Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tuwanusuru watoto wetu, biashara hii mbaya

Ni matumaini yangu kuwa Mungu anaendelea kuwapigania wapenzi wasomaji wa safu hii na mpo salama katika mapumziko ya mwishoni mwa wiki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu kuruka tena Alhamisi hii, Clouds TV

janeth 2

Mmiliki na mwendeshaji wa kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu, Janet Mwenda.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu kilichokuwa kikirushwa na Clouds TV, Alhamisi ya wiki hii kinatarajiwa kuanza tena kuonekana kupitia Clouds TV Alhamisi ya Disemba 10, saa tatu kamili usiku.

Akizungumza na Dewjiblog, Mmiliki na mwendeshaji wa kipindi hicho, Janet Mwenda amesema kuwa kipindi cha Alhamisi hii kinatarajiwa kuja na kitu kipya tofauti na vile walivyokizoea kuonekana hapo awali...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Na   Bashir     Yakub
Katika  makala  iliyopita  nilisema  kuwa  vijana  wengi   wajasiriamali  wanaofungua   biashara  za  makampuni   wanao  uwezo  mkubwa   wa kufika mbali   isipokuwa  tatizo  lao  ni  taarifa za  mambo  mbalimbali   kuhusu uendeshaji  wa  kampuni   hizo. 
 Mambo  ya uendeshaji   wa  kampuni  ni  mepesi sana  na  yanawezwa   na  mtu  yeyote isiopokuwa   tatizo   ni   taarifa   na  elimu ya  namna  ya  uendeshaji  kisheria   ili   kampuni   ionekane  ni kampuni.  Nilieleza...

 

10 years ago

GPL

MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha  Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana. DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho.… ...

 

10 years ago

Vijimambo

DC WA KINONDONI, PAUL MAKONDA AZINDUA KISIMA CHA MAJI SAFI KATIKA KITUO CHA WATOTO YATIMA CHA WATOTO WETU TANZANIA KILICHOJENGWA NA KAMPUNI YA SIMU YA ZANTEL.

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu ya Zantel, Pratap Ghose (katikati), akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Paul Makonda wakati akiwasili kwenye hafla ya kuzindua kisima cha maji safi katika Kituo cha Watoto Yatima cha Watoto Wetu Tanzania kilichopo Mbezi Suka Dar es Salaam jana.DC Makonda akisaini katika kitabu cha wageni katika kituo hicho.Mmoja wa vijana wa kituo hicho akiigiza igizo kuonesha changamoto zinazowakabili watoto waishio katika mazingira hatarishi.Mkuu wa Kituo cha...

 

9 years ago

Bongo5

Morali ya biashara na ujasiri wa kufanya miradi mipya kwa wasanii wetu ifufuliwe!

50 Cent amesaini mkataba mpya wa miaka miwili na kituo cha runinga cha Starz kubuni miradi mipya na wakati huo huo akiendelea kuwa producer wa tamthilia ya Power. Jay Z anasherehekea mtandao wake wa kusikiliza muziki, Tidal kufikisha watumiaji milioni moja na mwezi huu atapiga show kali jijini New York ambayo mapato yake yataenda kwenye […]

 

11 years ago

Habarileo

Watoto 15,000 wapo katika ajira mbaya

ZAIDI ya watoto 15,000 wamebainika kujiingiza katika ajira mbaya katika visiwa vya Unguja na Pemba.

 

10 years ago

Mwananchi

Wazazi tuzitathmini shule za watoto wetu

Naomba kwanza niwatakie heri ya sikukuu ya Krismasi na maandalizi mema ya kuupokea mwaka ujao wa 2015 kwa wote watakaobahatika kuufikia. Tumwombe Mungu mwenye kuumiliki uhai wetu atupe upendeo wa kuufikia mwaka huo.

 

9 years ago

GPL

TUNAKUOMBA RADHI MSOMAJI WETU, TOVUTI HII IMEBADILISHWA

Ndugu msomaji wetu, Global Publishers inakuomba radhi kwa usumbufu wowote utakaoupata. TOVUTI YETU IMEBADILISHWA, ITAKUWA INAPATIKANA HAPA===>http://globalpublishers.co.tz

 

10 years ago

Mwananchi

Wakiandaliwa vyema watawaandaa watoto wetu kufanikiwa

Kwa mpenzi wa muziki pale unapotazama onyesho, huamini kuwa kazi ya kiongozi wa waimbaji na wapiga vyombo vya muziki ni rahisi kuliko kazi zote duniani. Hii ni kwa sababu mtu huyo kazi yake ni kusimama tu na kunyooshanyoosha mikono yake ikiendana na muziki.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani