Salma Kikwete aonya wanawake kuacha utegemezi
Salma Kikwete, ambaye ni mke wa Rais Jakaya Kikwete, amewaonya wanawake nchini kuacha utegemezi kwa waume wao badala yake wajenge utamaduni wa kujitegemea kiuchumi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo15 Jun
Prof. Mwandosya aonya utegemezi wa vyeti
WASOMI wengi nchini wameshindwa kujiajiri kutokana na kutojua kuwa elimu waliyonayo imewafungua akili ili waweze kufanya mambo yao wakiwa na uelewa mzuri hali inayowafanya kutegemea vyeti walivyonavyo.
11 years ago
Tanzania Daima03 Apr
Kina mama Kibaha watakiwa kuacha utegemezi
KINA mama nchini wametakiwa kuachana na tabia ya kuwa tegemezi na badala yake wajiunge katika vikundi vya ujasiriamali kwa lengo la kupamabana na umasikini. Rai hiyo ilitolewa mjini hapa jana...
11 years ago
Habarileo15 Apr
Salma Kikwete ahimiza wanawake kuchunguzwa saratani
ASILIMIA 90 ya akina mama wanaosumbuliwa na saratani ya mlango wa kizazi wanafia majumbani, kwenye zahanati na vituo vya afya kutokana na kutogundulika mapema kwa viashiria vya ugonjwa huo.
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-tWB7sjNaofE/U0VIj762stI/AAAAAAAFZdQ/sH5EIE5uvhg/s72-c/unnamed+(31).jpg)
mama salma kikwete azindua chama cha umoja wa wanawake wa mbagala
![](http://2.bp.blogspot.com/-tWB7sjNaofE/U0VIj762stI/AAAAAAAFZdQ/sH5EIE5uvhg/s1600/unnamed+(31).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-1IfRW2mFTN0/U0VIkghLSXI/AAAAAAAFZdY/5AfztZ0mCaI/s1600/unnamed+(32).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-f28F4JQUn2k/U0VIlPl5HKI/AAAAAAAFZdw/hX-7me2ow1k/s1600/unnamed+(33).jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-wljyJXawgIw/XmU0t_S1naI/AAAAAAALh_0/b3corPBjGOYBUUuRGIO9DXdHbs41J-73wCLcBGAsYHQ/s72-c/3.jpg)
MAMA SALMA KIKWETE AFUNGA MASHINDANO YA GOFU KUENZI WANAWAKE LUGALO
Mke wa Rais Mstaafu Mama Salma Kikwete amewataka wanawake nchi kusimama imara katika kujiendeleza katika nyanja mbali mbali ikiwemo michezo na kuliletea Taifa heshima bila kujali tofauti za jinsi walizonazo.
Aliyasema hayo wakati akifunga Mashindano ya kuadhimisha siku ya mwanamke duniani kwa mchezo wa Gofu katika yaliyofanyika Jana katika Uwanja wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania ya Lugalo Jijini Dar es Salaam.
Mama Salama alisema licha ya michezo mingi...
9 years ago
Michuzi04 Oct
WANAWAKE JITOKEZENI KWA WINGI KUPIGA KURA - MAMA SALMA KIKWETE
Rai hiyo imetolewa leo na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete wakati akiongea na wanawake wa wilaya hiyo iliyopo mkoani Mara katika ukumbi wa mikutano uliopo katika hoteli ya CMG.
Mama Kikwete ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM kupitia wilaya...
11 years ago
GPLMAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA WANAWAKE WATANZANIA WAJASIRIAMALI WA DMV JIJINI WASHINGTON
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-IDrDK9UhGyQ/VPnWlzmdslI/AAAAAAAHIFA/al0FpJOTSZU/s72-c/MamaKikwete_.jpg)
MKE WA RAIS MAMA SALMA KIKWETE KUWA MGENI RASMI SIKU YA WANAWAKE DUNIANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-IDrDK9UhGyQ/VPnWlzmdslI/AAAAAAAHIFA/al0FpJOTSZU/s1600/MamaKikwete_.jpg)
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo [WAMA] anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kwenye maadhimisho ya siku ya Wanawake Duniani yatakayofanyika Machi 8 mwaka huu katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam .
Akizungumzia maadhimisho hayo leo jijini Dar es salaam , Kaimu Mkuu wa mkoa wa Dar se salaam Mhe. Raymond Mushi amesema kuwa maadhimisho hayo mwaka huu yataongozwa na kauli mbiu isemayo “Uwezeshaji...
10 years ago
MichuziMAMA SALMA KIKWETE MGENI RASMI KILELE CHA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI MKOANI DAR