Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


WIMBI LA UKAHABA

Stori: Waandishi Wetu, Dar na Morogoro
Ama kweli sikio la kufa halisikii dawa! Mwanadada mwenye ulemavu wa ngozi (albino), Fadhila Omary, mkazi wa Mbezi jijini Dar ametikisa midume na kuzua gumzo nchini baada ya kukamatwa mkoani Morogogo kwenye msako wa makahaba. KWA NINI?
Unaweza ukajiuliza kwa nini amegeuka gumzo lakini jibu ni kwamba ishu hiyo imemkuta hivi karibuni ikiwa ni miezi michache baada ya Mahakama ya Jiji la Dar...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

'Hakuna ukahaba UDOM'

MAKAMU Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (Udom), Profesa Idris Kikula, ameeleza namna alivyofuatilia na kubaini wasichana wanaofanya vitendo vya kujiuza mjini hapa, wakijifanya ni wanafunzi wa chuo hicho.

 

10 years ago

BBCSwahili

Straus Kahn ahusishwa na ukahaba

Aliyekuwa mkuu wa shirika la fedha duniani IMF,Dominique Strauss Kahn ameshtakiwa kwa kuhusika na mtandao wa ukahaba

 

10 years ago

Michuzi

WIMBI LA KUTEKWA EMAIL ADDRESS

Ndugu Wananchi,
Kuna matukio mengi ya kuteka anuani za watu na kuzitumia kwa maovu hasa kuombea misaada n.k.
Endapo janga hili litakukuta wasiliana nasi ili tuokoe anuani na jumbe zako pamoja na kuzuia maafa yatokanayo na uhalifu huu.Tujulishe mara moja kwa kutuma SMS kwenye simu ifuatayo:
+81-90-8498-9270
Huduma hii ni ya majaribio itatolewa
bure hadi tarehe 30/6/2015.

sent by T.J.Martin.

 

10 years ago

Mtanzania

Mabinti wa ukahaba warudishwa India

Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam

WASICHANA 22 walioingizwa nchini na mmiliki wa Continental Night Club na Hunters Club, Omprakash Singh kwa ajili ya kufanya biashara ya ukahaba wanarudishwa leo Nepal na India walikotoka.

Akizungumza jana na Mtanzania kwa njia ya simu, Kamishna wa Uhamiaji Udhibiti na Usimamizi wa Mipaka,
Abdallah Abdullah, alisema wasichana hao wanatarajia kuondoka leo baada ya kumaliza matibabu waliyokuwa wakipata.

“Wasichana waliokuwa wanaugua TB na UTI wote wamepona, tiketi...

 

11 years ago

Habarileo

Mabinti wauzwa ukahaba China

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard MembeWATOTO wa kike wenye umri wa hadi miaka 14 wanadaiwa kufanyishwa biashara ya ukahaba China kutokana na kusafirishwa na baadhi ya Watanzania wasio waaminifu.

 

11 years ago

BBCSwahili

Walaghaiwa kushiriki ukahaba China

Serikali ya Tanzania imebaini usafirishwaji wa wasichana kutoka Tanzania kwenda China kushirikishwa katika biashara ya ukahaba.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wimbi la ghasia nchini Bosnia

Maelfu ya waandamanaji wanaolalamikia ukosefu wa ajira na ufisadi wamekabiliana na polisi huku 200 wakijeruhiwa

 

11 years ago

BBCSwahili

WHO yaonya kuhusu wimbi la saratani

Shirika la Afya Duniani WHO limeonya kuhusu kuongezeka kwa visa vya maambukizi ya maradhi ya saratani kote duniani

 

11 years ago

Habarileo

Wasichana 6 kortini kwa ukahaba

WASICHANA sita wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Sokoine Drive kujibu mashitaka ya kufanya biashara haramu ya ukahaba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani