Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Prof. Mwandosya aonya utegemezi wa vyeti

Profesa Mark MwandosyaWASOMI wengi nchini wameshindwa kujiajiri kutokana na kutojua kuwa elimu waliyonayo imewafungua akili ili waweze kufanya mambo yao wakiwa na uelewa mzuri hali inayowafanya kutegemea vyeti walivyonavyo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Salma Kikwete aonya wanawake kuacha utegemezi

Salma Kikwete, ambaye ni mke wa Rais Jakaya Kikwete, amewaonya wanawake nchini kuacha utegemezi kwa waume wao badala yake wajenge utamaduni wa kujitegemea kiuchumi.

 

10 years ago

Michuzi

Hepi Besdei Mh. Prof. Mark Mwandosya

Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Mh. Prof. Mark Mwandosya akiwa kwenye picha ya pamoja na wajukuu zake wakati wa kusherehekea kutimiza miaka 65 ya kuzaliwa kwake,aliyoiadhimisha jana huko kijijini kwake Lufilyo, Busokelo, Wilayani Rungwe.
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Mh. Prof. Mark Mwandosya akikata keki sambamba na wajukuu zake wakati wa kusherehekea kutimiza miaka 65 ya kuzaliwa kwake,aliyoiadhimisha jana huko kijijini kwake Lufilyo, Busokelo, Wilayani Rungwe.Waziri...

 

10 years ago

Mtanzania

Upinzani wambeba Prof. Mwandosya urais 2015

Mwandosya-MarkNA GORDON KALULUNGA, MBEYA
VIONGOZI wa Chama cha NCCR-Mageuzi na TADEA mkoani hapa, wamemtaka Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya, kugombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kwamba ni mtu mwadilifu.
Wakizungumza na waandishi wa habari jana jijini Mbeya, viongozi hao walisema wamechoshwa na tetesi na minong’ono iliyopo mitaani kuwa atawania nafasi hiyo huku yeye akiwa amekaa kimya bila kukata kiu ya wafuasi wake ndani na nje ya CCM.
Kamishna wa...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Prof. Mwandosya awapa somo viongozi wa dini


 Na Rhoda Ezekiel, Kigoma
MAASKOFU na viongozi wengine wa dini wametakiwa kusoma na kuelewa kipengele kinachohusu haki na uhuru wa kuabudu katika Katiba Inayopendekezwa.
Kufanya hivyo kutawawezesha kuwafahamisha waumini wao haki na uhuru huo kama inavyopendekezwa katika Katiba hiyo pasipo kuingiliwa na mtu yeyote.

Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, katika sherehe ya kumsimika askofu wa nne wa Jimbo la Kigoma,  Askofu Joseph  Mlolwa.
Alisema katika...

 

10 years ago

Raia Tanzania

JUMA KAPONDA: Ninatosha kuvaa viatu vya Prof. Mwandosya

JOTO la uchaguzi mkuu linaendelea kushika kasi, huku kiu ya mabadiliko ikiwagusa wengi, baadhi yao wakitangaza nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi.

Mwalimu Juma Kaponda, ambaye ni Ofisa Elimu ya Msingi Mkoa wa Dodoma, ametangaza nia kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania ubunge Jimbo la Rungwe Mashariki.  Fuatana na mwandishi wetu Christina Mwagala katika mahojiano haya, ili kujua kwa undani dhamira ya Kaponda.

Raia Tanzania: Msomaji angependa kufahamu, wewe...

 

10 years ago

Vijimambo

PROF. MWANDOSYA AWATAKA WABUNGE WA UKAWA WAINGIE BUNGENI KESHO



Waziri katika Ofisi ya Rais Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya ametaka wabunge wote wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhudhuria bungeni kesho ambapo rais ataingia bungeni kulihutubia na kulivunja bunge.


Prof. Mwandosya amesema jambo la rais kulihutubia bunge ni sula muhimu sana hivyo si vyema mbunge ama kundi fulani la wabunge kuwepo nje ya bunge wakati rais atakapokuwa analihutubia bunge.


Kauli hiyo ya Prof. Mwandosya ameitoa leo Bungeni, ikiwa siku chache tu kupita tangu Mkuu...

 

10 years ago

Mtanzania

Wanawake Mtwara wampelekea kilio cha Kiingereza Prof. Mwandosya

SARAH MOSSI NA FLORENCE SANAWA, MTWARA

WANACCM na baadhi ya wanawake wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wamedai licha ya kuwapo viwanda vingi vinavyoendelea kuzinduliwa katika manispaa yao, lakini hawapewi ajira kwa madai hawajui lugha ya Kiingereza.

Wakazi hao walitoa kilio chao jana katika Ofisi ya CCM Mtwara Mjini, mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, mara baada ya kumaliza kazi ya kutafuta wadhamini wa chama chake, ikiwa ni sehemu ya kutimiza...

 

10 years ago

Michuzi

Prof. Mwandosya akagua Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Lupaso-Bujesi,Tukuyu

Bango la Ujenzi wa Barabara ya Lupaso-Bujesi ambayo ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Katumba -Tukuyu kwa kiwango cha lami.Waziri wa nchi Ofisi ya Rais - Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya (katikati) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Busokelo,Said Mderu wakipata maelezo ya ujenzi wa barabara ya Lupaso-Bujesi ambayo ni awamu ya kwanza ya ujenzi wa barabara ya Katumba -Tukuyu kwa kiwango cha lami.Wakati walipotembelea kukagua maendeleo ya ujenzi wa barabara hiyo.Waziri wa nchi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani