Wema Unaikumbuka Hii...Je Amtake Radhi Zari?
Baada ya Andiko lake la hapo jana akielezea machungu anayoyapata kwa kutokuweza kupata mtoto japokuwa anatamani huku akiwataka watu waache kumsema vibaya kwani yote hayo ni mipango ya Mugu, Mwanadada Wema amekumbushwa kule alichomfanyia mwanadada Zarinah Hassani kwa kitendo chake cha kushiriki kukejeli ujauzito wa mwanadada huyo.
“Girl so you know that it hurts to say hash words towards another human being I thought you never knew DO YOU REMEMBER THIS WORDS ---PREGNANT MY FOOT that was a...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/gkLrWyFODcQ/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/7nyCLorUNnM/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/uKpZh_W6jb8/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/yOlYOGFoMz0/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/TxwT6t1QJRk/default.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/t11tT-c5IVs/default.jpg)
9 years ago
MillardAyo18 Dec
Unaikumbuka hii ya mshika kibendera kushangilia goli na mchezaji kwa kucheza Gangnam Style? (+Video)
Achana na mzuka wa goli wakati mwingine unaweza jikuta unashangilia pasipo kupenda, unakumbuka headlines za marefa kushangilia magoli, unakumbuka ile hit single ya Gangnam Style ya msanii wa Korea PSY ambayo ilikuwa katika headlines za Dunia kwa kila mtu kuipenda. Licha ya kuwa wengi walikuwa wanaichukulia kama ya comedy. Naomba nikusogezee video ya muda kidogo ambayo […]
The post Unaikumbuka hii ya mshika kibendera kushangilia goli na mchezaji kwa kucheza Gangnam Style? (+Video) appeared...
10 years ago
Dewji Blog22 Dec
10 years ago
CloudsFM28 Jan
Gazeti la Mtanzania lamuomba radhi Wema Sepetu
JANA kupitia 255 ya XXL ulisikia stori liyokuwa ikimuhusu Staa wa Bongo Movie,Wema Sepetu na aliyekuwa mpenzi wake Diamond ikilihusu gazeti la Mtanzania ambalo lilichapisha habari hiyo ikidai kuwa Wema alikuwa akimdai Diamond zaidi ya shs mill.10 ambayo aliikopa Vikoba.
Kupitia tovuti ya gazeti lao wamemuomba radhi Wema Sepetu kwa kuchapisha habari hiyo ambayo waliandika hivi:-
"Katika gazeti letu la Mtanzania toleo No.7709 la Alhamisi Januari 22, mwaka huu, tuliandika stori yenye kichwa cha...