Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ongwen akabidhiwa kwa wanajeshi wa UG

Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda, aliyejisalisha wiki jana, Dominic Ongwen , amekabidhiwa kwa wanajeshi wa Uganda walio katika Jamuhuri ya Afrika ya kati.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Dominic Ongwen wa LRA akabidhiwa kwa ICC

Afisa muandamizi wa LRA aliyejisalimisha Jamhuri ya Afrika ya Kati akabidhiwa kwa Mahakama ya JInai ya KImataifa

 

10 years ago

BBCSwahili

Seleka wadai malipo kwa kumkamata Ongwen

Waasi wa kundi la Seleka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wanasema kuwa wanapaswa kutuzwa kwa kumkamata kamanda mkuu wa kundi la waasi la Uganda, LRA.

 

11 years ago

Mwananchi

Anayedaiwa kuteswa kwa pasi akabidhiwa kwa wanaharakati

Hatimaye Yusta Lucas (20), binti anayedaiwa kuteswa kwa kung’atwa na mwajiri wake, Amina Maige ameruhusiwa kutoka Hospitali ya Mwananyamala alikokuwa amelazwa na kukabidhiwa kwa wanaharakati wa Taasisi ya Jipange.

 

10 years ago

TheCitizen

We shall not cater for Ongwen’s children: ICC

The International Criminal Court (ICC) Field Outreach Coordinator for Kenya and Uganda, Ms Maria Mabinty Kamara, has rejected calls by relatives of indicted LRA commander Dominic Ongwen to cater for his children.

 

10 years ago

BBCSwahili

Muasi Dominic Ongwen ajisalimisha

Dominic Ongwen, mmoja kati ya makamanda aliyekuwa na cheo kikubwa katika jeshi la waasi wa Uganda LRA amejisalimisha

 

10 years ago

TheCitizen

Dominic Ongwen off to ICC for trial

>The indicted senior Lord’s Resistance Army (LRA) commander, Maj Gen Dominic Ongwen, who surrendered early this month, was yesterday handed over to the International Criminal Court (ICC) for trial on war crimes and crimes against humanity.

 

11 years ago

GPL

Kavumbagu akabidhiwa kwa Brandts Yanga

Didier Kavumbagu. Na Lucy Mgina
UONGOZI wa Yanga umesema mtu atakayeamua hatma ya mshambuliaji wa kimataifa wa klabu hiyo, Didier Kavumbagu, raia wa Burundi kubaki au kuondoka ni kocha Ernie Brandts. Kavumbagu aliyeifungia mabao matano Yanga kwenye mzunguko wa kwanza wa Ligi Kuu Bara, amebakiza mkataba wa miezi sita tu. Akizungumza na Championi Jumatano, Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya Yanga, Abdallah Bin Kleb, alisema...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ongwen afikishwa katika mahakama ya ICC

Dominic Ongwen, amekuwa mwanachama wa kwanza wa kundi la LRA, kufika mbele ya mahakama ya kimataifa ya ICC.

 

10 years ago

BBC

Profile: Dominic Ongwen of Uganda's LRA

Schoolboy abductee who wrought havoc as rebel commander

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani