Upinzani wambeba Prof. Mwandosya urais 2015
NA GORDON KALULUNGA, MBEYA
VIONGOZI wa Chama cha NCCR-Mageuzi na TADEA mkoani hapa, wamemtaka Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Kazi Maalumu), Profesa Mark Mwandosya, kugombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) na kwamba ni mtu mwadilifu.
Wakizungumza na waandishi wa habari jana jijini Mbeya, viongozi hao walisema wamechoshwa na tetesi na minong’ono iliyopo mitaani kuwa atawania nafasi hiyo huku yeye akiwa amekaa kimya bila kukata kiu ya wafuasi wake ndani na nje ya CCM.
Kamishna wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLPROF. MWANDOSYA AKITANGAZA NIA YA KUWANIA URAIS KATIKA UKUMBI WA MKAPA JIJINI MBEYA
10 years ago
Mwananchi08 Jun
Sifa 10 za mgombea urais bora wa upinzani 2015
10 years ago
Vijimambo09 Feb
Wabunge wambeba Lowassa mbio urais
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowasa-09Feb2015.jpg)
Hali hiyo inajitokeza wakati wa Mkutano wa Bunge wa 18 ukihitimishwa mwishoni mwa wiki na kubakia miwili tu Bunge la 10 kufikia tamati, hivyo...
10 years ago
Dewji Blog22 Mar
Prof.Muhongo aombwa kugombea urais 2015 na umoja wa vyama vya wanafunzi elimu ya juu
Umoja wa Vyama vya wanafunzi elimu ya juu kutoka vyuo mbalimbali kanda ya kaskazini Kilimanjaro na Arusha wajitokeza kumshawishi Prof. Sospeter Muhongo kugombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mwaka 2015.(Picha na Jamiiblog).
Akizungumza kwa niaba ya vijana wenzake Mwenyekiti wa vijana Charles Ngereza kutoka chuo cha Uhasibu Arusha amesema kuwa kinachowafanya kumshawishi Prof Sospeter Muhongo kugombea urais ni kutokana na kuwa kiongozi bora kwa wananchi na mtu anayejali matatizo...
11 years ago
Habarileo15 Jun
Prof. Mwandosya aonya utegemezi wa vyeti
WASOMI wengi nchini wameshindwa kujiajiri kutokana na kutojua kuwa elimu waliyonayo imewafungua akili ili waweze kufanya mambo yao wakiwa na uelewa mzuri hali inayowafanya kutegemea vyeti walivyonavyo.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-QlkdmC1bq9Q/VKDseeVLpdI/AAAAAAAG6RE/pcfrVPzbXOQ/s72-c/20141228_092909.jpg)
Hepi Besdei Mh. Prof. Mark Mwandosya
![](http://4.bp.blogspot.com/-QlkdmC1bq9Q/VKDseeVLpdI/AAAAAAAG6RE/pcfrVPzbXOQ/s1600/20141228_092909.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-mQskdxGhGNs/VKDxEOWeHbI/AAAAAAAG6SQ/vkziDAZ-9v4/s1600/20141228_092959.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-QHWDRFpLjeo/VKDsf3avAiI/AAAAAAAG6RM/nkKuoPlWTmg/s1600/20141228_092001.jpg)
10 years ago
Michuzi21 Mar
UMOJA WA VYAMA VYA WANAFUNZI ELIMU YA JUU KUTOKA VYUO MBALIMBALI KANDA YA KASKAZINI WAMUOMBA PROF.MUHONGO KUGOMBEA URAIS 2015
![IMG_8515](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/YK5JdFGBw-GKQMMrLQc4ng65YITIhbdN3d3lT4T7Ps3ed0rLYYAy03OHEAOLQlTyWQIGCgqSp2TNpd3NagEeYV0Eh1-aIJS0bSimPXpOgi5neL1SzBzBTvk=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8515.jpg?w=660)
![IMG_8521](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/kgeoi6XMMV_Smw1YSKVAwo79aSUU99eogLuacUN3VS3lQeicUi0HfUtdEz4aSQqAzkJRH4yqDMW4P3ceA2giaYEdlk1HrSEqNBy5xKiEdJ4U6d9IquCWDcI=s0-d-e1-ft#https://pamelamollel.files.wordpress.com/2015/03/img_8521.jpg?w=660)
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://1.bp.blogspot.com/-iRd4stCmF3U/VE5Z0IHVDjI/AAAAAAAABtc/A6fEjxmR1i4/s72-c/DSC_0129.jpg)
Prof. Mwandosya awapa somo viongozi wa dini
Na Rhoda Ezekiel, Kigoma
MAASKOFU na viongozi wengine wa dini wametakiwa kusoma na kuelewa kipengele kinachohusu haki na uhuru wa kuabudu katika Katiba Inayopendekezwa.
Kufanya hivyo kutawawezesha kuwafahamisha waumini wao haki na uhuru huo kama inavyopendekezwa katika Katiba hiyo pasipo kuingiliwa na mtu yeyote.
![](http://1.bp.blogspot.com/-iRd4stCmF3U/VE5Z0IHVDjI/AAAAAAAABtc/A6fEjxmR1i4/s1600/DSC_0129.jpg)
Kauli hiyo ilitolewa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Profesa Mark Mwandosya, katika sherehe ya kumsimika askofu wa nne wa Jimbo la Kigoma, Askofu Joseph Mlolwa.
Alisema katika...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-2a0RDIHgtFA/VZ0jmdqNNII/AAAAAAABCKI/FPONZpHwut4/s72-c/Bu.jpg)
PROF. MWANDOSYA AWATAKA WABUNGE WA UKAWA WAINGIE BUNGENI KESHO
![](http://1.bp.blogspot.com/-2a0RDIHgtFA/VZ0jmdqNNII/AAAAAAABCKI/FPONZpHwut4/s1600/Bu.jpg)
Waziri katika Ofisi ya Rais Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya ametaka wabunge wote wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhudhuria bungeni kesho ambapo rais ataingia bungeni kulihutubia na kulivunja bunge.
Prof. Mwandosya amesema jambo la rais kulihutubia bunge ni sula muhimu sana hivyo si vyema mbunge ama kundi fulani la wabunge kuwepo nje ya bunge wakati rais atakapokuwa analihutubia bunge.
Kauli hiyo ya Prof. Mwandosya ameitoa leo Bungeni, ikiwa siku chache tu kupita tangu Mkuu...