Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wanajeshi wakomboa mateka 70 kutoka kwa IS

Wanajeshi wa Marekani wakishirikiana na wanajeshi wa Iraq wamefanikiwa kuwakomboa mateka 70 waliokuwa wakizuiliwa na wapiganaji wa IS nchini Iraq.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wa S.Kusini wakomboa Bentiu

Taarifa kutoka Sudan Kusini zasema kuwa wanajeshi wa taifa hilo wameukomboa mji wa Bentiu kutoka kwa waasi watiifu kwa Riek Machar.

 

10 years ago

Michuzi

Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana wakomboa Kikundi cha Iringa Promise Keepers

Afisa Maendeleo ya Vijana Wilaya ya Chamwino Bw. Denis Vagela (kushoto) akizungumza na Vijana wa kikundi cha Wajasiriamali wa Wilaya ya Chamwino wanaojishughulisha na utengenezaji wa Sabuni za maji, Batiki na ufundi walipotembelewa kwa ajili ya kuangalia mradi wao leo Mkoani Dodoma. Katikati ni Mwezeshaji kutoka Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bibi Ester Riwa, na aliyekaa ni Afisa Vijana Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Bi. Amina Sanga. Wakwanza mbele ni...

 

9 years ago

MillardAyo

Licha ya kuwadhibiti Simba, hiki ndio kichapo cha Jamuhuri walichokipata kutoka kwa wanajeshi …

Michuano ya Kombe la Mapinduzi January 6 iliendelea kama kawaida kwa mujibu wa ratiba January 6 itachezwa michezo miwili ya Kundi A. Mchezo mmoja tayari umemamlizika kati ya JKU dhidi ya Jamuhuri kutoka Pemba. Huu ulikuwa mchezo ambao JKU ilifanikiwa kupata ushindi wa jumla ya goli 3-0. Jamuhuri ambao walifanikiwa kuidhibiti Simba katika mchezo wa […]

The post Licha ya kuwadhibiti Simba, hiki ndio kichapo cha Jamuhuri walichokipata kutoka kwa wanajeshi … appeared first on...

 

5 years ago

CCM Blog

WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI

ROME, Italia
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki  dunia kutokana na ugonjwa wa Corona  katika kipindi cha saa 24.

Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.

Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama:Mateka waliuawa kwa bahati mbaya

Marekani imetangaza kuwa watu wawili waliokuwa wamezuiliwa na wapiganaji katika nyumba moja nchini Afghanistan, waliuwawa kimakosa na majeshi ya Marekani

 

10 years ago

BBCSwahili

Wakurdi Iraq wakomboa mpaka Syria

Wanajeshi wa kikurdi Iraq wameripotiwa kukomboa tena mpaka muhimu kuingia nchini Syria kutoka kundi la dola la kiislam Islamic state

 

10 years ago

Vijimambo

WANAJESHI KUTOKA CHUO CHA KIJESHI CHA KENYA WATEMBELEA TBL

Mpishi Mkuu wa Bia wa Kiwanda wa cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam, Kelvin Nkya akitoa maelezo ya jinsi bia inavyochachuliwa wakati wanajeshi kutoka Chuo cha Jeshi Kenya walipotembelea kiwanda hicho jana, wakiongozwa na maofisa wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ)Wanajeshi kutoka Chuo cha Jeshi Kenya, wakipata maelezo kutoka kwa Mpishi Mkuu wa Bia wa Kiwanda wa cha Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Dar es Salaam, Kelvin Nkya (kushoto), kuhusu mitungi inayotumika kupikia bia ...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ongwen akabidhiwa kwa wanajeshi wa UG

Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda, aliyejisalisha wiki jana, Dominic Ongwen , amekabidhiwa kwa wanajeshi wa Uganda walio katika Jamuhuri ya Afrika ya kati.

 

9 years ago

Habarileo

Wanajeshi 7 wafa kwa ajali

VIJANA Saba wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kikosi cha 821 Bulombora wilayani Uvinza mkoani Kigoma, wamefariki dunia na wengine 22 wamejeruhiwa wengi wao vibaya baada ya gari walilokuwa wakiafiria kupinduka.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani