Seleka wadai malipo kwa kumkamata Ongwen
Waasi wa kundi la Seleka katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wanasema kuwa wanapaswa kutuzwa kwa kumkamata kamanda mkuu wa kundi la waasi la Uganda, LRA.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
5 years ago
MichuziRC TABORA AAGIZA TAKUKURU SIKONGE KUMKAMATA MGANGA MFAWIDHI WA ZAHANATI YA TUTUO KWA TUHUMA ZA MALIPO KWA KAZI HEWA YA KISIMA
NA TIGANYA VINCENT
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sikonge kumkamata Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Tutuo Longa Magasha na kuchunguza tuhuma za malipo ya fedha ya milioni moja kwa kazi hewa ya ukarabati wa kisima.
Alisema kiasi hicho cha fedha zilitolewa kupitia fedha ambazo Zahanati hiyo ilipata kutokana na Malipo kwa Ufanisi (RBF) kwa lengo kufanyia ukarabati wa kisima lakini haionyeshia kama kuna kazi...
MKUU wa Mkoa wa Tabora Aggrey Mwanri ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) wilaya ya Sikonge kumkamata Mganga Mfawidhi wa Zahanati ya Tutuo Longa Magasha na kuchunguza tuhuma za malipo ya fedha ya milioni moja kwa kazi hewa ya ukarabati wa kisima.
Alisema kiasi hicho cha fedha zilitolewa kupitia fedha ambazo Zahanati hiyo ilipata kutokana na Malipo kwa Ufanisi (RBF) kwa lengo kufanyia ukarabati wa kisima lakini haionyeshia kama kuna kazi...
10 years ago
BBCSwahili14 Jan
Ongwen akabidhiwa kwa wanajeshi wa UG
Kamanda mkuu wa kundi la waasi la LRA nchini Uganda, aliyejisalisha wiki jana, Dominic Ongwen , amekabidhiwa kwa wanajeshi wa Uganda walio katika Jamuhuri ya Afrika ya kati.
10 years ago
BBCSwahili17 Jan
Dominic Ongwen wa LRA akabidhiwa kwa ICC
Afisa muandamizi wa LRA aliyejisalimisha Jamhuri ya Afrika ya Kati akabidhiwa kwa Mahakama ya JInai ya KImataifa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-GqrN3rIpOy0/Xk6acvew03I/AAAAAAALejw/E0JDyMppPykK3i1b8qn8mfDM95PQzPxiQCLcBGAsYHQ/s72-c/Lissu%2BTundu.jpg)
WADHAMINI WA LISSU WAOMBA AMRI ITOLEWE YA KUMKAMATA KWA LISSU
![](https://1.bp.blogspot.com/-GqrN3rIpOy0/Xk6acvew03I/AAAAAAALejw/E0JDyMppPykK3i1b8qn8mfDM95PQzPxiQCLcBGAsYHQ/s640/Lissu%2BTundu.jpg)
Madai hayo yamewasilishwa leo Februari 20, 2020 mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu, Thomas Simba wakati kesi dhidi ya Lissu ilipopangwa kwa ajili ya kutajwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam.
Mapema wakili wa Serikali Mwandamizi, Wankyo...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/71829000/jpg/_71829372_ziguele.jpg)
VIDEO: Seleka are 'not a legitimate power'
HARDtalk speaks to Martin Ziguele, from the Movement for the Liberation of the Central African People.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-03lu8XbYLjg/XrO9wnOCIkI/AAAAAAAEG7w/GIi8XFrwtUkpngDJJ51tdq-41lWcd8_kACLcBGAsYHQ/s72-c/index.jpg)
Benki ya NMB, Mastercard na EYWA washirikiana kuleta mfumo wa malipo kwa njia ya kidijitali kwa wasafiri Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-03lu8XbYLjg/XrO9wnOCIkI/AAAAAAAEG7w/GIi8XFrwtUkpngDJJ51tdq-41lWcd8_kACLcBGAsYHQ/s320/index.jpg)
Suluhisho hili linalenga kutatua changamoto za huduma za usafirishaji nchini kwa kupunguza matumizi ya mfumo wa malipo ya fedha taslimu na kuwa katika njia ya...
11 years ago
BBCSwahili06 Feb
Wanajeshi wamuua muasi wa Seleka CAR
Wanajeshi katika Jamhuri ya Afrika ya Kati, wamemuua mwanamume mmoja anayetuhumiwa kuwa muasi wa Seleka huku ghasia zikikithiri nchini humo.
11 years ago
BBCSwahili24 Jul
Anti-Balaka,Seleka kusitisha mapigano?
Wanamgambo kutoka kundi la Anti- Balaka na Seleka wametia saini mpango wa kusitisha mapigano
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania