Kikwete aonya mabalozi
RAIS Jakaya Kikwete amesema upo ushahidi unaothibitisha kuwa baadhi ya mabalozi wanaowakilisha nchi zao nchini wamekuwa wakichanganya dini na siasa kuunga mkono shughuli za kisiasa za baadhi ya vyama.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi18 Jun
Salma Kikwete aonya wanawake kuacha utegemezi
Salma Kikwete, ambaye ni mke wa Rais Jakaya Kikwete, amewaonya wanawake nchini kuacha utegemezi kwa waume wao badala yake wajenge utamaduni wa kujitegemea kiuchumi.
9 years ago
Mwananchi14 Oct
Rais Kikwete aonya wanaopanga kulinda kura vituoni
Rais Jakaya Kikwete amesema watu wanaopanga kubaki katika vituo vya kupigia kura baada ya kumaliza zoezi hilo kwa lengo la kulinda kura kunaashiria uvunjaji amani, hivyo serikali imejipanga kupambana na hali hiyo siku ya uchaguzi.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EZUt9tlUyQna0tq-Gg5Ng7O3zWlCWEAgUH1dvW-pnpPDeRgYoRIoPfYc0L7GmJOMYMOPOanQkiVhmberzji4ykuoXLdLekJK/IKULU.png?width=650)
RAIS KIKWETE ATEUA NA AHAMISHA MABALOZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete. TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Joseph B. Masikitiko kuwa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Kabla ya uteuzi huo Ndugu Masikitiko alikuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo (TBS). Aidha, Rais… ...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-S0bHRaEtJRM/Vcn_DKVjeMI/AAAAAAAHwDA/XfRrLGOfNvs/s72-c/images.jpg)
RAIS KIKWETE ATEUA NA AHAMISHA MABALOZI
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIADIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Joseph B. Masikitiko kuwa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Kabla ya uteuzi huo Ndugu Masikitiko alikuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo (TBS).
Aidha, Rais Kikwete amefanya uteuzi wa Balozi mmoja na kuwabadilishia vituo vya kazi Mabalozi wawili kama ifuatavyo:
(i) Lt. Gen....
![](http://3.bp.blogspot.com/-S0bHRaEtJRM/Vcn_DKVjeMI/AAAAAAAHwDA/XfRrLGOfNvs/s1600/images.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Ndugu Joseph B. Masikitiko kuwa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS). Kabla ya uteuzi huo Ndugu Masikitiko alikuwa Kaimu Mtendaji Mkuu wa Shirika hilo (TBS).
Aidha, Rais Kikwete amefanya uteuzi wa Balozi mmoja na kuwabadilishia vituo vya kazi Mabalozi wawili kama ifuatavyo:
(i) Lt. Gen....
9 years ago
Vijimambo07 Oct
RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO WA MABALOZI
![H](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/H.jpg)
![N](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/N.jpg)
![P](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/10/P.jpg)
Balozi mteule wa Msumbiji nchini Tanzania Mhe. Monica Patricio Clemente akikabidhi hati ya...
10 years ago
VijimamboRais Kikwete afungua Mkutano wa Mabalozi wa Tanzania
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifungua mkutano wa Mabalozi wa Tanzania unaofanyika katika hoteli ya Ramada jijini Dar es Salaam. Mkutano huo unajadili kwa kina namna ya kutekeleza dira mpya ya Sera ya Mambo ya Nje ya Tanzania ili kuendana na mabadiliko ya Uchumi na Diplomasia Duniani na kuleta tija nchini.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TOZFVB-WOm0/VWSmka32h0I/AAAAAAAAd9w/L5NcXHBSxdk/s72-c/16.jpg)
RAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI MKUTANO WA NNE WA MABALOZI
![](http://4.bp.blogspot.com/-TOZFVB-WOm0/VWSmka32h0I/AAAAAAAAd9w/L5NcXHBSxdk/s640/16.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0t_yBDiVvNc/VWSmdn6ZIjI/AAAAAAAAd9A/V-K83WHjZpg/s640/1.jpg)
10 years ago
VijimamboMabalozi India,Ubelgiji na Sweden wamuaga Rais Kikwete ikulu
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete ameagana na mabalozi watatu wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania baada ya kumaliza muda wao wa kazi .
Mabalozi walioagana na Rais leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe.Debnath Shaw wa India,Balozi Koenraad Adam wa Ubelgiji na balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na balozi wa India anayemaliza muda wake Mhe.Debnath Shaw wakati balozi huyo alipokwenda kumuaga ikulu jijini Dar es Salaam
Rais Dkt.Jakaya Mrisho...
Mabalozi walioagana na Rais leo ikulu jijini Dar es Salaam ni pamoja na Mhe.Debnath Shaw wa India,Balozi Koenraad Adam wa Ubelgiji na balozi Lennarth Hjelmaker wa Sweden.
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/JK.jpg)
RAIS KIKWETE APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO KUTOKA KWA MABALOZI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto) akipokea Hati za Utambulisho kutoka kwa Balozi wa Ufilipino nchini Tanzania mwenye makazi nchini Kenya, Mhe. Bayani V. Mangibin. Hafla hiyo imefanyika Ikulu Dar es Salaam tarehe 28 Oktoba, 2015. Balozi Mangibin akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam. Balozi Mangibin (kulia) akisalimiana na Katibu Mkuu wa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania