Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nkuruzinza aonya





RAIS Pierre Nkuruzinza, ametoa onyo kali kuhusiana na jaribio lingine lolote la kutaka kuchukua madaraka ya nchi hiyo kwa kutumia nguvu.
Alisema jaribio la namna hiyo halipaswi kufanyika tena na serikali itahakikisha inakabiliana na makundi yenye nia ya kuvuruga amani kwa kuwa vitendo hivyo vitasababisha umasikini na vita.
Nkuruzinza alitoa kauli hiyo ikiwa ni siku mbili baada ya Marekani kumuonya kutoendelea na nia ya kuwania urais kwa muhula wa tatu.
Marekani imesema kitendo cha Nkuruzinza...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Ya Nkuruzinza yaweza kutokea nchini, wasomi waonya

Dar es Salaam. Wakati viongozi wa Uganda, Rwanda na Burundi wamejijengea mazingira ya kuongeza muda wa urais kinyume na Katiba, wachambuzi wanaona hali hiyo inaweza kuambukizwa Tanzania iwapo chama tawala, CCM kitashindwa kumuandaa mrithi mwenye sifa.

 

11 years ago

Habarileo

Waziri aonya walimu

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia amewataka walimu wa shule za msingi na sekondari nchini kutimiza wajibu wao wa kufundisha wanafunzi madarasani badala ya kuendelea na tabia ya kuwatelekeza.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ally Choki aonya

UONGOZI wa Bendi ya Extra Bongo ‘Wazee wa Kizigo’, umesema umegundua malengo ya watu wachache kutoka ndani ya bendi hiyo, ambao wanafanya mikakati ya kuifanya ife na kuipoteza katika ramani...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Balozi Sefue aonya

KATIBU Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, amewataka watumishi wa umma nchini kuzingatia sheria, kanuni na taratibu ili kuleta tija kwenye maeneo yao ya kazi. Sefue aliyasema hayo jijini Dar es...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wenje aonya makandarasi

MBUNGE wa Nyamagana, Ezekiel Wenje (CHADEMA), ametishia kuwachukulia hatua kali makandarasi watakaojenga miradi ya zahanati na wodi ya wazazi, inayotekelezwa na fedha za Mfuko wa Jimbo (CDCF), chini ya kiwango....

 

10 years ago

Habarileo

Askofu aonya wanasiasa

KIONGOZI wa kanisa la Cathedral of Joy, Askofu John Komanya amehadharisha wabunge na watu wanaowania nafasi za uongozi katika chaguzi zijazo, kutojihusisha na ushirikina kwa kile alichodai wakifanya hivyo, hawatashinda.

 

11 years ago

Habarileo

JK aonya wahamiaji haramu

Rais Jakaya KikweteRAIS Jakaya Kikwete ameonya wahamiaji haramu wanaorejea nchini baada ya Operesheni Kimbunga kumalizika na kusema kama wanafanya hivyo, wanajisumbua, hawatadumu nchini.

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete aonya mabalozi

RAIS Jakaya Kikwete amesema upo ushahidi unaothibitisha kuwa baadhi ya mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini wamekuwa wakichanganya dini na siasa kuunga mkono shughuli za kisiasa za baadhi ya vyama.

 

11 years ago

Habarileo

Shivji aonya serikali 3

GWIJI wa masuala ya sheria za katiba nchini, Profesa Issa Shivji amewataka vijana kujiepusha na wanasiasa wenye uchu wa madaraka ambao kwa sasa wanang'ang'ania muungano wa serikali tatu ili kukidhi matakwa yao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani