Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Morali ya biashara na ujasiri wa kufanya miradi mipya kwa wasanii wetu ifufuliwe!

50 Cent amesaini mkataba mpya wa miaka miwili na kituo cha runinga cha Starz kubuni miradi mipya na wakati huo huo akiendelea kuwa producer wa tamthilia ya Power. Jay Z anasherehekea mtandao wake wa kusikiliza muziki, Tidal kufikisha watumiaji milioni moja na mwezi huu atapiga show kali jijini New York ambayo mapato yake yataenda kwenye […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

MKURUGENZI JIJI LA DODOMA ATANGAZA MFUMO MPYA WA KUJAZA MAOMBI YA KUFANYA BIASHARA KWENYE MIRADI YA KIMKAKATI


Charles James, Michuzi TV

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imetangaza kutumia mfumo wa malipo mtandao kwa wananchi kujaza fomu za kuomba nafasi za kufanya biashara kwenye miradi minne ya kimkakati ya Stendi ya Mabasi na Malori, Soko Kuu na eneo la Mapumziko la Chinangali.

Akizungumza na wandishi wa habari ofisini kwake Mkurugenzi wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema wamefanya mabadiliko hayo ikiwa ni siku mbili watangaze kuanza kutoa fomu kwa wananchi wanaotaka kuwekeza kwenye miradi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magenius wetu Dodoma wawe na ujasiri wa kuwa wakweli

HAKUNA muungano kamili duniani ambao hauna kero au upungufu wake. Haijalishi muungano wa nchi ulianzaje, mwisho wa siku ni wananchi wa nchi hiyo ambao watapaswa kuamua kama muungano wao utadumu...

 

10 years ago

Bongo5

AY atoa funzo kwa wasanii wenye malengo ya kufanya collabo na wasanii wa nje

Wewe ni msanii mwenye mawazo ya kuja kufanya collabo na wasanii wa nje ya Tanzania? AY ametoa elimu ndogo kupitia uzoefu wake, wa nini cha kufanya ili collabo yako iwe na maana na ikuletee matunda. “Cha kwanza watu wajue lazima uje na style yako usikae kama wanna be” AY a.k.a ‘mzee wa Zigo’ ameiambia 255 […]

 

9 years ago

Habarileo

Miradi mipya ya maji yanufaisha maelfu

WAKAZI wapatao 13,700 katika mikoa ya Pwani na Morogoro wameanza kufaidika na miradi mipya ya maji iliyozinduliwa jana.

 

10 years ago

GPL

R.I.P WASANII WETU! KINACHOWAUA KWA KASI CHAJULIKANA

MWAKA 2014 unakatika, matukio ya kukumbukwa ni pamoja na wasanii Bongo kupoteza maisha katika mazingira yasiyotarajiwa, Ijumaa linakupa hatua kwa hatua.Kumbukumbu za haraka zinabainisha kuwa, tangu mwaka 2011 mpaka 2014, wasanii  wenye majina makubwa na madogo wasiopungua 32 wamefariki dunia kwa sababu mbalimbali. Recho Haule enzi za uhai wake. Inauma sana! Katika kipindi cha miaka mitatu kuwapoteza wasanii kwa kiasi hicho...

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Kwa nini wasanii wetu wengi ni watoto?

>Mambo ya kitoto, mtoto kumfanyia mtoto mwenzake, tunasema watoto wanacheza lakini mambo ya kitoto, mtu mzima kumfanyia mtu mzima mwenzake kuna walakini hapo.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu — Nani umpigie kura?

The post Ujumbe kutoka kwa Wasanii wetu – Nani umpigie kura? appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Siku ya Wanawake iwe mwanzo mpya kwa wasanii wetu wa kike

MACHI 8 ya kila mwaka ni Siku ya Wanawake Duniani, ambayo husherehekewa kote duniani, ambapo Watanzania wanaungana na wengine kuipokea siku hiyo chini ya kaulimbiu ambayo kwa mwaka huu ni...

 

5 years ago

CCM Blog

WAZIRI SIMBACHAWENE: MITAMBO MIPYA NIDA KUFANYA KAZI HIVI KARIBUNI

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, George Simbachawene amesema mitambo mipya ya uzalishaji wa vitambulisho vya taifa itaanza kufanya kazi hivi karibuni baada ya wataalamu kuwasili nchini.
Mitambo hiyo ya kisasa ambayo inauwezo wa kuzalisha vitambulisho 144,000 kwa siku, ilishafungwa muda mrefu ofisini za Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), na ilipaswa iwe imenza kufanya kazi tangu mwezi Aprili, mwaka huu lakini kutokana na mlipuko wa ugonjwa wa Corona ilichelewa kuanza kufanya kazi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani