Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TUNAKUOMBA RADHI MSOMAJI WETU, TOVUTI HII IMEBADILISHWA

Ndugu msomaji wetu, Global Publishers inakuomba radhi kwa usumbufu wowote utakaoupata. TOVUTI YETU IMEBADILISHWA, ITAKUWA INAPATIKANA HAPA===>http://globalpublishers.co.tz

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

10 years ago

Bongo Movies

Wema Unaikumbuka Hii...Je Amtake Radhi Zari?

Baada ya Andiko lake la hapo jana akielezea machungu anayoyapata kwa kutokuweza kupata mtoto japokuwa anatamani huku akiwataka watu waache kumsema vibaya kwani yote hayo ni mipango ya Mugu, Mwanadada Wema amekumbushwa  kule alichomfanyia mwanadada Zarinah Hassani kwa kitendo chake cha kushiriki kukejeli ujauzito wa mwanadada huyo.

“Girl so you know that it hurts to say hash words towards another human being I thought you never knew DO YOU REMEMBER THIS WORDS ---PREGNANT MY FOOT that was a...

 

11 years ago

Mwananchi

Tuwanusuru watoto wetu, biashara hii mbaya

Ni matumaini yangu kuwa Mungu anaendelea kuwapigania wapenzi wasomaji wa safu hii na mpo salama katika mapumziko ya mwishoni mwa wiki.

 

9 years ago

Bongo5

Nawaomba radhi mashabiki wangu sitaweza kutoa collabo yangu na Jose Chameleone Ijumaa hii — Barnaba

Barnaba Classic ni msanii mwingine aliyekuwa ameahidi kuachia wimbo mpya wiki hii, ‘Nakutunza’ ambao ni collabo yake na Jose Chameleone wa Uganda. Baada ya kupata nafasi ya kurekodi na Chameleone aliyekuja nchini hivi karibuni, Barnaba hakutaka kupoteza muda, alitangaza kuwa tarehe 30 Oct ndio angeiachia single hiyo. Akizungumza na Bongo5 leo, Barnaba amewaomba radhi mashabiki […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu kuruka tena Alhamisi hii, Clouds TV

janeth 2

Mmiliki na mwendeshaji wa kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu, Janet Mwenda.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Kipindi cha Tuwalinde Watoto Wetu kilichokuwa kikirushwa na Clouds TV, Alhamisi ya wiki hii kinatarajiwa kuanza tena kuonekana kupitia Clouds TV Alhamisi ya Disemba 10, saa tatu kamili usiku.

Akizungumza na Dewjiblog, Mmiliki na mwendeshaji wa kipindi hicho, Janet Mwenda amesema kuwa kipindi cha Alhamisi hii kinatarajiwa kuja na kitu kipya tofauti na vile walivyokizoea kuonekana hapo awali...

 

11 years ago

GPL

MSOMAJI CHAMPIONI KANDA YA ZIWA AZAWADIWA SIMU

Msomaji wa Championi Kanda ya Ziwa, Gloria Kalisa, mkazi wa Kilimahewa jijini Mwanza akikabidhiwa zawadi yake ya simu na Masumbuko Ally ambaye ni mwakilishi wa Global wa Kanda hiyo katika ofisi za Global Publishers zilizopo Mwanza. Kutoka kulia ni Henry Susuma, Mohamed Kapua na aliyechuchumaa ni Abel Manase wakishuhudia.‏

 

11 years ago

GPL

MSOMAJI WA MAGEZETI YA GLOBAL BWANA SHAHA AKIBURUDIKA NA UWAZI, IJUMAA WIKIENDA

Bwana Shaha akinunua nakala yake ya gazeti la Ijumaa Wikienda jana. Shaha akisoma gazeti lake la Ijumaa Wikienda jana.…

 

10 years ago

Vijimambo

Tovuti ya Matangazo ya Biashara

Bongofree is offering free posting classifieds ads based in Tanzania. Site is built with modest technology with user usability in mind. It's quick and easy to post ads. It's very powerful mobile friendly website. You can post almost everything for sale or hire such as Jobs, Property, Vehicles, Electronics Items, Personal Items, Services, Business Listing, etc.. The website is responsive and enable users to view & post ads from mobile devices! It also attract a lot of visitors every day....

 

10 years ago

Michuzi

Je Biashara Yako Inaitaji Tovuti?

Wafanya biashara wadogo huamini kwamba kua na tovuti ni kitu kinachofanywa na wafanya biashara wakubwa na inaitaja gharama nyingi kutengeneza. Hilo sio kweli. Gharama ya kuwa na website ni ndogo sana ukilinganisha na faida utakazo zipata baada ya kuwa nayo. Faida ya kuwa na tovuti ni pamoja na; Biashara yako kuaminika kitaifa na kimataifa. Biashara zote zilizo halisi na zinazoaminika hua na tovuti. Tovuti yako itasaidia kuhalalisha biashara yako. Kuwa na tovuti pia itakusaidia kujitangaza...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani