Wanajeshi wakomboa mateka 70 kutoka kwa IS
Wanajeshi wa Marekani wakishirikiana na wanajeshi wa Iraq wamefanikiwa kuwakomboa mateka 70 waliokuwa wakizuiliwa na wapiganaji wa IS nchini Iraq.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili10 Jan
Wanajeshi wa S.Kusini wakomboa Bentiu
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-4n-G4x4OQvw/VLfY5b4YCjI/AAAAAAAG9mA/RvMBgpS7PEE/s72-c/Pix%2B1.jpg)
Mkopo kutoka Mfuko wa Maendeleo ya Vijana wakomboa Kikundi cha Iringa Promise Keepers
![](http://1.bp.blogspot.com/-4n-G4x4OQvw/VLfY5b4YCjI/AAAAAAAG9mA/RvMBgpS7PEE/s1600/Pix%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PzMvlCptR3o/VLfY5aB_ubI/AAAAAAAG9l8/70ijWEY5rko/s1600/Pix%2B2.jpg)
9 years ago
MillardAyo06 Jan
Licha ya kuwadhibiti Simba, hiki ndio kichapo cha Jamuhuri walichokipata kutoka kwa wanajeshi …
Michuano ya Kombe la Mapinduzi January 6 iliendelea kama kawaida kwa mujibu wa ratiba January 6 itachezwa michezo miwili ya Kundi A. Mchezo mmoja tayari umemamlizika kati ya JKU dhidi ya Jamuhuri kutoka Pemba. Huu ulikuwa mchezo ambao JKU ilifanikiwa kupata ushindi wa jumla ya goli 3-0. Jamuhuri ambao walifanikiwa kuidhibiti Simba katika mchezo wa […]
The post Licha ya kuwadhibiti Simba, hiki ndio kichapo cha Jamuhuri walichokipata kutoka kwa wanajeshi … appeared first on...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s72-c/images.jpeg)
WATU 627 WAFARIKI KWA SIKU MOJA NCHINI ITALY KUTOKANA NA CORONA, SASA YATUMIA WANAJESHI KUZUIA WATU KUTOKA MAJUMBANI
![](https://1.bp.blogspot.com/-VJH7VJ2YEIw/XnWsOaANfOI/AAAAAAACJAw/7e1qz7ZIio81MQAv-0ncLfgaXkbcv4cZQCLcBGAsYHQ/s320/images.jpeg)
ITALIA imeamua kuwatumia wanajeshi ili kuongeza nguvu ya kuzuia watu kutoka nje, Jana, Ijumaa Machi 20, 2020, huku maafisa wakisema watu 627 wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa Corona katika kipindi cha saa 24.
Idadi hii ya vifo ndiyo kubwa zaidi kutokea ndani ya siku moja duniani tangu mlipuko wa ugonjwa huu utokee nchuni China.
Kupoteza matumaini kwa baadhi ya watu kumeanza kuonekana Kaskazini mwa nchi hiyo hususan kwenye jimbo lililloathirika zaidi la Lombardy ambako kwa...
10 years ago
BBCSwahili23 Apr
Obama:Mateka waliuawa kwa bahati mbaya
10 years ago
BBCSwahili01 Oct
Wakurdi Iraq wakomboa mpaka Syria
10 years ago
VijimamboWANAJESHI KUTOKA CHUO CHA KIJESHI CHA KENYA WATEMBELEA TBL
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Ongwen akabidhiwa kwa wanajeshi wa UG
9 years ago
Habarileo03 Oct
Wanajeshi 7 wafa kwa ajali
VIJANA Saba wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), kikosi cha 821 Bulombora wilayani Uvinza mkoani Kigoma, wamefariki dunia na wengine 22 wamejeruhiwa wengi wao vibaya baada ya gari walilokuwa wakiafiria kupinduka.