Kamari za soka gumzo kila kona Dar
>Ni dhahiri sasa michezo ya kubahatisha hapa nchini imeshika kasi kutokana na ongezeko la vituo vya kamari ya soka maarufu kama ‘kubeti’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/Mj1bnT_AkVI/default.jpg)
10 years ago
Dewji Blog19 Feb
Uteuzi wa Makonda wawa gumzo kila kona mitandaoni, mitaani
Na Andrew Chale wa modewji blog
Ikiwa ni siku moja tu tangu kutangazwa kwa wakuu wapya wa Wilaya mbalimbali za Tanzania Bara, Uteuzi uliofanywa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Jakaya Mrisho Kikwete ikiwemo kumteua kada wa Chama cha Mapinduzi anayetokea Jumuiya ya Vijana (UVCCM), Paul Makonda kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, watanzania wengi wamebeza uteuzi huo huku wengine wakiunga mkono.
Modewji blog iliweza kuongea na watu mbalimbali juu ya maoni yao kufuatia uteuzi...
9 years ago
Dewji Blog09 Nov
Karibu Music Festival 2015 yaacha gumzo Bagamoyo, Wananchi,Wasanii walipongeza kila kona!
Wapiga vyombo wa Salabi Band kutoka Kenya wakishambulia jukwaa usiku wa kuamkia leo Novemba 9, wakati wa kufunga tamasha la Muziki la Karibu Music Festival 2015, katika viwanja vya Mwanakalenge ambalo kwa mwaka huu ni la msimu wa pili. (Picha zote na Andrew Chale, Modewjiblog)
Na Andrew Chale, Modewjiblog
[BAGAMOYO-TANZANIA] Tamasha la mziki wenye vionjo mbalimbali ikiwemo vile vya ngoma ya asili, utamaduni na kisasa ambalo pia linashirikisha wasanii kutoka ndani ya Tanzania na nje ya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-8nqqUDk9e6w/VJ1KsdOXz4I/AAAAAAAG53I/tcL-BVvMT_U/s72-c/001.DAR%2BLIVE.jpg)
Vodacom Tanzania ilivyowarusha wateja wake kila kona ya jiji la Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-8nqqUDk9e6w/VJ1KsdOXz4I/AAAAAAAG53I/tcL-BVvMT_U/s1600/001.DAR%2BLIVE.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-aAPUmIVDmq0/VJ1Ksif7SeI/AAAAAAAG53E/j7cwn4OycMg/s1600/002.DAR%2BLIVE.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-YJHs49uOfqI/VJ1KujJ2oEI/AAAAAAAG53g/xc1nCKIYtYU/s1600/007.COCO%2BBEACH.jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/k3CULkKWsLZBqjmlVEFhS6HP7f*MfSgE-VnuQLhDjkKPHsEO01Aneo-jkhcBx2IqOx4l-LAUtoCOGlHScgfoZEeEcAIdqTXd/001.DARLIVE.jpg)
VODACOM TANZANIA ILIVYOWARUSHA WATEJA WAKE KILA KONA YA JIJI LA DAR
10 years ago
Dewji Blog07 May
Exclusive mvua ya siku 3 Dar: Jiji lasimama, miundombinu kero tupu kila kona
Na Andrew Chale, Modewji blog
Kufuatia mvua kubwa inayoendelea kunyesha kwa siku ya tatu leo imeendelea kusababisha uharibifu wa miundombinu mingi ya jiji la Dar es Salaam kuharibika vibaya huku mingine ikifungwa kwa kushindwa kutumika hasa kwa magari yaingiayo katikati ya jiji la Dar es Salaam.
Modewji blog imeshuhudia maeneo kadhaa katikati ya jiji na maeneo mengineo ya nje ya jiji yakiwa katika ubovu mkubwa hata magari kupita kwa taabu na mengine kuzama katika madimbwi.
Baadhi ya...
10 years ago
Dewji Blog26 Jun
Lowassa aendelea kujipatia umaarufu kila kona kila kundi, Manyara ajizolea udhamini mnono
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward Lowassa, akiwapungia mkono maelfu ya wana CCM na wakazi wa Mji wa Babati mkoani Manyara, Juni 25, 2015 wakati akitoa shukrani baada ya kupata wana CCM 42,405 walioamdhamini kufuatia kuchukua fomu za kuomba kuteuliwa na CCM kuwania kiti cha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu wa 2015. 9Picha na K-VIS MEDIA).
Waziri Mkuu wa zamani na Mbunge wa Monduli, Mh. Edward...
11 years ago
GPLCHAMPIONI KILA KONA