PROFESA TIBAIJUKA: SINA SABABU YA KUJIUZULU
Waziri Tibaijuka akizungumza na wanahabari. Waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano…
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi18 Dec
Profesa Tibaijuka: sina hatia, siwezi kujiuzuru
Siku Moja baada ya kujiuzuru kwa Mwanasheria mkuu Jaji Fredrick Werema, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kwa mara nyingine amejitokeza hadharani na kutoa msimamo.
10 years ago
VijimamboSABABU ZA KWANINI TIBAIJUKA ALIKATAA KUJIUZULU HIZI HAPA JITIRIRIKIE MWENYEWE
Taarifa Zinasema Prof Tibaijuka alifukuzwa kazi kutokana na ukosefu wa Maadili kama ambavyo Rais Jakaya Kikwete alivyodai,
Rais Kikwete alitangaza kumfukuza kazi Mbunge huyo wa Muleba Kusini (CCM)katika Mkutano wake wa Wazee wanaokaa mkoa wa Dar es Salaam uliofanyika...
10 years ago
CloudsFM18 Dec
TIBAIJUKA AGOMA KUJIUZULU
“Leo natuhumiwa na kila mtu kwamba nimepewa pesa na Rugimalira kwamba ni za kifisadi,Jamani tuwe wa kweli kuhusu madai haya maana...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-DQzFsIcQAW4/VJKukbAVbiI/AAAAAAAAU_0/VHX_M6QInfM/s72-c/1.jpg)
TIBAIJUKA ASEMA HAWEZI KUJIUZULU
![](http://2.bp.blogspot.com/-DQzFsIcQAW4/VJKukbAVbiI/AAAAAAAAU_0/VHX_M6QInfM/s1600/1.jpg)
.
Dar es Salaam,
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi,Profesa Anna Tibaijuka,amekutana na waandishi wa habari na kuzungumzia sakata la Akaunti ya Escrow,huku akisema haoni sababu ya yeye kujiuzulu kutokana na kudaiwa kuhusika katika sakata hilo.
Alisema hawezi kufikia uamuzi wa kujiuzulu kwa kuwa hana kosa kwani...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iJVROLF4NIt2LYdGplmUpHHy3bE4HI*uL3S3P4WJ*dF8D4tPnGDmCqyaGtIGl710H5Rbj3YlKr7GCjEFTBM9FbgALVHTXzFS/PROFTIBAIJUKA.jpg)
PROF. TIBAIJUKA AKATAA KUJIUZULU
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Kajumulo Tibaijuka, akiongea na wanahabari hivi punde ndani ya Hyatt Regency Hotel Dar es Salaam amesema haoni sababu ya kujiuzulu kutokana na sakata la akaunti ya Escrow. Aongeza kuwa watu wanaona suala la kujiuzulu kama fasheni ila yeye hayupo katika fasheni hiyo.
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Aveva: Sina mpango wa kujiuzulu Simba
Wakati kuna madai ya mpasuko wa uongozi, ukata mkubwa na madeni kwenye klabu ya Simba, rais wa klabu hiyo Evance Aveva amesema ajiuzulu, wanaotaka afanye hivyo wafuate taratibu.
10 years ago
GPL19 Dec
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lppFjGftRJ0/VJKyEAT_eqI/AAAAAAAG4GU/dLm7o4eBd0M/s72-c/DSC_3645.jpg)
Siwezi kujiuzulu kwa fedha ya Tegeta Escrow - Prof. Tibaijuka
NA CHALILA KIBUDA WA GLOBU YA JAMII.
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.
Akizungumza na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule za Taasisi ya Johansson Girls Education Trust.
Alisema fedha hiyo aliyoipata ni ni bil 1.66 ambazo zilitoka katika kampuni...
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.
Akizungumza na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule za Taasisi ya Johansson Girls Education Trust.
Alisema fedha hiyo aliyoipata ni ni bil 1.66 ambazo zilitoka katika kampuni...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Profesa Tibaijuka azomewa
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka alipata wakati mgumu juzi jioni baada ya kuzomewa na wananchi waliokerwa na kitendo chake cha kubadilika na kumruhusu mwekezaji kuendelea kumiliki eneo la ardhi katika Shamba la Kapunga, Wilaya ya Mbarali, Mbeya.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania