Tibaijuka:''Nilipokea pesa za Escrow''
Profesa. Anne Tibaijuka asema alipokea pesa za Escrow kwa niaba ya shule ya wasichana-hazikumfaidi yeye binafsi
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
The Citizen Daily04 Apr
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Escrow:Tibaijuka asema ng'o hatajiuzulu
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Escrow yaendelea kumtesa Tibaijuka
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Escrow yamfukuzisha kazi Profesa Tibaijuka
10 years ago
Mtanzania27 Feb
Tibaijuka afichua alivyotumia fedha za Escrow
PATRICIA KIMELEMETA NA AZIZA MASOUD
BARAZA la Maadili ya Utumishi wa Umma limesikiliza shauri la mgawo wa fedha za Escrow dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ambaye anadaiwa amekiuka Sheria ya Maadili ya Utumishi wa Umma namba 12 (e) (1) ya mwaka 1995.
Kutokana na madai hayo, waziri huyo wa zamani wa Serikali ya awamu ya nne, amefichua namna alivyotumia fedha za mgawo wa Escrow ikiwamo kutumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununua...
10 years ago
Vijimambo12 Dec
Mgawo Escrow wamchanganya Prof. Tibaijuka
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Tibaijuka-December11-2014.jpg)
Prof. Tibaijuka ambaye aligawiwa Sh. bilioni 1.6 katika fedha hizo, tangu juzi ulianza mkakati wa kutoa matangazo katika magazeti na jana uliitishwa mkutano wa waandishi wa...
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Profesa Tibaijuka atetewa mgawo wa escrow
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mgawo wa escrow wazidi kumtesa Tibaijuka
10 years ago
Vijimambo08 Jan
Tibaijuka, Chenge watumiwa ankara kodi ya Escrow
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Nchemba-08Jan2014.jpg)
Serikali imesema imeshachukua hatua za kulipwa kodi kutoka kwa watu walionufaika na mgawo wa fedha zilizochotwa katika Akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa katika Benki Kuu ya Tanzania (BoT).
Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba, amesema wizara yake imeshawaandikia ankara za malipo ya kodi wadaiwa wote waliopokea mgawo huo.
Nchemba, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu Bara wa Chama Cha Mapinduzi(CCM), alisema serikali imewapatia siku 30 watu hao ili...