PROF. MWANDOSYA AWATAKA WABUNGE WA UKAWA WAINGIE BUNGENI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-2a0RDIHgtFA/VZ0jmdqNNII/AAAAAAABCKI/FPONZpHwut4/s72-c/Bu.jpg)
Waziri katika Ofisi ya Rais Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya ametaka wabunge wote wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhudhuria bungeni kesho ambapo rais ataingia bungeni kulihutubia na kulivunja bunge.
Prof. Mwandosya amesema jambo la rais kulihutubia bunge ni sula muhimu sana hivyo si vyema mbunge ama kundi fulani la wabunge kuwepo nje ya bunge wakati rais atakapokuwa analihutubia bunge.
Kauli hiyo ya Prof. Mwandosya ameitoa leo Bungeni, ikiwa siku chache tu kupita tangu Mkuu...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-KC8EInfMWnQ/XrL8TjTj3_I/AAAAAAALpVQ/bsSp1FYJvIoUrb1GAjMaWqVyZ3W4X9FrACLcBGAsYHQ/s72-c/spika1.jpg)
SPIKA NDUGAI AWATAKA WABUNGE CHADEMA KURUDISHA POSHO WALIOZOCHUKUA BUNGENI
![](https://1.bp.blogspot.com/-KC8EInfMWnQ/XrL8TjTj3_I/AAAAAAALpVQ/bsSp1FYJvIoUrb1GAjMaWqVyZ3W4X9FrACLcBGAsYHQ/s400/spika1.jpg)
*Watakaogoma majina yao kukabidhiwa kwa vyombo vya ulinzi na usalama
Na Said Mwishehe,Michuzi TV.
SPIKA wa Bunge Job Ndugai amekunjua makucha yake kwa wabunge wa Chadema ambao wametoroka Bungeni wakiongozwa na Freeman Mbowe huku akiwataka warudi bungeni haraka iwezekanavyo na fedha za posho wamechukua kwa siku 14 wanatakiwa kuzirudisha kwa kuziweka katika akaunti ya Bunge.
Pia Spika Ngugai amewaagiza wabunge hao kuwa...
11 years ago
Mwananchi28 Apr
Jaji Samatta, Prof Lumumba kutumika kuwarejesha Ukawa bungeni
11 years ago
Michuzi20 Apr
ASKOFU KKKT IRINGA DKT MDEGELA ATAKA'UKAWA' WASIRUHUSIWE KUENEZA CHUKI NCHINI, AWATAKA WAREJEE BUNGENI AMA WAFUNGASHE VIRAGO WARUDI NYUMBANI ASEMA SERIKALI NI MBILI PEKEE
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA Na Francis Godwin, Iringa
ASKOFU mkuu wa Kanisa la Kilutheri (KKT) dayosisi ya Iringa Dkt. OwdenburgMdegela ameitumia ibada ya Jumapili ya Pasaka leo kulaani vikali wale wote wanaowatukana...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QlkdmC1bq9Q/VKDseeVLpdI/AAAAAAAG6RE/pcfrVPzbXOQ/s72-c/20141228_092909.jpg)
Hepi Besdei Mh. Prof. Mark Mwandosya
![](http://4.bp.blogspot.com/-QlkdmC1bq9Q/VKDseeVLpdI/AAAAAAAG6RE/pcfrVPzbXOQ/s1600/20141228_092909.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mQskdxGhGNs/VKDxEOWeHbI/AAAAAAAG6SQ/vkziDAZ-9v4/s1600/20141228_092959.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QHWDRFpLjeo/VKDsf3avAiI/AAAAAAAG6RM/nkKuoPlWTmg/s1600/20141228_092001.jpg)
11 years ago
Habarileo15 Jun
Prof. Mwandosya aonya utegemezi wa vyeti
WASOMI wengi nchini wameshindwa kujiajiri kutokana na kutojua kuwa elimu waliyonayo imewafungua akili ili waweze kufanya mambo yao wakiwa na uelewa mzuri hali inayowafanya kutegemea vyeti walivyonavyo.
10 years ago
Mtanzania24 Feb
Upinzani wambeba Prof. Mwandosya urais 2015
NA GORDON KALULUNGA, MBEYA
VIONGOZI wa Chama cha NCCR-Mageuzi na TADEA mkoani hapa, wamemtaka Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya, kugombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kwamba ni mtu mwadilifu.
Wakizungumza na waandishi wa habari jana jijini Mbeya, viongozi hao walisema wamechoshwa na tetesi na minong’ono iliyopo mitaani kuwa atawania nafasi hiyo huku yeye akiwa amekaa kimya bila kukata kiu ya wafuasi wake ndani na nje ya CCM.
Kamishna wa...
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-iRd4stCmF3U/VE5Z0IHVDjI/AAAAAAAABtc/A6fEjxmR1i4/s72-c/DSC_0129.jpg)
Prof. Mwandosya awapa somo viongozi wa dini
Na Rhoda Ezekiel, Kigoma
MAASKOFU na viongozi wengine wa dini wametakiwa kusoma na kuelewa kipengele kinachohusu haki na uhuru wa kuabudu katika Katiba Inayopendekezwa.
Kufanya hivyo kutawawezesha kuwafahamisha waumini wao haki na uhuru huo kama inavyopendekezwa katika Katiba hiyo pasipo kuingiliwa na mtu yeyote.
![](http://1.bp.blogspot.com/-iRd4stCmF3U/VE5Z0IHVDjI/AAAAAAAABtc/A6fEjxmR1i4/s1600/DSC_0129.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, katika sherehe ya kumsimika askofu wa nne wa Jimbo la Kigoma, Askofu Joseph Mlolwa.
Alisema katika...
10 years ago
Raia Tanzania09 Jul
JUMA KAPONDA: Ninatosha kuvaa viatu vya Prof. Mwandosya
JOTO la uchaguzi mkuu linaendelea kushika kasi, huku kiu ya mabadiliko ikiwagusa wengi, baadhi yao wakitangaza nia ya kuwania nafasi mbalimbali za uongozi.
Mwalimu Juma Kaponda, ambaye ni Ofisa Elimu ya Msingi Mkoa wa Dodoma, ametangaza nia kuomba kuteuliwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), kuwania ubunge Jimbo la Rungwe Mashariki. Fuatana na mwandishi wetu Christina Mwagala katika mahojiano haya, ili kujua kwa undani dhamira ya Kaponda.
Raia Tanzania: Msomaji angependa kufahamu, wewe...
10 years ago
Mtanzania13 Jun
Wanawake Mtwara wampelekea kilio cha Kiingereza Prof. Mwandosya
SARAH MOSSI NA FLORENCE SANAWA, MTWARA
WANACCM na baadhi ya wanawake wa Manispaa ya Mtwara Mikindani wamedai licha ya kuwapo viwanda vingi vinavyoendelea kuzinduliwa katika manispaa yao, lakini hawapewi ajira kwa madai hawajui lugha ya Kiingereza.
Wakazi hao walitoa kilio chao jana katika Ofisi ya CCM Mtwara Mjini, mbele ya Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya, mara baada ya kumaliza kazi ya kutafuta wadhamini wa chama chake, ikiwa ni sehemu ya kutimiza...