Wanajeshi wa S.Kusini wakomboa Bentiu
Taarifa kutoka Sudan Kusini zasema kuwa wanajeshi wa taifa hilo wameukomboa mji wa Bentiu kutoka kwa waasi watiifu kwa Riek Machar.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
BBCSwahili23 Oct
Wanajeshi wakomboa mateka 70 kutoka kwa IS
Wanajeshi wa Marekani wakishirikiana na wanajeshi wa Iraq wamefanikiwa kuwakomboa mateka 70 waliokuwa wakizuiliwa na wapiganaji wa IS nchini Iraq.
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Jeshi S.Kusini mbioni kudhibiti Bentiu
Jeshi la Sudan Kusini linasema kuwa linakaribia kuutwaa mji wa Bentiu ambao mwezi jana ulitekwa na waasi wanaomuunga mkono aliyekuwa makamu wa Rais Riek Machar.
11 years ago
BBCSwahili21 Apr
Sudan Kusini:Mauaji ya kikabila Bentiu
Umoja wa Mataifa unasema kuwa vikosi vinavyopinga serikali nchini Sudan Kusini viliwaua mamia ya watu kwa misingi ya ukabila vilipouteka mji wa Bentiu wiki jana.
11 years ago
BBCSwahili09 Aug
MSF:Kambi ya Bentiu Sudan Kusini haifai
MSF yasema takriban wakimbizi elfu arubaini wanaishi katika mazingira mabaya ndani ya kambi ya umoja wa mataifa Sudan Kusini.
11 years ago
BBCSwahili17 Dec
Wanajeshi 66 wameuawa Sudan Kusini
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili.
11 years ago
BBCSwahili22 Jan
IGAD kupeleka wanajeshi S. Kusini
Mataifa ya Afrika Mashariki yameidhinisha kupelekwa kikosi cha wanajeshi 5,500 nchini Sudan Kusini ili kumaliza mgogoro wa kisiasa ambao umekuwa ukiendelea kwa wiki kadhaa sasa.
11 years ago
BBCSwahili14 Jan
Kitendawili cha wanajeshi wa UG S.Kusini
Wabunge nchini UG leo wanajadili hatua ya serikali kuwapeleka bila idhini ya bunge wanajeshi wa taifa hilo nchini Sudan Kusini.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
WANAJESHI 66 WAUAWA SUDAN KUSINI
Afisaa mkuu msimamizi wa hospitali ya kijeshi ya Juba, Brigedia Gen Dr Ajak Bullen,ameambia shirika la redio la Miraya mjini Juba kuwa wanajeshi 66 wameuawa katika mapigano ya siku mbili. Watafanyiwa mazishi ya pamoja.Wakati huohuo afisaa mmoja wa serikali amesema kuwa watu 26 wameuawa katika mapigano ya siku mbili mjini Juba.Zaidi ya watu miamoja wamejeruhiwa huku maafisa wakuu wakijaribu kudhibiti mji huo kufuatia kile ambacho...
10 years ago
BBCSwahili29 Oct
Watoto wasajiliwa wanajeshi Sudan Kusini
Ripoti zinasema kuwa takriban watoto elfu kumi na moja wamesajiliwa jeshini nchini Sudan Kusini
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania