BAADA YA SAKATA LA ESCROW: TIBAIJUKA ANASWA PEKUPEKU
![](http://api.ning.com:80/files/8Kb*1kVFSTusHYw1Z7wY3qkLT4dh1nrX7sdXHugWemBIkCefEHFWFAR*fNqc-0TdXnBf1pHVdfmI1*OZsIVPCpCdyqs1ILyO/BACK.jpg?width=650)
Na Mwandishi Wetu/Amani WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi aliyeondolewa ofisini hivi karibuni kutokana na sakata la Tegeta Escrow, Anna Tibaijuka, hivi karibuni amenaswa akiwatembelea watu wanaosadikiwa kuwa wapiga kura wake jimboni Muleba mkoani Bukoba akiwa pekupeku. Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof.Anna Tibaijuka akipekua jimboni Muleba mkoani Bukoba. Kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali, vikiwemo...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMS-NLx00o4VN1*j4J-kgXN2w4l3xHDuwB-MCRDi8Yxl9OSc1Ai4uD06brjEUwSE2P-7lFCF4lzO8lXrsOna-LGh/PROFMUHONGO.jpg?width=650)
MAAZIMIO MAPYA SAKATA LA ESCROW: MAMLAKA HUSIKA YASHAURIWA KUTENGUA UTEUZI WA PROF TIBAIJUKA, PROF MUHONGO, JAJI WEREMA NA MASWI
10 years ago
GPLBUNGE LAAHIRISHWA BAADA YA WABUNGE KUPINGA BAADHI YA MAAZIMIO YA KUWALINDA WATUHUMIWA WA SAKATA LA ESCROW
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-xPvYq6HfUTA/VHjvC85Pa9I/AAAAAAAG0EM/PrCoOPstzok/s72-c/1.jpg)
news alert: SPIKA ASITISHA BUNGE HADI WATAPOJADILIANA TENA BAADA YA SINTOFAHAMU WAKATI WA MJADALA MKALI WA SAKATA LA ESCROW
![](http://1.bp.blogspot.com/-xPvYq6HfUTA/VHjvC85Pa9I/AAAAAAAG0EM/PrCoOPstzok/s1600/1.jpg)
Sintofahamu iliyotokea kwenye kikao cha Bunge mjini Dodoma Ijumaa Novemba 28, 2014 imepelekea Spika Anne Makinda (pichani) kulazimika kusitisha shughuli za Bunge mpaka hapo watapojadiliana tena.
Hii ni baada ya majadiliano makali kuhusu kuwajibishwa ama la kwa viongozi wanaohusika na sakata la akaunti ya Escrow. Hali hii iliibuka baada ya Mwenyekiti wa CHADEMA na kambi ya upinzani Bungeni Mhe Freeman Mbowe kuinuka na kusema kuwa Bunge kufikisha saa tano kasoro ni historia, na kwamba kuna...
5 years ago
The Citizen Daily04 Apr
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Escrow yaendelea kumtesa Tibaijuka
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Escrow:Tibaijuka asema ng'o hatajiuzulu
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Tibaijuka:''Nilipokea pesa za Escrow''
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
10 years ago
Vijimambo12 Dec
Mgawo Escrow wamchanganya Prof. Tibaijuka
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tibaijuka-December11-2014.jpg)
Prof. Tibaijuka ambaye aligawiwa Sh. bilioni 1.6 katika fedha hizo, tangu juzi ulianza mkakati wa kutoa matangazo katika magazeti na jana uliitishwa mkutano wa waandishi wa...