjubK2ITq0/VKPxApZuJOI/AAAAAAAG6ws/d8tk2Y6erR4/s72-c/image061%2B(1).jpg)
JESHI LA POLISI LIMEJIPANGA KIKAMILIFU KUHUSU MKESHA WA MWAKA MPYA WA 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-jBjubK2ITq0/VKPxApZuJOI/AAAAAAAG6ws/d8tk2Y6erR4/s1600/image061%2B(1).jpg)
Hali kama hiyo haitavumiliwa na Jeshi la Polisi kwa sababu badala ya sherehe hugeuka vitisho, vurugu, na kisha kuwatia hofu wananchi wasiokuwa na...
5 years ago
MichuziRC MAKONDA ATOA SHEHENA YA FUTARI KWA MAKUNDI YA WATU WASIOJIWEZA.
Katika Shehena hiyo aliyotoa RC Makonda kila Mwananchi amepata vifurushi vyenye Mchele Kilo 5, Unga kilo 5, Sukari, kiroba cha Maharage na Mafuta ya kupikia.
Msaada huo wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s72-c/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
RC MAKONDA ATANGAZA DAWA KWA WAKANDARASI WANAOKIUKA TARATIBU ZA MIKATABA * RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo Na Leandra Gabriel, Michuzi TV MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya w
![](https://1.bp.blogspot.com/-JQCJar-9Q-Y/Xl-VysRd-lI/AAAAAAALg7M/RR2ILAmxsP4d1u4NBU6VL6Li4hn4R5IlgCLcBGAsYHQ/s640/WhatsApp%2BImage%2B2020-03-04%2Bat%2B2.04.17%2BPM.jpeg)
* RC Makonda asema hakuna mgonjwa wa Covid 19, awataka wananchi kufuata maelekezo
Na Leandra Gabriel, Michuzi TVMKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda ametangaza kamati ya watu 13 kutoka Serikali na sekta binafsi ambao...
11 years ago
BBCSwahili19 May
Watu 17 wauawa nchini Mali
10 years ago
BBCSwahili01 Feb
Waasi wa Mali wawateka nyara watu 20
11 years ago
Habarileo26 Jul
Mbunge wa Busega kukabili wanaopora fedha za miradi
MBUNGE wa jimbo la Busega mkoani Simiyu, Dk Titus Kamani amesema hatavumilia watu wanaokula fedha za miradi ya maendeleo jimboni humo.