Ya Nkuruzinza yaweza kutokea nchini, wasomi waonya
Dar es Salaam. Wakati viongozi wa Uganda, Rwanda na Burundi wamejijengea mazingira ya kuongeza muda wa urais kinyume na Katiba, wachambuzi wanaona hali hiyo inaweza kuambukizwa Tanzania iwapo chama tawala, CCM kitashindwa kumuandaa mrithi mwenye sifa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWatanzania 18 warejeshwa nchini kutokea Yemen
10 years ago
GPL17 Feb
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://2.bp.blogspot.com/-CNd32FzMHZg/VVi1QtLsgxI/AAAAAAAACIY/u_8a9tt0NqE/s72-c/RAIS%2Bwa%2BBurundi%2BPierre%2BNkuruzinza.jpg)
Nkuruzinza aonya
![](http://2.bp.blogspot.com/-CNd32FzMHZg/VVi1QtLsgxI/AAAAAAAACIY/u_8a9tt0NqE/s320/RAIS%2Bwa%2BBurundi%2BPierre%2BNkuruzinza.jpg)
RAIS Pierre Nkuruzinza, ametoa onyo kali kuhusiana na jaribio lingine lolote la kutaka kuchukua madaraka ya nchi hiyo kwa kutumia nguvu.
Alisema jaribio la namna hiyo halipaswi kufanyika tena na serikali itahakikisha inakabiliana na makundi yenye nia ya kuvuruga amani kwa kuwa vitendo hivyo vitasababisha umasikini na vita.
Nkuruzinza alitoa kauli hiyo ikiwa ni siku mbili baada ya Marekani kumuonya kutoendelea na nia ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Marekani imesema kitendo cha Nkuruzinza...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
HAIJAPATA KUTOKEA, VODACOM KINARA WA KULIPA KODI KATIKA SEKTA YA MAWASILIANO NCHINI
9 years ago
BBCSwahili19 Aug
Pombe kidogo pia yaweza kuleta saratani
10 years ago
Raia Tanzania23 Jul
Wasomi kizimbani kwa kuchochea njaa nchini
INADAIWA kwamba, Afrika ndilo bara pekee duniani ambalo utabiri wa mwanauchumi mashuhuri Malthus (1798) kwamba uzalishaji wa chakula hautaweza kuwiana na ongezeko la watu umetimia tangu miongo michache iliyopita.
Msingi wa dhana ya Malthus ni kwamba, wakati idadi ya watu inaongezeka kwa kasi ya kutisha, upatikanaji wa chakula unakua kwa kusuasua.
Kilimo huchangia takriban asilimia 50 ya Pato Ghafi la Taifa (GNP) Barani Afrika na kwa Tanzania, mchango wake ni zaidi kidogo ya
asilimia...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Y9Yc5qVXVzR0bjQLY6*DjEMchQuuE3HcB-BgL8*z1kyG4NCqyl8y*I2zNRHRoW55*DuYDlUCc*HzHs-wozmffdSQOYJFEBta/c1.jpg?width=650)
BBC YAZINDUA STUDIO ZAKE NCHINI, KIPINDI CHA ASUBUHI CHA AMKA NA BBC KURUKA MOJA KWA MOJA KUTOKEA DAR
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-TaugVSsGZy8/U-kvBNCI-MI/AAAAAAAF-uQ/_JagGFK6cBU/s72-c/1.jpg)
BBC yazindua studio zake nchini,kipindi cha asubuhi cha Amka na BBC kuruka moja kwa moja kutokea dar
![](http://3.bp.blogspot.com/-TaugVSsGZy8/U-kvBNCI-MI/AAAAAAAF-uQ/_JagGFK6cBU/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-87opgzZT644/U-kvG9YDzQI/AAAAAAAF-vU/HHy3_J7MZD0/s1600/2.jpg)
11 years ago
Dewji Blog12 Aug
BBC Swahili yazindua studio nchini, Kipindi cha asubuhi cha amka na BBC kuruka moja kwa moja kutokea Dar
Mkuu wa Habari wa BBC Idhaa ya Ulimwengu,Bi. Nikki Clarke akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa Kituo cha kurushia Matangazo ya Idhaa ya Kiswahili ya BBC jijini Dar es Salaam,katika Jengo lao lililopo Mikocheni.Kushoto ni Mkuu wa Idhaa ya Kiswahili ya BBC, Ali Saleh.(Picha zote na Othman Michuzi).
BBC Idhaa ya Ulimwengu, imezindua ofisi zake jijini Dar es Salaam. Ofisi za Dar es Salaam zina studio ambazo zinatumika kuandaa matangazo maarufu ya redio ya asubuhi, Amka na BBC, na pia...