Tibaijuka afichua alivyotumia fedha za Escrow
PATRICIA KIMELEMETA NA AZIZA MASOUD
BARAZA la Maadili ya Utumishi wa Umma limesikiliza shauri la mgawo wa fedha za Escrow dhidi ya aliyekuwa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, ambaye anadaiwa amekiuka Sheria ya Maadili ya Utumishi wa Umma namba 12 (e) (1) ya mwaka 1995.
Kutokana na madai hayo, waziri huyo wa zamani wa Serikali ya awamu ya nne, amefichua namna alivyotumia fedha za mgawo wa Escrow ikiwamo kutumia Sh milioni 10 kwa ajili ya kununua...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSiwezi kujiuzulu kwa fedha ya Tegeta Escrow - Prof. Tibaijuka
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Makazi,Profesa Anna Tibajuka amesema kuwa hawezi kujiuzulu katika nafasi ya uwaziri kutokana fedha ya Tegeta ESCROW.
Akizungumza na Waandishi na Habari mapema leo jijini Dar es Salaam katika ukumbi wa Hoteli ya Hayyat Regency,Anna alisema kuwa udalali wake fedha hiyo ni kwa ajili ya wanafunzi katika shule za Taasisi ya Johansson Girls Education Trust.
Alisema fedha hiyo aliyoipata ni ni bil 1.66 ambazo zilitoka katika kampuni...
5 years ago
The Citizen Daily04 Apr
10 years ago
BBCSwahili28 Nov
Tibaijuka:''Nilipokea pesa za Escrow''
10 years ago
BBCSwahili19 Dec
Escrow:Tibaijuka asema ng'o hatajiuzulu
10 years ago
Mwananchi30 Jun
Escrow yaendelea kumtesa Tibaijuka
10 years ago
Mwananchi09 Dec
Profesa Tibaijuka atetewa mgawo wa escrow
10 years ago
Vijimambo12 Dec
Mgawo Escrow wamchanganya Prof. Tibaijuka
Prof. Tibaijuka ambaye aligawiwa Sh. bilioni 1.6 katika fedha hizo, tangu juzi ulianza mkakati wa kutoa matangazo katika magazeti na jana uliitishwa mkutano wa waandishi wa...
10 years ago
Mwananchi22 Dec
Escrow yamfukuzisha kazi Profesa Tibaijuka
10 years ago
Mwananchi29 Nov
Mgawo wa escrow wazidi kumtesa Tibaijuka