Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanachuo watelekezwa, wazirai kwa njaa

Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk Norman Sigalla.WANAFUNZI 46 wa chuo kipya cha kilimo na mifugo cha Nice Dream kilichopo Mtaa wa Mapelele, Kata ya Ilemi jijini Mbeya wamejikuta wakiwa katika wakati mgumu, baada ya kutelekezwa na uongozi wa chuo hicho, kiasi cha kushindwa kupata chakula kwa siku tano mfululizo, hali iliyosababisha baadhi yao kuzirai.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

NSSF YATOA ELIMU KUHUSU HIFADHI YA JAMII KWA WANACHUO WA CBE

 Mkurugenzi wa Wanafunzi wanaochukua Mafunzo ya Shahada ya kwanza katika Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), Dk. Esther Mbise akimkaribisha mgeni rasmi, Meneja Kiongozi Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii ( NSSF), Eunice Chiume (katikati),wakati wa Semina kwa wanafunzi wa Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE), iliyofanyika katika chuoni hapo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkuu wa Idara ya Masoko chuoni hapo, Felix Chale. Jumla ya wanachuo 180 walihudhuria semina hiyo. Meneja...

 

11 years ago

Mwananchi

Wanachuo 212 wa Chuo cha Polisi Moshi wafukuzwa kwa kughushi vyeti

>Jeshi la Polisi limewafukuza chuo wanafunzi wa mafunzo ya uaskari 212 wa Chuo Cha Taaluma Moshi baada ya wanafunzi hao kubainika kughushi vyeti vya elimu ya sekondari.

 

9 years ago

Bongo Movies

Mastaa: Magufuli Ametuua kwa Njaa

Baby Madaha

Baby Madaha

Jambo limezua jambo! Kufuatia tumbuatumbua inayoendeshwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa vigogo waliokuwa wanawapa jeuri mastaa wa kike mjini, wenyewe wameibuka na kusema kiongozi huyo ‘amewaua’ kwa njaa.

Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa mastaa wengi wa kike wanalalamika njaa na ndiyo maana tangu alipoingia madarakani Rais Magufuli na kuanza kuwaondoa mafisadi, wasanii hao wamekuwa hawaonekani viwanja kama zamani kwa sababu hawana mkwanja.

“Yaani wasanii wa kike...

 

11 years ago

Mwananchi

Hakuna atakayekufa kwa njaa- Kikwete

Rais Jakaya Kikwete amesema hakuna Mtanzania atakayekufa kwa njaa na amewaagiza wakuu wa wilaya na mikoa nchini kufanya taratibu za kuomba chakula kutoka serikalini mapema kabla ya tatizo hilo kuwaathiri wananchi.

 

10 years ago

Mtanzania

sekondari za Serikali zafungwa kwa njaa

chakulaNa Waandishi Wetu

SHULE mbalimbali za sekondari za bweni zinazomilikiwa na Serikali zimefungwa kutokana na kukosa chakula.
Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA umebaini takribani kwenye mikoa yote kuna shule zimefungwa na nyingine ziko hatarini kufungwa kwa kukosa chakula.

DODOMA
Mkoani Dodoma Shule ya Sekondari Mpwapwa iliyopo katika Wilaya ya Mpwapwa ilitakiwa kufunguliwa tangu Aprili 8, lakini imeshindikana kutokana na ukosefu wa chakula.
Akizungumza na MTANZANIA, mkuu wa shule hiyo, Nelson...

 

10 years ago

Habarileo

Maiti wenye majeraha watelekezwa Mjohoroni

Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Geofrey KamwelaWATU watatu wanaume wasiofahamika, wamekutwa wamekufa na kutelekezwa maeneo ya Mjohoroni wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, huku miili yao ikionesha majeraha maeneo tofauti pamoja na kuvuja damu nyingi puani.

 

11 years ago

GPL

Wabongo waliopelekwa Brazil watelekezwa, warudishwa

Joseph Ngilisho na Basili Elias, Arusha
JUMLA ya vijana nane kutoka wilayani Arumeru waliopelekwa nchini Brazil na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Nyirembe Munasa, kwa lengo la kushuhudia Fainali za Kombe la Dunia, wameonja machungu kwa siku 10 nchini humo baada ya kutelekezwa katika viwanja mbalimbali vya ndege bila mahali pa kufikia. Inadaiwa kuwa, mara baada ya vijana hao kufika uwanja wa ndege nchini humo, walisogea hadi katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Kwa nini wengi hulia njaa Januari?

Naye Neema Alfred mkazi wa Mbeya, anasema Januari ina mahitaji makubwa ya kifedha ambayo mengine huchochewa na ndugu kuhitaji misaada ya fedha kufanikisha masuala yao ya kifedha.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Wasomi kizimbani kwa kuchochea njaa nchini

INADAIWA kwamba, Afrika ndilo bara pekee duniani ambalo utabiri wa mwanauchumi mashuhuri Malthus (1798) kwamba uzalishaji wa chakula hautaweza kuwiana na ongezeko la watu umetimia tangu miongo michache iliyopita.

Msingi wa dhana ya Malthus ni kwamba, wakati idadi ya watu inaongezeka kwa kasi ya kutisha, upatikanaji wa chakula unakua kwa kusuasua.
Kilimo huchangia takriban asilimia 50 ya Pato Ghafi la Taifa (GNP) Barani Afrika na kwa Tanzania, mchango wake ni zaidi kidogo ya
asilimia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani