Profesa Tibaijuka: sina hatia, siwezi kujiuzuru
Siku Moja baada ya kujiuzuru kwa Mwanasheria mkuu Jaji Fredrick Werema, Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kwa mara nyingine amejitokeza hadharani na kutoa msimamo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLPROFESA TIBAIJUKA: SINA SABABU YA KUJIUZULU
Waziri Tibaijuka akizungumza na wanahabari. Waandishi wa habari wakiwa kwenye mkutano…
11 years ago
Tanzania Daima16 Apr
Prof. Tibaijuka: Siwezi kuibeza Tume ya Warioba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Profesa Anne Tibaijuka, ametofautiana na wajumbe wenzake wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwa madai kuwa kamwe hawezi kuibeza rasimu ya Jaji mstaafu Joseph Warioba....
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-lppFjGftRJ0/VJKyEAT_eqI/AAAAAAAG4GU/dLm7o4eBd0M/s72-c/DSC_3645.jpg)
Siwezi kujiuzulu kwa fedha ya Tegeta Escrow - Prof. Tibaijuka
NA CHALILA KIBUDA WA GLOBU YA JAMII.
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.
Akizungumza na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule za Taasisi ya Johansson Girls Education Trust.
Alisema fedha hiyo aliyoipata ni ni bil 1.66 ambazo zilitoka katika kampuni...
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.
Akizungumza na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule za Taasisi ya Johansson Girls Education Trust.
Alisema fedha hiyo aliyoipata ni ni bil 1.66 ambazo zilitoka katika kampuni...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Profesa Tibaijuka azomewa
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka alipata wakati mgumu juzi jioni baada ya kuzomewa na wananchi waliokerwa na kitendo chake cha kubadilika na kumruhusu mwekezaji kuendelea kumiliki eneo la ardhi katika Shamba la Kapunga, Wilaya ya Mbarali, Mbeya.
11 years ago
Mwananchi10 Jan
Moto wamwakia Profesa Tibaijuka
 Viongozi wa vyama vya siasa na wanaharakati wa masuala ya ardhi, wamesema kuzomewa kwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka ni matokeo ya makosa yanayowafanywa na Serikali kuwapendelea wawekezaji wa nje na kuwapuuza wananchi.
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Profesa Tibaijuka atetewa mgawo wa escrow
Wakati Watanzania wakisubiri utekelezaji wa maazimio ya Bunge juu ya ufisadi wa Akaunti ya Tegeta Escrow, Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Barbro Johansson Girls’ Education Trust, imemtetea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kuwa hastahili kuwajibishwa.
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Escrow yamfukuzisha kazi Profesa Tibaijuka
Rais wa Jamhuri wa Tanzania Jakaya Kikwete ametangaza kumfukuza kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka baada ya vyombo vya Serikali kubaini na kijiridhisha kuwa amekiuka maadili ya utumishi wa Umma kwa kuingiziwa fedha kiasi cha Sh1.65bilioni kwenye akaunti yake binafsi.
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Profesa Anna Tibaijuka ampoza Mrema
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, juzi alifanya ziara ya kushtukiza katika kiwanda kinachomilikiwa na Kampuni ya Kilimanjaro Manufacturers Ltd.
11 years ago
Uhuru Newspaper10 Jun
Wasomi vyuo vikuu wamfagilia Profesa Tibaijuka
NA JESSICA KILEO
UMOJA wa Vyuo Vikuu nchini, umemwomba Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, kupuuza watu wanaobeza makadirio ya wizara yake kwa mwaka 2014/2015 aliyowasilisha Bungeni hivi karibuni.
Mwakilishi wa umoja huo kutoka Chuo Kikuu cha Mtakatifu John, Massoro Kivuga, alisema hayo jana alipozungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dar es Salaam.
Kivuga alisema wamejifunza mambo mengi kutoka kwa waziri huyo shujaa na...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania