Escrow yamfukuzisha kazi Profesa Tibaijuka
Rais wa Jamhuri wa Tanzania Jakaya Kikwete ametangaza kumfukuza kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka baada ya vyombo vya Serikali kubaini na kijiridhisha kuwa amekiuka maadili ya utumishi wa Umma kwa kuingiziwa fedha kiasi cha Sh1.65bilioni kwenye akaunti yake binafsi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Profesa Tibaijuka atetewa mgawo wa escrow
11 years ago
Dewji Blog03 Jul
Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka asifu kazi inayofanywa na Shirika la Nyumba (NHC)
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akipokewa na Felix Maagi Mkurugenzi wa Fedha wa NHC wakati alipowasili kwenye Banda la Shirika hilo kwenye maonyesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa TANTRADE yanayoendelea kwenye viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kilwa jijini Dar es salaam leo.
Waziri wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Makazi Mh. Prof. Anna Tibaijuka akizungumza na baadhi ya viongozi wa shirika la nyumba nchini NHC baada ya kuwasili kwenye banda hilo...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Profesa Tibaijuka azomewa
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Moto wamwakia Profesa Tibaijuka
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Profesa Anna Tibaijuka ampoza Mrema
10 years ago
GPLPROFESA TIBAIJUKA: SINA SABABU YA KUJIUZULU
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Profesa Tibaijuka: sina hatia, siwezi kujiuzuru
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Wasomi vyuo vikuu wamfagilia Profesa Tibaijuka
NA JESSICA KILEO
UMOJA wa Vyuo Vikuu nchini, umemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, kupuuza watu wanaobeza makadirio ya wizara yake kwa mwaka 2014/2015 aliyowasilisha Bungeni hivi karibuni.
Mwakilishi wa umoja huo kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu John, Massoro Kivuga, alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dar es Salaam.
Kivuga alisema wamejifunza mambo mengi kutoka kwa waziri huyo shujaa na...
10 years ago
Mwananchi09 Jun
Profesa Tibaijuka azomewa kwao mbele ya Kinana