Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Cheyo: Ukawa kuweni wakweli

John CheyoMWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia (TCD), John Cheyo amewataka wanasiasa wenzake wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), ambao wanashinikiza Bunge Maalumu la Katiba (BMK) liahirishwe, wawe wakweli.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Cheyo awavaa Ukawa bungeni

>Mwenyekiti wa Taasisi ya Demokrasia Tanzania (TCD), John Cheyo amewavaa viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), akieleza kuwa walichokubaliana katika kikao chao na Rais Jakaya Kikwete ni kwamba Bunge liahirishwe Oktoba 4 na si kama wanavyodai wakiwa nje, 

 

10 years ago

IPPmedia

Controversy as Cheyo differs with Ukawa on CA suspension


Daily News
Controversy as Cheyo differs with Ukawa on CA suspension
IPPmedia
The call for President Jakaya Kikwete to suspend the ongoing Constituent Assembly (CA) recants what was agreed upon when he last met members of Tanzania Centre for Democracy who include those of Ukawa. This was said yesterday by the Chairman of ...
Cheyo - Ukawa a Bunch of Hypocrites!AllAfrica.com

all 6

 

10 years ago

TheCitizen

You’re misleading people, Cheyo tells Ukawa

>Tanzania Centre for Democracy (TCD) chairman, Mr John Cheyo, yesterday hit back at Ukawa leaders, accusing them of misleading the public on what transpired in their meeting with President Jakaya Kikwete on Monday.

 

9 years ago

StarTV

Wakazi Geita Mjini wawataka wagombea kuwa wakweli

Wakazi wa Jimbo la Geita Mjini wamewataka wagombea ubunge kuwa na ahadi za kweli ili kuwasaidia kupata mahitaji ya kijamii ambayo wawakilishi waliopita hawakuweza kuyatatua.

Matatizo yanayowakabili ni ukosefu wa maji salama, ajira, umeme wa uhakika na huduma za afya wakidai kuwa kiongozi atakayepata nafasi ya kuwawakilisha wananchi kwa miaka mitano na kushindwa kuzitatua kero zao watahakikisha anaishia miaka mitano na kuchagua mwingine.

 

Wakazi wa Geita Mjini wamesema umefika muda sasa wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Magenius wetu Dodoma wawe na ujasiri wa kuwa wakweli

HAKUNA muungano kamili duniani ambao hauna kero au upungufu wake. Haijalishi muungano wa nchi ulianzaje, mwisho wa siku ni wananchi wa nchi hiyo ambao watapaswa kuamua kama muungano wao utadumu...

 

10 years ago

Vijimambo

MWANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi na rafiki yake Fauzia ambae wote wamemaliza kidato cha nne Baobab Secondary School.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto)
MSICHANA Nyakaho Marungu (16) mwanafunzi wa shule ya sekondari ya Baobab,iliyopo Mapinga Bagamoyo mkoani Pwani aliyeibuka mwanafunzi bora wa mtihani wa kidato cha nne mwaka 2014 nchini, amewataka viongozi nchini kuwa wakweli na waadilifu ili kuiletea nchi maendeleo na kutokumuudhi Mwenyezi Mungu.Akizungumza na GPL nyumbani kwao...

 

10 years ago

GPL

WANAFUNZI BORA KIDATO CHA NNE AWATAKA VIONGOZI WAWE WAKWELI, WAADILIFU

Nyakaho Marungu akiwa kwenye pozi. …Akiwa na binamu yake.
Mama mzazi wa Nyakaho, Celestina Maro (kushoto), …

 

11 years ago

TheCitizen

Cheyo: Open balloting risky

Constituent Assembly member John Cheyo says members will not have the freedom to decide what is best for the nation if they opt for open voting when debating the draft constitution.

 

10 years ago

Habarileo

Cheyo aimwagia sifa bajeti

Mbunge wa Bariadi Mashariki, John CheyoWAKATI baadhi ya wabunge wakisema hatua ya serikali kutaka kuongeza kodi kwenye mafuta itapanda gharama za maisha na kuongeza ugumu wa maisha kwa Watanzania, Mbunge wa Bariadi Mashariki, John Cheyo (UDP) ameimwagia sifa bajeti na kusema wakati umefika wa kuondokana na serikali ya vibatari na koroboi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani