Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jeshi S.Kusini mbioni kudhibiti Bentiu

Jeshi la Sudan Kusini linasema kuwa linakaribia kuutwaa mji wa Bentiu ambao mwezi jana ulitekwa na waasi wanaomuunga mkono aliyekuwa makamu wa Rais Riek Machar.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa S.Kusini wakomboa Bentiu

Taarifa kutoka Sudan Kusini zasema kuwa wanajeshi wa taifa hilo wameukomboa mji wa Bentiu kutoka kwa waasi watiifu kwa Riek Machar.

 

11 years ago

BBCSwahili

Sudan Kusini:Mauaji ya kikabila Bentiu

Umoja wa Mataifa unasema kuwa vikosi vinavyopinga serikali nchini Sudan Kusini viliwaua mamia ya watu kwa misingi ya ukabila vilipouteka mji wa Bentiu wiki jana.

 

11 years ago

BBCSwahili

MSF:Kambi ya Bentiu Sudan Kusini haifai

MSF yasema takriban wakimbizi elfu arubaini wanaishi katika mazingira mabaya ndani ya kambi ya umoja wa mataifa Sudan Kusini.

 

9 years ago

StarTV

Jeshi la polisi laombwa kuboresha mikakati Ili Kudhibiti Ajali Za Barabarani  

 

Siku moja baada ya ajali ya basi kugongana na Lori la mafuta na kusababisha vifo vya watu 12 papo hapo na kujeruhi wengine 18 mkoani Singida, baadhi ya wanachi wameliomba Jeshi la Polisi kitengo cha usalama barabarani, kuangalia upya mikakati yake kudhibiti tatizo hilo nchini.

Ajali hiyo ilitokea jana Jumanne majira ya saa 1:30 usiku katika eneo la Kizonzo- Shelui Wilaya ya Iramba barabara kuu ya Singida-Mwanza na kulihusisha basi la Kampuni ya TAKBIIRY lenye namba za usajili T. 230 BRJ...

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la UG vitani na waasi S.Kusini

Uganda imekiri kupambana na waasi hao wanaoongozwa na makamu wa rais wa zamani Riek Machar tangu mwanzoni mwa wiki hii

 

11 years ago

BBCSwahili

Jeshi la S.Kusini lakomomba Malakal

Jeshi la Sudan Kusini linasema kuwa limeukomboa mji muhimu wa Malakal kutoka kwa waasi ingawa waasi wamekanusha taarifa hizo

 

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi waasi jeshi Sudan Kusini

Kinara wa serikali Tulklio Odongi aliambia bunge siku ya Jumatatu kuwa hadi 70% ya wanajeshi wa serikali wanageuka na kuwa watiifu kwa Riek Machar pamoja na kuasi jeshi.

 

10 years ago

BBCSwahili

UN:Jeshi la Sudan Kusini 'lilibaka na kuua'

Umoja wa mataifa unasema kuwa Wajeshi wa Sudan Kusini wamewabaka kwa zamu wasichana wengi kisha wakawachoma wakiwa majumbani mwao.

 

10 years ago

BBCSwahili

Jeshi la China laingia Sudan Kusini

Uchina imesema kuwa kikosi chake kwa kwanza maalum cha kijeshi kilichojumuisha wanajeshi wa UN kimeingia nchini Sudan kusini

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani