Sudan Kusini:Mauaji ya kikabila Bentiu
Umoja wa Mataifa unasema kuwa vikosi vinavyopinga serikali nchini Sudan Kusini viliwaua mamia ya watu kwa misingi ya ukabila vilipouteka mji wa Bentiu wiki jana.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
MSF:Kambi ya Bentiu Sudan Kusini haifai
MSF yasema takriban wakimbizi elfu arubaini wanaishi katika mazingira mabaya ndani ya kambi ya umoja wa mataifa Sudan Kusini.
11 years ago
BBCSwahili24 Dec
Mauaji makubwa yaripotiwa Sudan Kusini
Mauaji makubwa ya kikabila yameripotiwa kutokea nchini Sudan Kusini katika wiki moja ya mapigano.
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Marekani yalaani mauaji Sudan Kusini
Ikulu ya White House imeelezea kushangazwa na mauaji ya kinyama ya mamia ya raia Sudan Kusini na kutoa wito wa kusitishwa kwa vurugu zinazoendelea nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Waasi wa Sudan Kusini wakana mauaji
Waasi nchini Sudan Kusini wamekanusha madai yaliyotolewa na Umoja wa Mataifa kuwa waliwaua raia mjini Bentiu kwa misingi ya ukabila.
11 years ago
Mwananchi21 Dec
Mauaji Sudan Kusini UN wakaa kikao cha dharura
>Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limefanya kikao cha dharura kuhusu Sudan Kusini, baada ya wanajeshi wa Umoja huo kuuawa katika ghasi nchini humo.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74634000/jpg/_74634643_afp.jpg)
S Sudan forces in Bentiu offensive
Government forces in South Sudan advance on the oil town of Bentiu, which was captured by rebels last month.
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Wanajeshi wa S.Kusini wakomboa Bentiu
Taarifa kutoka Sudan Kusini zasema kuwa wanajeshi wa taifa hilo wameukomboa mji wa Bentiu kutoka kwa waasi watiifu kwa Riek Machar.
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Jeshi S.Kusini mbioni kudhibiti Bentiu
Jeshi la Sudan Kusini linasema kuwa linakaribia kuutwaa mji wa Bentiu ambao mwezi jana ulitekwa na waasi wanaomuunga mkono aliyekuwa makamu wa Rais Riek Machar.
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/74636000/jpg/_74636045_74636037.jpg)
VIDEO: South Sudan troops seize Bentiu
Government forces appear to have taken control of the rebel-held town of Bentiu after opening fire on the enemy positions.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania