Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Profesa Tibaijuka: sina hatia, siwezi kujiuzuru

Siku Moja baada ya kujiuzuru kwa Mwanasheria mkuu Jaji Fredrick Werema, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kwa mara nyingine amejitokeza hadharani na kutoa msimamo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

PROFESA TIBAIJUKA: SINA SABABU YA KUJIUZULU

Waziri Tibaijuka akizungumza na wanahabari. Waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano…

 

11 years ago

Tanzania Daima

Prof. Tibaijuka: Siwezi kuibeza Tume ya Warioba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Anne Tibaijuka, ametofautiana na wajumbe wenzake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa madai kuwa kamwe hawezi kuibeza rasimu ya Jaji mstaafu Joseph Warioba....

 

10 years ago

Michuzi

Siwezi kujiuzulu kwa fedha ya Tegeta Escrow - Prof. Tibaijuka

NA CHALILA KIBUDA WA GLOBU YA JAMII.

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi  ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.
Akizungumza  na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule  za Taasisi ya  Johansson  Girls Education Trust.

Alisema fedha hiyo aliyoipata ni ni bil 1.66 ambazo zilitoka katika kampuni...

 

11 years ago

Mwananchi

Profesa Tibaijuka azomewa

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka alipata wakati mgumu juzi jioni baada ya kuzomewa na wananchi waliokerwa na kitendo chake cha kubadilika na kumruhusu mwekezaji kuendelea kumiliki eneo la ardhi katika Shamba la Kapunga, Wilaya ya Mbarali, Mbeya.

 

11 years ago

Mwananchi

Moto wamwakia Profesa Tibaijuka

 Viongozi wa vyama vya siasa na wanaharakati wa masuala ya ardhi, wamesema kuzomewa kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ni matokeo ya makosa yanayowafanywa na Serikali kuwapendelea wawekezaji wa nje na kuwapuuza wananchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Tibaijuka atetewa mgawo wa escrow

Wakati Watanzania wakisubiri utekelezaji wa maazimio ya Bunge juu ya ufisadi wa Akaunti ya Tegeta Escrow, Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Barbro Johansson Girls’ Education Trust, imemtetea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kuwa hastahili kuwajibishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow yamfukuzisha kazi Profesa Tibaijuka

Rais wa Jamhuri wa Tanzania Jakaya Kikwete ametangaza kumfukuza kazi  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka baada ya vyombo vya Serikali kubaini na kijiridhisha kuwa amekiuka maadili ya utumishi wa Umma kwa kuingiziwa fedha kiasi cha Sh1.65bilioni kwenye akaunti yake binafsi.

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Anna Tibaijuka ampoza Mrema

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, juzi alifanya ziara ya kushtukiza katika kiwanda kinachomilikiwa na Kampuni ya Kilimanjaro Manufacturers Ltd.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Wasomi vyuo vikuu wamfagilia Profesa Tibaijuka


NA JESSICA KILEO
UMOJA wa Vyuo Vikuu nchini, umemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, kupuuza watu wanaobeza makadirio ya wizara yake kwa mwaka 2014/2015 aliyowasilisha Bungeni hivi karibuni.
Mwakilishi wa umoja huo kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu John, Massoro Kivuga, alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dar es Salaam.
Kivuga alisema wamejifunza mambo mengi kutoka kwa waziri huyo shujaa na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani