Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uchaguzi Marekani 2020: Biden arejea kwa ushindi

Kampeni za Joe Biden zimerejea kwa ushindi lakini inawezekana Bernie Sanders ndiye atakayechukua kinyang'anyiro cha ushindi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani :Joe Biden anaweza kumuondoa Trump madarakani?

Joe Biden aliyekuwa makamu rais wa Marekani sasa yupo katikati ya Donald Trump na miaka minne ijayo katika Ikulu ya Marekani.

 

5 years ago

CCM Blog

MTATURU ASEMA UCHAGUZI WA 2020 VUMBI LA USHINDI KWA CCM LITATIMKA.

MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu (pichani) amesema katika uchaguzi mkuu wa Octoba mwaka huu vumbi la ushindi Kwa Chama Cha Mapinduzi(CCM) litatimka kutokana na utendaji mzuri wa Rais Dkt John Magufuli.Mtaturu amesema hayo Mei 15 bungeni jijini Dodoma wakati akichangia bajeti ya wizara ya Fedha na mipango.“Ukiangalia vyama vingine ni kama vikundi vya kutafuta maslahi yao binafsi,lakini CCM tangu Uhuru tumeendelea kuongoza nchi hii na kwa hakika tutaona vumbi litakavyotimka katika...

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani 2020: Facebook yafuta maatangazo ya kampeni ya Trump ‘kwa kuchochea chuki’

Matangazo hayo ni sehemu ya kampeni ya Trump kwa uchaguzi wa Novemba mwaka huu.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi Marekani 2020: Trump adaiwa kuomba usaidizi wa rais Xi Jinping kushinda uchaguzi ujao

Msaidizi wa zamani wa Trump John Bolton aandika kitabu kinachomtuhumu Trump katika masuala mbalimbali ya kisera na utendaji.

 

5 years ago

BBCSwahili

Uchaguzi wa Marekani 2020: Walinzi wa rais wajitenga baada ya mkutano wa Trump

Walinzi kadhaa wa rais Donald Trump wametakiwa kujitenga baada ya wawili kati yao waliokuwa katika mkutano wa kisiasa wa Donald Trump huko Tulsa Jumapili kupata maambukizi ya virusi vya corona.

 

5 years ago

Michuzi

Tume ya Uchaguzi imekutana na vyama vya siasa kujadili na kupitisha kanuni na maadili kwa uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani 2020



Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu
Semistocles Kaijage, akizungumza katika Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge na Madiwani mwaka 2020, Mkutano ambao umefanyika loe 27, Mei 2020, JNICC Jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Semistocles Kaijage, akifafanua hoja zilizotolewa na Washiriki wa Mkutano wa NEC na Vyama vya Siasa kujadili na kupitisha Kanuni na...

 

11 years ago

Michuzi

KAMPENI ZA UCHAGUZI JIMBO LA KALENGA,CCM YAJIDHATITI KWA USHINDI WA KISHINDO

Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM),Wilayani Mufindi,Ndugu Miraji Mtaturu akimnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kalenga kwa tiketi ya chama hicho,Ndugu Godfrey Mgimwa mapema leo jioni mbele ya wanakijji cha Mfukulembe,(hawapo pichani),kata ya Ifunda,Iringa vijijini mkoani humo. Mgombea Ubunge Jimbo la Kaleta (CCM),Ndugu Godfrey Mgimwa akiwahutubia wakazi wa Kijiji cha Mabikimitali,kata ya Ifunda katika jimbo hilo,mkoani Iringa leo jioni.Godfrey amewaomba wananchi hao kumuamini na kumpa...

 

10 years ago

Mwananchi

Ushindi wa upinzania nchini Nigeria kwenye Uchaguzi wa Majimbo na mafunzo kwa Tanzania

Ndugu wasomaji wangu sikuweza kuwa nanyi kwa takribani wiki sita kutokana na sababu za kiufundi kwani gazeti lilikuwa na masuala muhimu ya uchaguzi ambayo ilikuwa lazima wayachapishe

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani