Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Korea Kazkazini yaionya Marekani

Korea kazkazini imeonya kuwa vikwazo vipya vilivyowekwa na Marekani dhidi yake ni kitendo cha uadui ambacho hakitafanikiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Korea kazkazini sasa yaionya Marekani

Korea kazkazini sasa inataka uchunguzi wa pamoja na Marekani kufanywa kuhusu wizi wa mtandaoni

 

11 years ago

BBCSwahili

Obama aionya korea kazkazini

Rais Barrack Obama wa Marekani asema kuwa Korea Kazkazini imekubali kuchagua sera ya mapambano dhidi ya jamii ya kimataifa

 

10 years ago

Vijimambo

MAREKANI YAIONYA SUDAN YA KUSINI

Marekani yaonya kuwa itachukua hatua kali dhidi ya pande zoteMarekani imeonya kuwa itachukua hatua dhidi ya pande mbili zinazopigana nchini Sudan Kusini iwapo hazitaafikia makubaliano ya amani kufikia alhamisi wiki hii.

Waziri wa masuala ya nchi za kigeni wa Marekani John Kerry ameonya kuwa mapigano ni lazima yamalizike mara moja.

Ameyasema hayo huku Rais Salva Kiir akiwasili jijini Addis Ababa kwa mazungumzo ya moja kwa moja na kiongozi wa Waasi Dkt Riek Machar, baada ya kukosa kuhudhuria...

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yaionya Urusi kuhusu Ukraine.

Marekani imeonyesha wasiwasi wake kuhusu kile ilichokitaja kama hatua ya Urusi kuchochea ghasia mashariki mwa Ukrain.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: China yaionya Marekani dhidi ya kusababisha vita baridi

Waziri wa masuala ya kigeni nchini China ameishutumu Marekani kwa kueneza dhana potofu na uongo kuhusu virusi vya corona hatua inayozua hofu kati ya mataifa hayo mawili.

 

10 years ago

BBCSwahili

Marekani yaitupia lawama Korea kaskazini

Marekani inatarajia kuirudisha Korea kaskazini katika orodha ya nchi zinazofadhili ugaidi.

 

10 years ago

GPL

BALOZI WA MAREKANI ASHAMBULIWA KWA KISU KOREA KUSINI

Muonekano wa Balozi wa Marekani nchini Korea Kusini, Mark Lippert baada ya kuchomwa kisu Mark Lippert (katikati) akiwa anajifuta damu.…

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani