NDEGE YA JESHI YAANGUKA MWANZA, RUBANI ANUSURIKA
![](http://api.ning.com:80/files/db4JtL*UowEvPbie2S2EOxumcHCqRYD31ZGOdXWEDeAUXLD6fhBb2BmZCCW64Cg9KIKE*cg8VNRybQFuJZuxHI35bYuqCHCA/mwanza1.jpg)
Muonekano wa ndege ya ndege ya jeshi baada ya kuanguka leo uwanja wa ndege wa Mwanza.(Picha na Mtandao) NDEGE ya kijeshi imeanguka leo uwanja wa ndege wa Mwanza na kusambaratika wakati inatoka kaskazini mwa uwanja huo kuelekea kusini ambapo rubani wake, Peter Augustino Lyamunda, amevunjika mguu. Chanzo cha ajali hiyo ni ndege (mnyama) aliyeingia kwenye moja ya injini za ndege… ...
GPL
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania