Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UCHAMBUZI: Nchi imejaa vijana wacheza kamari, tuwanusuru

>Natambua kuwa kwa sababu mbalimbali,  walengwa husika wa  makala haya hawatosoma mawazo yangu, lakini wewe utakayebahatika kunisoma kwa pamoja, mimi na wewe tuna dhima ya kuwanusuru vijana  wa Taifa hili.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wacheza kamari ya Kombe, wachezwa

Wacheza kamari kutoka sehemu tofautii za dunia kwa simu na kwenye internet kuhusu Kombe la Kandana la Dunia, waliwa pesa zao Macau

 

11 years ago

Tanzania Daima

Vijana na ndoto ya utajiri kupitia kamari

TAKRIBAN Waaustralia 290,000 wana tatizo la kucheza kamari, jambo linalowasababishia hasara ya zaidi ya dola bilioni tatu za Marekani kila mwaka. Kwa hapa nchini Peter ni miongoni mwa vijana wengi...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwanusuru watoto wetu, biashara hii mbaya

Ni matumaini yangu kuwa Mungu anaendelea kuwapigania wapenzi wasomaji wa safu hii na mpo salama katika mapumziko ya mwishoni mwa wiki.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kamari yamtisha Malinzi

KASI ya kamari katika soka nchini maarufu kama ‘betting’, imeanza kumtisha Rais wa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), Jamal Malinzi akihofia kuuvuruga mchezo huo kama hatua hazitachukuliwa. Malinzi aliyeukwaa urais...

 

11 years ago

Mwananchi

Vijana NCCR kuandamana nchi nzima

>Kitengo cha Vijana cha NCCR-Mageuzi kimesema Alhamisi kitaanza kampeni ya kuzunguka nchi nzima kushinikiza kurejeshwa kwa fedha za umma zilizotafunwa ovyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Mtandao wa kamari wahusisha Polisi, halmashauri

>Ni pembeni ya kituo cha basi cha Mbagala Rangi Tatu, vijana kadhaa wakiwa na wanawake wa makamo na wasichana wanachezesha mchezo wa karata tatu, maarufu kama kamari, hadharani na watu wa usalama wakipita na kuona kitu hicho.

 

10 years ago

Habarileo

Nchi za Afrika zatakiwa kuwapa nafasi vijana

RAIS wa Umoja wa Vijana wa Afrika (PYU), Francine Mayumba amewataka viongozi wa nchi barani Afrika kuwapa nafasi vijana za kufanya mambo mbalimbali ya maamuzi kutokana na umuhimu wao katika jamii.

 

10 years ago

Mwananchi

Kamari za soka gumzo kila kona Dar

>Ni dhahiri sasa michezo ya kubahatisha hapa nchini imeshika kasi kutokana na ongezeko la vituo vya kamari ya soka maarufu kama ‘kubeti’.

 

9 years ago

StarTV

Ukosefu wa ajira  kwa vijana watishia amani ya nchi

Waziri wa ulinzi na Jeshi la kujenga uchumi Dr Husein Ali Mwinyi  amesema miongoni mwa matatizo makubwa yanayoikabili nchi ni ukosefu wa ajira kwa vijana jambo ambalo linahitaji mikakati imara na mipango thabiti ya ushirikiano itakayopelekea kuwanusuru vijana kujiingiza katika vitendo viovu kwa kuwajengea misingi ya ajira.

Anasema kuzisaidia jumuiya za kiraia zenye malengo ya kuwakusanya vijana na kuwapatia stadi za kiuchumi na ajira ni hatua muhimu kwa viongozi na wadau wengine kuwajibika...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani