Wasomi kizimbani kwa kuchochea njaa nchini
INADAIWA kwamba, Afrika ndilo bara pekee duniani ambalo utabiri wa mwanauchumi mashuhuri Malthus (1798) kwamba uzalishaji wa chakula hautaweza kuwiana na ongezeko la watu umetimia tangu miongo michache iliyopita.
Msingi wa dhana ya Malthus ni kwamba, wakati idadi ya watu inaongezeka kwa kasi ya kutisha, upatikanaji wa chakula unakua kwa kusuasua.
Kilimo huchangia takriban asilimia 50 ya Pato Ghafi la Taifa (GNP) Barani Afrika na kwa Tanzania, mchango wake ni zaidi kidogo ya
asilimia...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
News Alert!!:Rais Jakaya Kikwete amuumbua Afisa SUMATRA! awalipua kwa kuchochea migogoro nchini
Rais Dk. Jakaya Kikwete.
Na Andrew Chale, modewjiblog
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Rais Jakaya Kikwete amemuumbua mtendaji wa SUMATRA nchini kwa kile alichokieleza kuwa anakibagua chama kipya cha madereva hali ambayo inasababisha madereva hao kukosa mikataba yao na kusabisha mifarakano baina ya madereva na waajili.
Katibu Mtendaji wa Baraza la Ushauri la Watumiaji Huduma za Usafi wa nchi kavu na Majini (SUMATRA), Dk Oscar Kikoyo alijikuta katika wakati mgumu pale Rais JK...
5 years ago
MichuziNAIBU WAZIRI ULEGA AHAMASISHA UNYWAJI MAZIWA KUCHOCHEA UJENZI WA VIWANDA NCHINI
Naibu Waziri Ulega amesema hayo leo (23.02.2020) wakati wa mbio za kuhamasisha unywaji wa maziwa zilizofanyika viwanja vya The Greens Oysterbay jijini Dar es Salaam.
Mhe. Ulega amesema kwa sasa kiwango cha unywaji maziwa kwa mtu kwa mwaka nchi Tanzania ni wastani wa lita 47 pekee.Kiwango hiki ni kidogo kwani Shirika la Afya Duniani (WHO)...
10 years ago
Mwananchi02 May
Ya Nkuruzinza yaweza kutokea nchini, wasomi waonya
10 years ago
Mwananchi19 Dec
Maradhi ya njia ya mkojo yenye kuchochea VVU kwa wanawake
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-fRFAaK37ZSk/Xu8JWdfu1KI/AAAAAAACOBY/JswjfWeSrBQJi7EAXve1EnickZMGE6z0ACLcBGAsYHQ/s72-c/Screenshot_2020-06-21_095057%255B1%255D.jpg)
TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MFUKO WA KUCHOCHEA MAENDELEO YA JIMBO (CDCF) KWA MWAKA 2015/16 — 2018/19
5 years ago
BBCSwahili19 Jun
Uchaguzi wa Marekani 2020: Facebook yafuta maatangazo ya kampeni ya Trump ‘kwa kuchochea chuki’
10 years ago
Mtanzania13 Apr
sekondari za Serikali zafungwa kwa njaa
Na Waandishi Wetu
SHULE mbalimbali za sekondari za bweni zinazomilikiwa na Serikali zimefungwa kutokana na kukosa chakula.
Uchunguzi uliofanywa na MTANZANIA umebaini takribani kwenye mikoa yote kuna shule zimefungwa na nyingine ziko hatarini kufungwa kwa kukosa chakula.
DODOMA
Mkoani Dodoma Shule ya Sekondari Mpwapwa iliyopo katika Wilaya ya Mpwapwa ilitakiwa kufunguliwa tangu Aprili 8, lakini imeshindikana kutokana na ukosefu wa chakula.
Akizungumza na MTANZANIA, mkuu wa shule hiyo, Nelson...
11 years ago
Mwananchi26 Jul
Hakuna atakayekufa kwa njaa- Kikwete
9 years ago
Bongo Movies27 Dec
Mastaa: Magufuli Ametuua kwa Njaa
![Baby Madaha](http://www.bongomovies.com/wp-content/uploads/2015/12/madaha-1024x1024.jpg)
Baby Madaha
Jambo limezua jambo! Kufuatia tumbuatumbua inayoendeshwa na Rais Dk. John Pombe Magufuli kwa vigogo waliokuwa wanawapa jeuri mastaa wa kike mjini, wenyewe wameibuka na kusema kiongozi huyo ‘amewaua’ kwa njaa.
Chanzo makini kililiambia gazeti hili kuwa mastaa wengi wa kike wanalalamika njaa na ndiyo maana tangu alipoingia madarakani Rais Magufuli na kuanza kuwaondoa mafisadi, wasanii hao wamekuwa hawaonekani viwanja kama zamani kwa sababu hawana mkwanja.
“Yaani wasanii wa kike...