Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trump asaini agizo la rais dhidi ya mitando ya kijamii baada ya kuzozana na Twitter

Hatua ya rais Trump inafuatia uamuzi wa Twitter wa kuweka alama ya "kuhakiki ukweli" katika ujumbe wake.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Twitter yamuonya rais Donald Trump dhidi ya kuchapisha ujumbe wa 'uongo'

Hii ni mara ya kwanza mtandao huo wa kijamii umesema ujumbe wa Donald Trump huenda unapotosha.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani 2020: Walinzi wa rais wajitenga baada ya mkutano wa Trump

Walinzi kadhaa wa rais Donald Trump wametakiwa kujitenga baada ya wawili kati yao waliokuwa katika mkutano wa kisiasa wa Donald Trump huko Tulsa Jumapili kupata maambukizi ya virusi vya corona.

 

10 years ago

Vijimambo

MTOTO WA TIBAIJUKA ALICHOJITIRIRISHA KWENYE MTANDAO WA KIJAMII BAADA YA MAAMUZI YA MH. RAIS


Siku ya jana baada ya Rais kutangaza rasmi kwamba Mh Anna Tibaijuka anachia nafasi yake ili wengine waongoze mtoto wake wa kike anajulikana kwa jina la Kagem Tibaijuka ameibuka kwenye ukurasa wake wa Twitter akiwatukana wanachi matusi ya nguoni bila hata ya kuangali kama mama yake anamakosa au lah na alicho kiandika sasa hiki hapa chini

 

5 years ago

BBCSwahili

Mary Trump: Kumbukumbu ya mpwa wa rais Donald Trump inayomdhalilisha rais huyo

Mary Trump anatarajiwa kutoa kitabu kinachomuelezea mjomba wake Donald Trump kama mwanaume hatari sana duniani.

 

5 years ago

BBCSwahili

Marekani:Trump atishia kufunga mitandao ya kijamii

Rais wa Marekani Donald Trump atishia kudhibiti au kufunga kabisa mitandao ya kjamii nchini humo.

 

5 years ago

CCM Blog

OBAMA AMKOSOA TRUMP VITA DHIDI YA CORONA

rais wa zamani Barrack ObamaImage captionrais wa zamani Barrack ObamaRais wa zamani wa Marekani Barack Obam amemkosoa vikali Rais Donald Trump kwa namna anavyoshughulikia janga la corona.Kauli yake ameitoa alipofanya mazungumzo na wafanyakazi wake wa zamani kuungana na timu ya kampeni ya uchaguzi ya Joe Biden, televisheni ya CNN imeelezaIkulu ya Marekani imejibu kuwa hatua ya Rais "isiyo ya kawaida" ilikuwa "imeokoa maisha ya Wamarekani".Marekani yaidhinisha dawa ya Ebola kutibu CoronaMarekani yahofia mlipuko mpya...

 

5 years ago

BBCSwahili

Waliojitolea kuwa mashahidi dhidi ya kesi ya Trump wajipata mashakani

Afisa wa Usalama Alexander Vindman balozi kwa Ulaya Gordon Sondland walitoa ushahidi dhidi ya Rais Trump

 

10 years ago

Michuzi

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO YA MSIBA WA RAIS WA ZAMBIA, MICHAEL CHILUFYA SATA

Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa aliyekuwa Rais wa Zambia, Michael Chilufya Sata, wakati alipofika nyumbani kwa Balozi wa Zambia nchini Tanzania, Judith Kapijimpanga, jijini Dar es Salaam, leo Novemba 3, 2014. Makamu Wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Balozi wa Zambia nchini Tanzania, Judith Kapijimpanga, baada ya kusaini kitabu cha maombolezo ya msiba wa...

 

11 years ago

Michuzi

TAARIFA YA MH. JERRY SILAA BAADA YA KUIBIWA AKAUNTI ZAKE ZA FACEBOOK NA TWITTER

TAHADHARI  Hii ni taarifa kwa umma kwa ujumla kwamba mtu au kikundi cha watu wasiojulikana na wasiokuwa waaminifu wametengeneza au kuingia kwa jinai kwenye anuani yangu ya facebook na Twiter (TWITA) kuanzia tarehe 6 Juni 2014 kupelekea mimi kushindwa kufanya chochote ikiwamo kuandika au kuposti kitu chochote tokea tarehe 7 Juni 2014. Kwa taarifa hii ijulikane kuwa posti zote toka tarehe 7 June 2014 sio zangu au sihusiki nazo. Kwamba watu hao wanaojifanya ni mimi wanatumia maneno au jina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani