MTOTO WA TIBAIJUKA ALICHOJITIRIRISHA KWENYE MTANDAO WA KIJAMII BAADA YA MAAMUZI YA MH. RAIS
![](https://lh3.googleusercontent.com/-49M_4zubjeA/Uf0ChTy0fJI/AAAAAAAAm8I/_29wwhucKmI/s72-c/blogger-image--1593854567.jpg)
Siku ya jana baada ya Rais kutangaza rasmi kwamba Mh Anna Tibaijuka anachia nafasi yake ili wengine waongoze mtoto wake wa kike anajulikana kwa jina la Kagem Tibaijuka ameibuka kwenye ukurasa wake wa Twitter akiwatukana wanachi matusi ya nguoni bila hata ya kuangali kama mama yake anamakosa au lah na alicho kiandika sasa hiki hapa chini
Vijimambo
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili29 May
Trump asaini agizo la rais dhidi ya mitando ya kijamii baada ya kuzozana na Twitter
10 years ago
Bongo Movies30 Nov
Wema Sepetu azua gumzo kwenye mtandao baada ya kumuita Diamond "kaka"
Huku macho na masikio ya wananchi wa jamhuri ya muungano wa Tanzania yakiwa kwenye bunge la katiba linalojadili lile sakata la tegeta ESCROW, mwanadada Wema sepetu ameamua naye kuzua gumzo kwenye mtandao baada ya kutoa salamu ya pongezi kwa kijana Naseeb al maarufu kama Chibu dangote ama Diamond platnumz kwa ushindi wake wa tuzo 3 kwenye tuzo za Channel O MUSIC AWARDS zilizofanyika huko Afrika ya kusini akitumia neno KAKA katika sentensi yake kitu ambacho kimezua minong’ono ya hapa na pale...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Au2H2NiRfwM/VFDqskks3lI/AAAAAAACt9o/dGm8G9oLcEo/s72-c/1.jpg)
KAMPUNI YA TIGO YATANGAZA USHIIRIKIANO NA MTANDAO WA KIJAMII WA FACEBOOK JIJINI DAR LEO.
![](http://2.bp.blogspot.com/-Au2H2NiRfwM/VFDqskks3lI/AAAAAAACt9o/dGm8G9oLcEo/s1600/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-UhEOWpO2f_U/VFDqsgb6QDI/AAAAAAACt9s/9xZNQKgctE8/s1600/2.jpg)
Mkuu wa ukuaji na ushirikiano wa mitandao ya kijamii kutoka Tigo, Naheed Hirji, akielezea upatikanaji wa huduma hiyo.
![](http://1.bp.blogspot.com/-YdSsWPirvZ0/VFDr06YPgFI/AAAAAAACt98/Bm0l2CQV5j8/s1600/3.jpg)
KAMPUNI ya mtandao wa Tigo, imetangaza rasmi ushirikiano kati yao na mtandao wa kijamii wa Facebook ambapo itatoa ofa ya Intaneti itakayotumiwa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTusHYw1Z7wY3qkLT4dh1nrX7sdXHugWemBIkCefEHFWFAR*fNqc-0TdXnBf1pHVdfmI1*OZsIVPCpCdyqs1ILyO/BACK.jpg?width=650)
BAADA YA SAKATA LA ESCROW: TIBAIJUKA ANASWA PEKUPEKU
11 years ago
BBCSwahili15 Jan
Ghasia kwenye kura ya maamuzi Misri
10 years ago
Mwananchi18 Mar
Baada ya kufukuzwa, Zitto aigawa mitandao ya kijamii
9 years ago
MillardAyo02 Jan
Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, haya ndio maamuzi yaliofanywa na klabu yake …
Mshambuliaji wa kimataifa wa Brazil ambaye amewahi kuichezea klabu ya AC Milan ya Italia Alexandre Pato alikuwa katika mipango ya Liverpool ya Uingereza kwa muda mrefu, lakini uhamisho wake ulikuwa unatajwa kukamilishwa January. Pato yupo katika klabu ya Corinthians baada ya kuondoka AC Milan mwaka 2013. Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, licha ya kuwa waliwahi kutuma ofa […]
The post Baada ya Liverpool kujishauri kumsajili Alexandre Pato, haya ndio maamuzi yaliofanywa...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-L0avcRS0xcA/VgD5VIiYDaI/AAAAAAAH6vw/5XcYrx_-JzI/s72-c/unnamed.jpg)
NGO YA TANZANIA Mtandao wa Kijamii wa Usimamizi wa Misitu Tanzania ( MJUMITA) YASHINDA TUZO YA UMOJA WA MATAIFA
11 years ago
BBCSwahili06 Aug
Gumzo kwenye mitandao ya kijamii