Cheyo: Ukawa kuweni wakweli
MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia (TCD), John Cheyo amewataka wanasiasa wenzake wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ambao wanashinikiza Bunge Maalumu la Katiba (BMK) liahirishwe, wawe wakweli.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Cheyo awavaa Ukawa bungeni
10 years ago
IPPmedia12 Sep
Controversy as Cheyo differs with Ukawa on CA suspension
Daily News
Controversy as Cheyo differs with Ukawa on CA suspension
IPPmedia
The call for President Jakaya Kikwete to suspend the ongoing Constituent Assembly (CA) recants what was agreed upon when he last met members of Tanzania Centre for Democracy who include those of Ukawa. This was said yesterday by the Chairman of ...
Cheyo - Ukawa a Bunch of Hypocrites!AllAfrica.com
all 6
10 years ago
TheCitizen12 Sep
You’re misleading people, Cheyo tells Ukawa
9 years ago
StarTV07 Sep
Wakazi Geita Mjini wawataka wagombea kuwa wakweli
Wakazi wa Jimbo la Geita Mjini wamewataka wagombea ubunge kuwa na ahadi za kweli ili kuwasaidia kupata mahitaji ya kijamii ambayo wawakilishi waliopita hawakuweza kuyatatua.
Matatizo yanayowakabili ni ukosefu wa maji salama, ajira, umeme wa uhakika na huduma za afya wakidai kuwa kiongozi atakayepata nafasi ya kuwawakilisha wananchi kwa miaka mitano na kushindwa kuzitatua kero zao watahakikisha anaishia miaka mitano na kuchagua mwingine.
Wakazi wa Geita Mjini wamesema umefika muda sasa wa...
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Magenius wetu Dodoma wawe na ujasiri wa kuwa wakweli
HAKUNA muungano kamili duniani ambao hauna kero au upungufu wake. Haijalishi muungano wa nchi ulianzaje, mwisho wa siku ni wananchi wa nchi hiyo ambao watapaswa kuamua kama muungano wao utadumu...
10 years ago
VijimamboMWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...
10 years ago
GPLWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU
11 years ago
TheCitizen01 Mar
Cheyo: Open balloting risky
10 years ago
Habarileo17 Jun
Cheyo aimwagia sifa bajeti
WAKATI baadhi ya wabunge wakisema hatua ya serikali kutaka kuongeza kodi kwenye mafuta itapanda gharama za maisha na kuongeza ugumu wa maisha kwa Watanzania, Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo (UDP) ameimwagia sifa bajeti na kusema wakati umefika wa kuondokana na serikali ya vibatari na koroboi.