Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tibaijuka:''Nilipokea pesa za Escrow''

Profesa. Anne Tibaijuka asema alipokea pesa za Escrow kwa niaba ya shule ya wasichana-hazikumfaidi yeye binafsi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

The Citizen Daily

Tibaijuka speaks out on escrow

Tibaijuka speaks out on escrow  The Citizen Daily

 

10 years ago

BBCSwahili

Escrow:Tibaijuka asema ng'o hatajiuzulu

Professa Anne Tibaijuka amesema kuwa hayuko tayari kujiuzulu kutokana na kashfa ya ecsrow.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow yaendelea kumtesa Tibaijuka

Mbunge wa Muleba Kusini (CCM), Profesa Anna Tibaijuka amemshambulia Mbunge wa Kawe (Chadema), Halima Mdee pamoja na baadhi ya vyombo vya habari kwamba vinatumiwa na wabaya wake kumkashifu katika utendaji wake.

 

10 years ago

Mwananchi

Escrow yamfukuzisha kazi Profesa Tibaijuka

Rais wa Jamhuri wa Tanzania Jakaya Kikwete ametangaza kumfukuza kazi  Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka baada ya vyombo vya Serikali kubaini na kijiridhisha kuwa amekiuka maadili ya utumishi wa Umma kwa kuingiziwa fedha kiasi cha Sh1.65bilioni kwenye akaunti yake binafsi.

 

10 years ago

Mtanzania

Tibaijuka afichua alivyotumia fedha za Escrow

chenge na TibaijukaPATRICIA KIMELEMETA NA AZIZA MASOUD
BARAZA la Maadili ya Utumishi wa Umma limesikiliza shauri la mgawo wa fedha za Escrow dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ambaye anadaiwa amekiuka Sheria ya Maadili ya Utumishi wa Umma namba 12 (e) (1) ya mwaka 1995.
Kutokana na madai hayo, waziri huyo wa zamani wa Serikali ya awamu ya nne, amefichua namna alivyotumia fedha za mgawo wa Escrow ikiwamo kutumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununua...

 

10 years ago

Vijimambo

Mgawo Escrow wamchanganya Prof. Tibaijuka

Juhudi za Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Prof. Anna Tibaijuka, kujisafisha dhidi ya kashfa ya kunufaika na mgao wa zaidi ya Sh. bilioni 300 zilizochotwa katika akaunti ya Tegeta Escrow, zimechukua sura mpya na sasa anaitumia shule ya wasichana ya Barbro Johansso, bodi yake, wanafunzi na wazazi kujinasua.

Prof. Tibaijuka ambaye aligawiwa Sh. bilioni 1.6 katika fedha hizo, tangu juzi ulianza mkakati wa kutoa matangazo katika magazeti na jana uliitishwa mkutano wa waandishi wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Profesa Tibaijuka atetewa mgawo wa escrow

Wakati Watanzania wakisubiri utekelezaji wa maazimio ya Bunge juu ya ufisadi wa Akaunti ya Tegeta Escrow, Bodi ya Wadhamini ya Shirika la Barbro Johansson Girls’ Education Trust, imemtetea Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka kuwa hastahili kuwajibishwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgawo wa escrow wazidi kumtesa Tibaijuka

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka na Mbunge wa Kigoma Kusini (NCCR-Mageuzi), David Kafulila jana waliendeleza mvutano kuhusu mgawo uliofanywa na Mkurugenzi wa VIP Engeering, James Rugemalira kwenda kwa watu mbalimbali.

 

10 years ago

Vijimambo

Tibaijuka, Chenge watumiwa ankara kodi ya Escrow

Naibu waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba
Serikali imesema imeshachukua hatua za kulipwa kodi kutoka kwa watu walionufaika na mgawo wa fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).

Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema wizara yake imeshawaandikia ankara za malipo ya kodi wadaiwa wote waliopokea mgawo huo.

Nchemba, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), alisema serikali imewapatia siku 30 watu hao ili...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani