Magenius wetu Dodoma wawe na ujasiri wa kuwa wakweli
HAKUNA muungano kamili duniani ambao hauna kero au upungufu wake. Haijalishi muungano wa nchi ulianzaje, mwisho wa siku ni wananchi wa nchi hiyo ambao watapaswa kuamua kama muungano wao utadumu...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-bOObZmFf0CQ/VOUW2SlK7DI/AAAAAAADZ3w/bMkMgTkhiYo/s72-c/5c003a005857ee318ddc7b03870f17a3.jpg)
MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU
![](http://3.bp.blogspot.com/-bOObZmFf0CQ/VOUW2SlK7DI/AAAAAAADZ3w/bMkMgTkhiYo/s1600/5c003a005857ee318ddc7b03870f17a3.jpg)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...
9 years ago
Bongo509 Oct
Morali ya biashara na ujasiri wa kufanya miradi mipya kwa wasanii wetu ifufuliwe!
9 years ago
StarTV07 Sep
Wakazi Geita Mjini wawataka wagombea kuwa wakweli
Wakazi wa Jimbo la Geita Mjini wamewataka wagombea ubunge kuwa na ahadi za kweli ili kuwasaidia kupata mahitaji ya kijamii ambayo wawakilishi waliopita hawakuweza kuyatatua.
Matatizo yanayowakabili ni ukosefu wa maji salama, ajira, umeme wa uhakika na huduma za afya wakidai kuwa kiongozi atakayepata nafasi ya kuwawakilisha wananchi kwa miaka mitano na kushindwa kuzitatua kero zao watahakikisha anaishia miaka mitano na kuchagua mwingine.
Wakazi wa Geita Mjini wamesema umefika muda sasa wa...
10 years ago
Mwananchi10 Nov
Ajabu! Wabunge wetu mmejisahau, mmegeuka kuwa janga
10 years ago
Habarileo12 Sep
Cheyo: Ukawa kuweni wakweli
MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia (TCD), John Cheyo amewataka wanasiasa wenzake wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ambao wanashinikiza Bunge Maalumu la Katiba (BMK) liahirishwe, wawe wakweli.
10 years ago
Raia Mwema01 Jul
Kwa kuwa tuna mkao wa kula badala ya msimamo,mwisho mikono yote itamega matonge ya ugali wetu pamoja
Kwa Waziri wa Mikiki na Makeke,
Uzitoni Street,
Bongo.
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Ni kweli kuwa wanasiasa wetu ni watu wa watu?
10 years ago
Habarileo26 Nov
RC apata hofu Dodoma kuwa Jiji
MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Chiku Galawa amesema ni ndoto kwa sasa Manispaa ya Dodoma kuwa Jiji, kutokana na kuwa na kiwango kidogo cha ukusanyaji mapato licha ya kuwa na uwekezaji mkubwa wa serikali.