Wanachuo watelekezwa, wazirai kwa njaa
WANAFUNZI 46 wa chuo kipya cha kilimo na mifugo cha Nice Dream kilichopo Mtaa wa Mapelele, Kata ya Ilemi jijini Mbeya wamejikuta wakiwa katika wakati mgumu, baada ya kutelekezwa na uongozi wa chuo hicho, kiasi cha kushindwa kupata chakula kwa siku tano mfululizo, hali iliyosababisha baadhi yao kuzirai.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-0S63T8biM8I/UyvNisEJRKI/AAAAAAAA8YQ/JR-ytJQ2s_I/s72-c/n4.jpg)
NSSF YATOA ELIMU KUHUSU HIFADHI YA JAMII KWA WANACHUO WA CBE
![](http://3.bp.blogspot.com/-0S63T8biM8I/UyvNisEJRKI/AAAAAAAA8YQ/JR-ytJQ2s_I/s1600/n4.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-3tnnNPGHRzU/UyvNj_X6_fI/AAAAAAAA8Yg/I1RsEqbHmMg/s1600/n6.jpg)
11 years ago
Mwananchi10 May
Wanachuo 212 wa Chuo cha Polisi Moshi wafukuzwa kwa kughushi vyeti
9 years ago
Bongo Movies27 Dec
Mastaa: Magufuli Ametuua kwa Njaa
![Baby Madaha](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/madaha-1024x1024.jpg)
Baby Madaha
Jambo limezua jambo! Kufuatia tumbuatumbua inayoendeshwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa vigogo waliokuwa wanawapa jeuri mastaa wa kike mjini, wenyewe wameibuka na kusema kiongozi huyo ‘amewaua’ kwa njaa.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa mastaa wengi wa kike wanalalamika njaa na ndiyo maana tangu alipoingia madarakani Rais Magufuli na kuanza kuwaondoa mafisadi, wasanii hao wamekuwa hawaonekani viwanja kama zamani kwa sababu hawana mkwanja.
“Yaani wasanii wa kike...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Hakuna atakayekufa kwa njaa- Kikwete
10 years ago
Mtanzania13 Apr
sekondari za Serikali zafungwa kwa njaa
Na Waandishi Wetu
SHULE mbalimbali za sekondari za bweni zinazomilikiwa na Serikali zimefungwa kutokana na kukosa chakula.
Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA umebaini takribani kwenye mikoa yote kuna shule zimefungwa na nyingine ziko hatarini kufungwa kwa kukosa chakula.
DODOMA
Mkoani Dodoma Shule ya Sekondari Mpwapwa iliyopo katika Wilaya ya Mpwapwa ilitakiwa kufunguliwa tangu Aprili 8, lakini imeshindikana kutokana na ukosefu wa chakula.
Akizungumza na MTANZANIA, mkuu wa shule hiyo, Nelson...
10 years ago
Habarileo04 Mar
Maiti wenye majeraha watelekezwa Mjohoroni
WATU watatu wanaume wasiofahamika, wamekutwa wamekufa na kutelekezwa maeneo ya Mjohoroni wilayani Hai mkoani Kilimanjaro, huku miili yao ikionesha majeraha maeneo tofauti pamoja na kuvuja damu nyingi puani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGbho7Eysa4Hb3nJ9MsFqIA*2s-v9ppu55456*ysTU33XEwjePRP8JyYmZ61QJib7SFKPwXlm0VvBXOKTRmBkmjk/wabongo.gif?width=650)
Wabongo waliopelekwa Brazil watelekezwa, warudishwa
10 years ago
Mwananchi14 Jan
Kwa nini wengi hulia njaa Januari?
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Wasomi kizimbani kwa kuchochea njaa nchini
INADAIWA kwamba, Afrika ndilo bara pekee duniani ambalo utabiri wa mwanauchumi mashuhuri Malthus (1798) kwamba uzalishaji wa chakula hautaweza kuwiana na ongezeko la watu umetimia tangu miongo michache iliyopita.
Msingi wa dhana ya Malthus ni kwamba, wakati idadi ya watu inaongezeka kwa kasi ya kutisha, upatikanaji wa chakula unakua kwa kusuasua.
Kilimo huchangia takriban asilimia 50 ya Pato Ghafi la Taifa (GNP) Barani Afrika na kwa Tanzania, mchango wake ni zaidi kidogo ya
asilimia...