Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tibaijuka speaks out on escrow

Tibaijuka speaks out on escrow  The Citizen Daily

The Citizen Daily

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Sacked Tanesco lawyer speaks out on escrow

>Former Tanesco lawyer Godwin Ngwilimi has opened up about his role in the investigation into the Tegeta Escrow account, saying “time will ultimately prove me truthful.”

 

10 years ago

TheCitizen

Ole Naiko speaks out on his share of escrow billions

Former Tanzania Investment Centre (TIC) executive director Emmanuel Ole Naiko yesterday said he was surprised to learn that he was among the beneficiaries of the Tegeta escrow billions.

 

10 years ago

BBCSwahili

Escrow:Tibaijuka asema ng'o hatajiuzulu

Professa Anne Tibaijuka amesema kuwa hayuko tayari kujiuzulu kutokana na kashfa ya ecsrow.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow yaendelea kumtesa Tibaijuka

Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka amemshambulia Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee pamoja na baadhi ya vyombo vya habari kwamba vinatumiwa na wabaya wake kumkashifu katika utendaji wake.

 

10 years ago

BBCSwahili

Tibaijuka:''Nilipokea pesa za Escrow''

Profesa. Anne Tibaijuka asema alipokea pesa za Escrow kwa niaba ya shule ya wasichana-hazikumfaidi yeye binafsi

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Tibaijuka atetewa mgawo wa escrow

Wakati Watanzania wakisubiri utekelezaji wa maazimio ya Bunge juu ya ufisadi wa Akaunti ya Tegeta Escrow, Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Barbro Johansson Girls’ Education Trust, imemtetea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kuwa hastahili kuwajibishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow yamfukuzisha kazi Profesa Tibaijuka

Rais wa Jamhuri wa Tanzania Jakaya Kikwete ametangaza kumfukuza kazi  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka baada ya vyombo vya Serikali kubaini na kijiridhisha kuwa amekiuka maadili ya utumishi wa Umma kwa kuingiziwa fedha kiasi cha Sh1.65bilioni kwenye akaunti yake binafsi.

 

10 years ago

Vijimambo

Mgawo Escrow wamchanganya Prof. Tibaijuka

Juhudi za Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, kujisafisha dhidi ya kashfa ya kunufaika na mgao wa zaidi ya Sh. bilioni 300 zilizochotwa katika akaunti ya Tegeta Escrow, zimechukua sura mpya na sasa anaitumia shule ya wasichana ya Barbro Johansso, bodi yake, wanafunzi na wazazi kujinasua.

Prof. Tibaijuka ambaye aligawiwa Sh. bilioni 1.6 katika fedha hizo, tangu juzi ulianza mkakati wa kutoa matangazo katika magazeti na jana uliitishwa mkutano wa waandishi wa...

 

10 years ago

Mtanzania

Tibaijuka afichua alivyotumia fedha za Escrow

chenge na TibaijukaPATRICIA KIMELEMETA NA AZIZA MASOUD
BARAZA la Maadili ya Utumishi wa Umma limesikiliza shauri la mgawo wa fedha za Escrow dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ambaye anadaiwa amekiuka Sheria ya Maadili ya Utumishi wa Umma namba 12 (e) (1) ya mwaka 1995.
Kutokana na madai hayo, waziri huyo wa zamani wa Serikali ya awamu ya nne, amefichua namna alivyotumia fedha za mgawo wa Escrow ikiwamo kutumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununua...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani